Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

watu wengi ukiwauliza nini maana ya mpz atakujibu ni rafiki wa karibu wa kike/wa kiume,na ukiwauliza tena nini maana ya rafiki atakwambia ni rafiki2 na ni urafiki wa jinsia tofauti,je inawezekana...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Can someone fall in love with 2 people at the same time?bcoz there this guy who is confused he loves two girls he doesn't know who to choose.so he's asking me for advice.pals can you tell how to...
0 Reactions
50 Replies
3K Views
Heshima yenu wakuu! wakuu naombeni msaada wa mawazo,nina mchumba wangu nipo naye kwa mwaka na nusu sasa,ni mwanafunzi wa chuo kikuu flani hapa tz,nilimtambulisha home but sijajitambulisha kwao but...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
1. Sex according to Pastor Khathide (Ugandan) A lot of people don't associate sex with God - they associate it with Satan and darkness, as if sex is not holy... !! The bible is explicit when...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Ndugu zanguni,nimekuwa kwenye facebook takribani miaka 2 sasa na imekuwa nzuri kwangu kwani imenifanya kukutana na baadhi marafiki zangu ambao tulipotezana kwa muda wa miaka mingi hasa wa shule ya...
0 Reactions
44 Replies
9K Views
Matangazo mengi ya kazi wanataka watu wenye uzoefu wa muda fulani, mara nyingi wanasema miaka mitano. The same applies kwenye mapenzi. Kama unataka kupata raha ya mapenzi, kutana na mwenza mwenye...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
nahitaji furaha.........................jamani help me
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Nimekuta mtu ame comment kwenye mziki wa Boyz 2 Men hivi; "i want to get married just to get divorced to fall in love with another man and dedicate this song to him!! so lovely!!"...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
tabia mbayaaaa......,hv ni haki baba kutaka penz la mwanae japo c wa kumzaa ila wa kumlea.?hz pesa zitatumaliza manake na mtoto nae anaonekana kunogewa na chapaa za mzee na kula uroda...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
I really feel lonely today, soon i will be on my way out of office but dont know what to do to cheer me up!
0 Reactions
76 Replies
5K Views
Wana-JF wenzangu. Nimepambana na maisha na kuyaweka sawa na sasa imefika wakati naona ni bora nitulizane na kuoa ili niendelee na chapter nyingine ya maisha. Kuna huyu binti nimempata na tuko...
2 Reactions
100 Replies
8K Views
Wengine mnawezafikiri natania ama ni story ya kupika kama porojo zingine ulizopata kuzisikia, lakini ni ajabu na nikweli. Kaka yangu wa kuzaliwa tumbo moja toka nitoke yaani hii tabia yake ya...
0 Reactions
60 Replies
8K Views
Hivi inawezekanaje mpenzi anakutamkia kuwa muachane halafu baada ya muda anarudi kwako na samahani kibao? Wana JF nipeni uzoefu wenu.
1 Reactions
17 Replies
5K Views
Najua kwa hili wengine watasema ohoo mbona alishasema mke wake anamnyanyasa yeye na mtoto wake, na wengine watasema mbona alisema mpenzi wake alipata mpenzi kwenye mtandao akamsamehe na wako wote...
0 Reactions
109 Replies
6K Views
Hali hivi sasa ni mbaya kimaadili, wazazi wanatukana matusi ya nguoni mbele ya watoto na watoto nao wanatukanana bila wowote. Hii nimeishuhudia hapa mtaani, mama alikuwa anamtukana mwanae wa miaka...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Am going 32 in some coming months now. I'm not married but i have a kid, it happened that am moving with a certain lady hapa mjini leo muda huu saa nne usiku nimepiga simu yake zaidi ya mara tano...
2 Reactions
53 Replies
4K Views
Wanajamii naomba tuijadili hii changamoto kwa kina Hivi kuna mapenzi ya kujilazimisha kupenda? Na kama umejigundua ulipenda kusiko sahihi unaweza kumwambia mwenzio waziwazi kuwa...
3 Reactions
48 Replies
4K Views
Ndugu wapendwa kwa wanaotarajia kuoana siku ya jumamosi ni vyema mkaweka vyombo vyenu vya magari kupunguza sababu za kutofika kanisani..mwisho na watakia mgao huu wa mafuta wa ngeleja hope mtawahi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habar wana jf mm na mpenzi wangu tuna hamu ya kuishi pamoja,lakini mpango wa kufunga ndoa mpaka sasa haueleweki.je?2naweza kuishi pamoja halafu ndoa baadae kama nyinyi wengine? msaada tafadhali.
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Wajameni Kuna rafiki yangu kanifuata kuniomba ushauri afanyaje nami nikaona niombe msaada hapa jamvini, Baba yake ni Dereva wa magari ya mizigo anaesafiri mara kwa mara mikoani na hata nje ya...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…