Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Habarini za asubuhi Mabibi na Mabwana, leo katika harakati zangu za kuongeza Maujuzi katika Sekta ya Malavidavi, nimepitia mitandao mbalimbali nikakutana na hii kitu na nimeona ni vyema nikashea...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau, miaka kama mitatu iliyopita nilikuwa na bibie mmoja wa Kihispania, alikuja bongo kwa mwaka na nusu, wazungu hawanivutii but this girl was exceptional, labda kwa vile alikuwa na hips na ****...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Wandugu, :sad: Ni GF wangu ambaye kwa kipindi kirefu ka miez 3 hivi tumekuwa kwenye mis'understandings, na nimemuomba sana msamaha but amekuwa mgumu kunisamehe. Cha kushangaza ni kwamba kila...
0 Reactions
60 Replies
6K Views
ni vizuri kuwa kwenye mahusiano na mtu aliekuzidi umri au mlio sawa au mdogo zaidi yako
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Swali, kuna sifa ya kuanzisha uzi? Nimeuliza hivyo kutokana na baadhi ya watu humu kuanzisha nyuzi/threads bila hata kuangalia kama kuna alieanzisha wazo kama hilo. Naombeni nitoe mifano ya nyuzi...
0 Reactions
0 Replies
997 Views
Kwanza kabisa napenda kuchukua fursa hii kuipongeza serikali kwa juhudi iliyofanya kuhakikisha kuwa Brazil wanakuja bongo kutupa raha ili tusahau machungu ya maisha makali.Lakini kwa upande...
1 Reactions
292 Replies
17K Views
mapenzi yapo hapa? unampigia simu asubuhi kujua anaendeleaje na ameamkaje then hapokei? na je ni kwamba siku nzima yupo bize na kazi kiasi kwamba amekosa muda wa kujua nani kanitafuta siku nzima...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Wanaume wote wanapenda wadumbukize, wachovyechovye, wamwage sufuria la uji kisha walale. Unabisha?
0 Reactions
96 Replies
10K Views
Ninampenzi wangu ambae tunakalibia miaka 2 ya mahusiano yetu,wakati ninamtongoza nilikua nataka awe dem wa kupiga na kusepa,lakin cha ajabu kaning'ang'ania mpaka huwa anitoa pesa some time...
0 Reactions
34 Replies
7K Views
Ni kwanini unapomuhitaji mtu kwa siku za husoni unakuwa karibu sana na yeye then baada ya muda unaanza kuwa bize? Mara unaanza kuwa bize,simu zake hupokei,visingizio...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hii Wana JF, I have a serious problem affecting my life and my marriage. It was in 2008 when i met a College girl, and as we met she was trying so much to attract my eyes to fall in love with...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
we mwanaume umekutana na mwanamke ukampenda, ilivomwambia akakujibu kuwa ana mtu, siku zimepita kidogo akaja kuvutiwa na ww pia hivyo akakukubal. mapenz yenu yamenoga sana mpaka msichana akataka...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wadau usiku huu nipo alone, mamsap kasafiri wiki ya tatu sasa, usingizi shida mno sababu ni mtu wangu wa karibu mnoo kweli nina mmiss vilivyo. Ukiwa peke yako mawazo na kumbukumbu nyingi...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Mi nalala nikiukumbatia mto wangu na machungu ya baridi kali katika jiji hili lenye miamba kibao!Hongereni wenye mablanketi ya ukweli,sisi wacha tupambane na ndoto za mahaba ila asubuhi kazi ya...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Naomi baby! Mitaa ya SEKEI Arachuga hiyo 1999 mwezi wa saba nilikuwa pande hizo. Nlikuwa kwenye ki shop cha cosmetics cha bro wangu! Naomi alikuwa anapita hapo kila asubuhi ananisalimia bila...
7 Reactions
29 Replies
4K Views
A store that sells husbands has just opened, where a woman may go to choose a husband. Among the instructions at the entrance is a description of how the store operates. You may visit the store...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Nimeusikia mchana huu utafiti huu kuwa katika nchi tatu zilizoasisi east africa community yaani Tanzania,Kenya,na Uganda,ni kuwa Waganda ndo wanaongoza kwa kukutana kimwili mara nyingi zaidi kwa...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
A wife is accused of cutting off the penis of her estranged husband. She was arrested late last night after investigators responded to a 911 call and is now in custody at the Orange County Jail...
0 Reactions
62 Replies
3K Views
Heshima mbele wana jf!ktk uchunguzi wangu wa haraka haraka nlioufanya cku za hvi karibuni nimegundua kwamba kati ya wadada 10 bas 9 hawavai magaguro{underskirts},tatizo ni nin wakuu au cku hzi...
0 Reactions
56 Replies
7K Views
Eti jamani, ni kweli kwamba kuolewa ni heshima........na kama kweli how and why? Kwa sababu siku hizi mabinti wanaolewa hata na wanaume wasiowapenda wakiitafuta hiyo 'heshima' Watu wamekuwa fake...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Back
Top Bottom