Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wapendwa wote, hi. Naomba ushauri.kuna dada nampenda sana kila ninapomuona najiona mdogo na hofu ya ajabu.nataman sana niishi nae, lakini baada ya kumtangazia nia yangu kadai anamtu wake. Wadau...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Probability ya kuolewa kwa wanawake waliosoma huwa ni ndogo mno.nahisi usomi unaongeza kiburi.kuolewa na kiburi havimeshishani.tuwe macho na tujipange.naomba kuwasilisha
0 Reactions
67 Replies
6K Views
Hivi sikuiz kuna maana ya kuvishana pete kweli?ikiwa mwanamke akifika steet za mbali anaivua na kuiweka kwenye pochi.wat does it mean......?
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Wapendwa wanajamvi nina mdogo wangu anaenda kusoma masters ughaibuni-Swiss kwa hiyo ndugu zangu Wabongo na East Africa kwa ujumla mlio wenyeji huko naomba mmpokee na kumsaidia mambo mbalimbali ili...
0 Reactions
85 Replies
5K Views
Utafiti uliofanywa katika nchi za Botswana, Kenya na Uganda zimebaini ya kuwa wapenzi wanaoishi na waathirika wa vvu wanaweza kujikinga kwa maambukizi ya vvu kwa kumeza kidonge kimoja kila siku...
3 Reactions
9 Replies
4K Views
Mwanaume ni Box Hapo ana "fix' tatizo usimsumbue! Kama umekuwa kwenye ndoa kwa muda mrefu ni dhahiri kwamba umetambua kwamba kuna tofauti zipo kati yako na mwenzi wako, na hizo tofauti ndizo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo kuna njia mbalimbali za kuwasiliana ila kile kipindi tunaandikiana mabarua ",....kwako wewe uliyembali sijui na upeo wangu..,,.....," dhumuni la barua hii......"jamani barua (sio kadi)...
1 Reactions
85 Replies
14K Views
lols. I thank God for this wonderful day. Lets be bleased together. Regards Lady. G
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Kwa moyo wote! Sababu za kuwa na migogoro kati ya mume na mke mara nyingi ni kwa sababu wanaume hawawaelewi kabisa wanawake (don’t understand) na wanawake wanawaelewa vibaya wanaume...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Asubuhi ya leo nimefika ofisini na kukaa chini kuanza kazi. Kama kawaida ya siku za kawaida baada ya kupata kifungua kinywa katika mgawaha katikati ya jiji la Dar nikaona leo ni siku ya kuchapa...
0 Reactions
53 Replies
4K Views
JF habari, Jamani me hua najiuliza swali moja, hivi logic ya kuoa halaf bado mtu mkaishi mbali na mkeo/mmeo inakuawap? kwanfano mtu ni bachela, na unaishi mbali na unaetegemea kumwoa, mungu...
4 Reactions
30 Replies
8K Views
Kuna kakangu mmoja alisema kuwa anampenda sana mkewe na watoto ila kuna vikero vidogo vidogo anahisi visigekuwapo kama wangekuwa wanaishi mbali na wifi ,sio kwa kumchukia au kwa kukwepa majukumu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani wapendwa habari zenyu Nadhani baadhi yenu mnaishi katika Ndoa na wengine mna Boy/Girl Friends. Mimi binafsi nina Miaka mingi sana na Shemeji/Wifi yenu Zena. katika Maisha yetu Kuna siku...
1 Reactions
50 Replies
7K Views
Hallow wapendwa wa hapa MMU, za leo? Jamani mkistaajabu ya Musa utayoana ya firauni! Nadhani ni last week niliwapa story ya I'L KILL HIM 4 MY KIDS, bs jana yametokea ya kutokea, yule dada...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Akatwa Uume Wake na Mkewe Marekani Kieu Becker Wednesday, July 13, 2011 10:52 PM Staili ya wanawake kuwaadhibu wapenzi wao kwa kuzikata sehemu zao za siri imeendelea nchini Marekani ambapo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hello wana jf!!nina mdogo wangu wa kiume ambae anatarajia kujiunga na chuo kikuu mwaka huu,huyu bwana mdogo ana galfriend wake ambae pia ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja kilichoko mkoan morogoro...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Rafiki yangu kawekwa ndani Kisa kamkashifu na kumtukana mwanamke anyehisi anatembea na mumewe Haki iko wapi hapa?
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Heshima yenu wakuu!!wajamen,nina 23yrz na ni mwanafunz wa chuo flani hapa dar,niliwah kuwa na galfriend wa rika langu miaka miwil ilyopita bt niligundua sio mwaminifu kwangu so nkaamua kuachana...
0 Reactions
49 Replies
8K Views
Hivi kuna uhusiano gani kati ya urefu wa mwanamke na mapenzi/kupenda? huwa inanitokea,mwanamke akinizidi urefu huwa naishia mzuka kabisa hata awe mzuri vipi. Nimejaribu kuuliza marafiki wa karibu...
0 Reactions
45 Replies
7K Views
wengi walio kwenye uhusiano mpya huwa wanapenda kumwambia au kumuelezea mpz wake historia yake ya kimapenzi uko alipo toka,utakuta mpz wako anakwambia yaan nilikuwa sijatulia kweli yaani nilikuwa...
0 Reactions
75 Replies
9K Views
Back
Top Bottom