Habarini za asubuhi Mabibi na Mabwana, leo katika harakati zangu za kuongeza Maujuzi katika Sekta ya Malavidavi, nimepitia mitandao mbalimbali nikakutana na hii kitu na nimeona ni vyema nikashea...
Wadau, miaka kama mitatu iliyopita nilikuwa na bibie mmoja wa Kihispania, alikuja bongo kwa mwaka na nusu, wazungu hawanivutii but this girl was exceptional, labda kwa vile alikuwa na hips na ****...
Wandugu, :sad:
Ni GF wangu ambaye kwa kipindi kirefu ka miez 3 hivi tumekuwa kwenye mis'understandings, na nimemuomba sana msamaha but amekuwa mgumu kunisamehe.
Cha kushangaza ni kwamba kila...
Swali, kuna sifa ya kuanzisha uzi?
Nimeuliza hivyo kutokana na baadhi ya watu humu kuanzisha nyuzi/threads bila hata kuangalia kama kuna alieanzisha wazo kama hilo. Naombeni nitoe mifano ya nyuzi...
Kwanza kabisa napenda kuchukua fursa hii kuipongeza serikali kwa juhudi iliyofanya kuhakikisha kuwa Brazil wanakuja bongo kutupa raha ili tusahau machungu ya maisha makali.Lakini kwa upande...
mapenzi yapo hapa?
unampigia simu asubuhi kujua anaendeleaje na ameamkaje then hapokei?
na je ni kwamba siku nzima yupo bize na kazi kiasi kwamba amekosa muda wa kujua nani kanitafuta siku nzima...
Ninampenzi wangu ambae tunakalibia miaka 2 ya mahusiano yetu,wakati ninamtongoza nilikua nataka awe dem wa kupiga na kusepa,lakin cha ajabu kaning'ang'ania mpaka huwa anitoa pesa some time...
Ni kwanini unapomuhitaji mtu kwa siku za husoni unakuwa karibu sana na yeye then baada ya muda unaanza kuwa bize?
Mara unaanza kuwa bize,simu zake hupokei,visingizio...
Hii Wana JF,
I have a serious problem affecting my life and my marriage. It was in 2008 when i met a College girl, and as we met she was trying so much to attract my eyes to fall in love with...
we mwanaume umekutana na mwanamke ukampenda, ilivomwambia akakujibu kuwa ana mtu, siku zimepita kidogo akaja kuvutiwa na ww pia hivyo akakukubal. mapenz yenu yamenoga sana mpaka msichana akataka...
Wadau usiku huu nipo alone, mamsap kasafiri wiki ya tatu sasa, usingizi shida mno sababu ni mtu wangu wa karibu mnoo kweli nina mmiss vilivyo.
Ukiwa peke yako mawazo na kumbukumbu nyingi...
Mi nalala nikiukumbatia mto wangu na machungu ya baridi kali katika jiji hili lenye miamba kibao!Hongereni wenye mablanketi ya ukweli,sisi wacha tupambane na ndoto za mahaba ila asubuhi kazi ya...
Naomi baby! Mitaa ya SEKEI Arachuga hiyo 1999 mwezi wa saba nilikuwa pande hizo. Nlikuwa kwenye ki shop cha cosmetics cha bro wangu! Naomi alikuwa anapita hapo kila asubuhi ananisalimia bila...
A store that sells husbands has just opened, where a woman may go to choose a husband. Among the instructions at the entrance is a description of how the store operates. You may visit the store...
Nimeusikia mchana huu utafiti huu kuwa katika nchi tatu zilizoasisi east africa community yaani Tanzania,Kenya,na Uganda,ni kuwa Waganda ndo wanaongoza kwa kukutana kimwili mara nyingi zaidi kwa...
A wife is accused of cutting off the penis of her estranged husband. She was arrested late last night after investigators responded to a 911 call and is now in custody at the Orange County Jail...
Heshima mbele wana jf!ktk uchunguzi wangu wa haraka haraka nlioufanya cku za hvi karibuni nimegundua kwamba kati ya wadada 10 bas 9 hawavai magaguro{underskirts},tatizo ni nin wakuu au cku hzi...
Eti jamani, ni kweli kwamba kuolewa ni heshima........na kama kweli how and why?
Kwa sababu siku hizi mabinti wanaolewa hata na wanaume wasiowapenda wakiitafuta hiyo 'heshima'
Watu wamekuwa fake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.