Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Miezi Miwili Mara Moja! SWALINdoa yetu ina miaka 4 na tunafanya tendo la ndoa mara moja kwa miezi mwili. Kila siku usiku mume wangu husema kwamba amechoka na hawezi tendo la ndoa kwa kuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Salaam JF! Hili nimelifanyia utafiti wakutosha. Naww liangalie! Upande wa kina baba ikiwa hajawahi ku do kujua maumvile tafaut tafaut atapooa mke/mpz wa kwanza lazima atatulia kwa kua hakuna...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Je, Nimuonjeshe? Wakatazama movie hadi........... Kaka nashukuru kwa kutuelimisha kupitia blog yako ambayo kila mara napenda kuipitia ili kupata maarifa kimahusiano.Nimepata mchumba na sasa tuna...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Nimekuwa nikisoma habari ndani na nje ya nchi (hata Ulaya/Marekani) baadhi ya wanawake hukimbilia kuukata uume wa mpenzi wake na nimekuwa nikijiuliza ni kwa sababu zipi? Kwa nini asimng'ake sikio...
1 Reactions
53 Replies
4K Views
Auditing Hadi Chumbani! Kuna wakati mwanandoa mmoja anajikuta yupo ndani ya ganda la yai (eggshell) kwa maana kwamba anajikuta anakabiliana na mke au mume ambaye anadhibiti, anayeamulisha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuwa single ama kuendelea kuvumilia maumivu ambyo hujui yanisha lini?
0 Reactions
24 Replies
3K Views
kwasababu nasikia ukiangalia picha za ngono na mpz wako kuna vitu vina wahamasisha kuvifanya.je ni kweli?
0 Reactions
30 Replies
37K Views
Je, ni Kuzidiwa Nguvu au Aibu? Eti wanaita "Cuddling" Kaka mimi ni mwanamke wa miaka 26 na nimeolewa. Tatizo ni kwamba kila ninapokuwa na mume wangu tukifanya mapenzi nashindwa hata kumpapasa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika kizasi cha leo, hakuna mapenzi wala mahusiano, swala kubwa ni pochi tuu, una burungutu wapenzi wanakuwa wengi na utapata huduma itakayo. Hakuna pes hakuna mapenzi wala mahusiano.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wanajamvi naomba msaada wa kisaikolojia kila siku ni ugomvi na mwenza wangu eti kisa kwanini naangalia sana makalio ya wadada. Jana amenianzishia tifu la ajabu barabaran baada ya kumuangalia sana...
0 Reactions
52 Replies
4K Views
Mume Akupende! Mume Akupende! Haijalishi ni kazi gani mume anafanya anastahili kupewa appreciation! Wanaume wakikutana wenyewe kwa wenyewe kama hawafahamiani swali la kwanza kuulizana ni...
6 Reactions
11 Replies
2K Views
Pengine unaweza kumsaidia mwenzio kufaidika ama kuacha na na haka katabia..haka katibia kako hasa kwenye nyumba za kupanga na mavyuoni..sipendi kwenda mbali binafsi naka hate sana lakini naona...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimeingia kwenye ugomvi na girlfriend wangu baada ya kumtamkia maneno mabaya nikiwa na hasira. Sababu ya kufikia hatua ya kumtamkia maneno hayo ni baada ya yeye kunigombeza kwa sababu ya...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Habari WanaJF, nina rafik yangu {wa kike} alikuwa na mpenziwe.kuna siku jamaa alimpigia simu binti akidai eti yupo nyumba ya kilokole kwa hiyo wasiwasiliane kwa njia yoyote asibip asimtumie...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Kwako Husninyo,, umeugusa mtima wangu...nimehakikisha napata katrip ka kuja Idodomya, walau nikwepe kero za hapa DSM kidogo, so nakuja Idodomya!:A S thumbs_up: Huwezi amini furaha niliyo nayo...
4 Reactions
378 Replies
19K Views
Baadhi ya wataalamu wa mapenzi wamethibisha kwamba hii kitu stage ni muhimu sana kwenye maisha ya mtu yeyote yule!!! Namaanisha hivi, Kuanzia unapozaliwa lazima uwe umejihusisha na michezo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nawasalimu tu wa Jf
0 Reactions
3 Replies
843 Views
Yani naandika hapa huku nacheka sana!Wimbo huu wa Mory Cante(sijui nimepatia spelling za hili jina!)ndo nausikia kwenye kituo kimoja cha radio muda huu,nakumbuka kama sikosei kwa mara ya kwanza...
1 Reactions
72 Replies
6K Views
Well...well..well....nani anaamini kwamba hata “Bucha likiwa tofauti nyama ni ile ile?!“ Na wale wanaoamini tofauti hata wasiishe kubadili mabucha kila siku ni nini haswa hua kinawashawishi...
7 Reactions
160 Replies
11K Views
Hodi JF; Siku za karibuni niliingia kwenye uhusiano na mdada mmoja ambaye nilihisi anafaa kuwa mke. Nikamtokea na kwa bahati nzuri akakubali tuwe wachumba, sasa si unajua tena mwanaume nikataka...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom