Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Hivi kwa nini ukiwa kwenye mahusiano na mwanamke au ndoa....halafu siku moja mwanamke akakwambia 'fulani ananitongoza' hivi maana yake hasa ni nini?????? Kwa nini wanaume wengi wakiambiwa...
0 Reactions
54 Replies
8K Views
Go placidly amid the noise and haste and remember what peace there may be in silence. As far as possible,withought surrender be in good terms with all person,speak your truth quitely and...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
wachumba wawili, raia wa marekani wamepigana busu kwa mara ya kwanza tangu walipoanza uhusiano wao miaka mitatu iliyopita. Busu hilo lilipigwa kanisani mbele ya Mchungaji na kuutangazia umma rasmi...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Kuna hii stori wapendwa, maana kwanza nimecheka kuliko maelezo Huyu mkaka ni kiwembe balaa, yaani sketi haimpiti kila siku kubadilisha tu wadada. Ila kuna siku akakutana na kiboko yake. Sasa juzi...
12 Reactions
141 Replies
9K Views
Celebrate Father’s Day by honoring your father by presenting gifts like cards, flowers, chocolates and neckties. Dads often admires a handmade gift. For those who themselves are fathers, the...
1 Reactions
40 Replies
3K Views
Ndugu zangu wana JF Leo nina kitu nataka tujadiliane Maofisini au makazini tunafahamiana na watu wa aina mbalimbali, kuanzia makabila, dini, matabaka, mpaka tabia. Na hata mashuleni na mavyuoni...
0 Reactions
58 Replies
5K Views
ni mwezi wa nne tangu niliempenda abadilike na kunitamkia kwamba hana plan yakufunga ndoa na mm tena.ila kinachonipa mawazo nipale nnapokua namuwaza kila siku nakumkumbuka kupita kiasi.pia upande...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Dear my Fellow JF Members Of all the endeavors you can pursue, dating can be one of the most enjoyable. It's entertaining, it provides companionship, and it can lead to lasting love and...
2 Reactions
42 Replies
3K Views
Mitindo ya mavazi ni mingi mno kwa wanawake, na wanapeyapenda haswaaaa! Ninachoomba kuwauliza wana MMU hapa JF ni je wanatumia kigezo gani kuchagua mavazi? Mfano ni viatu virefu sana kwa madada...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Kwanza nawapongeza wababa wote kwa mchango wao mkubwa katika kuleta watoto duniani, kuwapenda wake zao au kuwajali mama wa watoto wao na watoto na pia kubeba majukumu yao.HONGERENI SANA KWA SIKU...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
kuna mzee mmoja mkware alikuwa anajiiba kwa mama mmoja jirani na anapoishi na familia yake, kama umbali wa kilometre moja kutoka nyumbani kwake. huyo mzee alikutana na huyo mama maeneo tofauti na...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Why women should ask men out much more often Saturday, 18 June 2011 09:35 digg Women are always complaining about not being able to find a good man, or only being approached by jerks. I...
0 Reactions
2 Replies
855 Views
Mambo vipi watanzania wenzangu nadunia kwaujumla mimi ninaswali kwa dunia nzima atakae guswa tushirikiane.Je nivizuri kusikia kwamba matamasha au mashindano makubwa kama ya umiss utalii kua...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
:A S 12: For both ladies and gents, no exception nor excuse, Yes, that is the principle, the more you give tirelesly, the more you receive.... Vise verse of it has proved failure...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hivi ni kweli, mtu ambaye ana uhusiano wa kimapenzi na mtu mwingine, anadiriki kumwambia ampendaye hawezi kuongea pumba kwasababu anamwogopa, lkn kwa wengine anaongea pumba!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
jamani kweli leo nipo mpweke sana so any lady to chat with via sms please my 4n number is 0766116471 am 21 yrs.
0 Reactions
44 Replies
3K Views
Habari za jmosi wakuu ,kuna kitu kinaniudhi sana linapokuja swala zima la kulalamia, unakuwa na rafiki yako best friend, anakuwa mlalamishi kwa kila kitu, ukinunua kiatu atakwambia mbona...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
ni aki kwasababu cha mpz wako chako na cha kwako chake,mbali na ivyo ni inaonyesha uaminifu lakini kama mmoja apendi basi yy ni msaliti,pia inakupa uhuru kwake na kwako.
1 Reactions
48 Replies
8K Views
Habari wana jamvi,hope wkend inakwenda fresh. Mimi sio mpenzi wa bongo flava kivile ila kuna wimbo nimeusia "NILIPE NISEPE" kwakweli huyu dogo amejitahidi kuwakilisha one of tabia za watu ambazo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Je, Utakubali? Fikiria wewe ni binti (au mzazi wa binti) ambaye unataka kuolewa na mwanaume ambaye hajasoma (illiterate) utakubali? Ni kweli elimu ni kitu kizuri hata hivyo elimu si kigezo cha...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom