Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kuna msichana nafanya naye kazi katika kampuni moja. Sasa tumezoea kweli kutaniana na kuitana majina ya Kimahaba huku kukiwa hakuna uhusiano wowote wa Kimapenzi. Jana saa nne usiku nikiwa nafanya...
0 Reactions
97 Replies
8K Views
huyu dada jamani (kama kweli) mamods naomba mumpe walau kamisheni ( au wee mod nini) maana mda wote npatao upenyo lzm ukute koment zake kwenye thread mbalimbali...najaribu kuifikiria aina ya kazi...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
NIMEUKUMBUKA MKAO HUU:- KUKAA PAMOJA FAMILIA NZIMA KWA KUJUMUIKA KULA!! Picha hii imenikumbusha enzi zile miaka arobaini na saba familia nzima inajumuika pamoja na kushika chakula iwe cha...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari MMU, Kwa muda mrefu sana, nimekuwa nikisoma mada za hapa MMU ili kujipatia mauozefu. Ila leo, na mimi napenda nilianzishe ili tulijadili wote. Nimefanya kautafiti kadogo na kugundua...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Wana Jf, imenitokea mara kadhaa na nimekuwa nikijionea pia kwa rafiki zangu wa karibu....mwanaume ukishaanzisha tu uhusiano na mwanamke, basi mwanamke ndo anakuwa wa kwanza kutoa masharti mara...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
(nimepiga hodi kule sebuleni). Wana JF leo nataka niwakumbushe wale wanaotazama makabila wakati wa kuoa. Hivi ni sahihi kuhukumu kabila zima? Mfano nimewahi kuambiwa mara kadhaa kuwa wanawake wa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
wana jamvi tusaidiane hii scenario,nimekua nina mpenzi kwa muda wa miaka 2 sasa huu waenda 3,katika muda wote huo nimekua nikiona mapungufu mengi lakini mengine nimeyamezea na kuyavumilia kwani...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Jamani mi hata sielewielewi huyu kiumbe anataka nini. ni rafiki wa karibu sana na mume wangu. Amekua na tabia ya kutaka sana kunijulia khali. nami kama shemeji namsabahi na namheshimu sana...
0 Reactions
154 Replies
14K Views
tukifananisha makampuni ya cmu na mademu,airtel ni sista du anayependa starehe na kubadili majina na kupenda wenye nazo,vodacom mchumba wa kuoa kabisa,zantel jimama la kulea vitoto,ttcl kibibi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
najua mnaipenda kazi yenu jamani embu jalini na familia zenu ,,overtime tamu lakini kuitwa mjomba na watoto zako sio raha kila siku ukija wanakuita mjomba uncle wewe jamani embu haya mambo tuwahi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Salamu, hivi ukishazaa na kuachika unaweza kupata mwanaume mzuri akakupenda wewe na watoto wako maana watu wanasema eti ukishazaa thamani inapungua. Nisaidieni jamani i'm a single mother and i...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Vuuuuuppp!!!! Naongea kwa uhalisia & hisia, kwa kutumia uzoefu, Bujibuji ataongezea, wanaume wengi akisha do na demu, ooohh...!! ndio mwanzo wa kuanza kumpiga chenga demu mara kibao, especially...
2 Reactions
37 Replies
4K Views
Hasa mida ya asubuhi ukiingia ofisini utasikia.....hiiiiii mambooo umependeza wigi lako umenunua wapi? Ilihali ukimwangalia hilo wigi ni kama helmet ya pikipiki ambayo no oversize. Na mwenyewe...
7 Reactions
63 Replies
5K Views
Tukiwa katikati ya mchezo akaniambia maneno haya "give it to me", nikampa, tena nikaongeza nguvu na spidi, bado akaendelea kudai nimpe, na akaongezea usiniogope sima nikupe nini? Nimejiuliza...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
naomba kupata ushauri hasa kwa walioana,,, je nni mda gani muafaka unaweza kukaa na mpenzi wako kabla ya kuoaana? mf miaka 2? 5? miezi6? au? naomba ushauri,,,
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana JF? Mwenzenu nilikuwa Pemba nimerudi jana, nilipokuwa huko katika taasisi ile ile ninayofanyia kazi nilitokea kupendana na binti wa Kipemba!! Binti anajua kupenda jamani (Mapenzi in...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
kwanza salamu nianze kwa kusema nilipokuwa kijana nilikuwa na maisha magumu sana kwa upande wa mahusiano/uchumba nilipokuwa sekondari high nilikuwa na rafiki yangu wakike niliyempenda sana...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Unakuta mwanaume humjui anakutongoza kwenye simu unakubali hivi hii ni akili kweli. Halafu unakuja kubakwa hivi utamlaumu nani.
0 Reactions
54 Replies
7K Views
Haya ni majini ambayo dawa yao ni kufyeka na damu ya yesu..unawasha moto wa yesu kwanza kabla ya kusali kuna mabinti kila wakipata mchumba wanaishia kuvishwa ring za engagement isiwe kwako in...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau, Mtakumbuka kuwa Miss Judith alitushirikisha kwenye maombi ya siku 30 za kumteua wa kuishi naye daima dumu. Kwa mijibu wa mahesabu aliyojiwekea mwenyewe ilitakiwa by 01/june 2011...
10 Reactions
93 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…