Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

I hope wote ni wazima na weekend inaenda vizuri. Nina swali la uzushi tu na pia unaweza ukadhani sio la msingi. Unajisikiaje na utafanyaje au kuchukua hatua gani pale unapochat na mpenzi...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
ni gani wakuu? how is the weekend going so far? Hope everything is allright. Hebu tell me, what is the craziest thing you ever done in your love relationship?
0 Reactions
10 Replies
1K Views
mmh jamani dunian watachomwa watu jana nilikuwa nimeenda kumwacha b mkubwa sehemu ya kitchen party uko mbezi wakati wa kumchukua wakawa bado kidogo ila ukumbi ulikuwa mzuri wa vioo na jamaa...
1 Reactions
13 Replies
22K Views
Kuna rafiki yangu mmoja anafanya kazi nje ya nchi, ana mchumba wake wanataka kufunga ndoa mwaka huu mchumbake yupo bongo anafanya kazi.Huyu jamaa hii kazi inamlipa sio mbaya ila ni ya mkataba...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
jana nlituma thread ya fumanizi kati ya my blood brother na mke wangu. But bad enough hata ma x gal wangu wawili nshawahi kuwafumania na watu wangu wa karibu. Nahisi nina matatizo ya kungoneka...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Milima linaipanda,sekenke hata kitonga, Wami kona kuzipinda,likielekea tanga, kamwe silipi mnada,hata uwe kiti nanga, Nimelipanda mwenyewe,sitamani kulishuka, Sio la Yakuonea,alojuta kulipanda...
0 Reactions
0 Replies
852 Views
wasina wengi wanaona kitendo cha kumjali au kumsaidia mpz wake ni kumuonga,mfano umetoka na mpz wako then ww msichana ukatoa uduma ya kila k2 kama chakula,vinywaji,even chumba then baada ya apo...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Si lazima iwe kweli lakini inaonekana zaidi kwamba Couples wengi wanapendana kwa viwango vinavyotofautiana. Hata kama wote wanakiri kupendana kwa dhati namna gani, bado ni ngumu kuthibitisha...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Juzi rafiki yangu ambaye ni mfanyabiashara mkoani Tabora yalimkuta yafuatayo katika hali isiyo ya kawaida na hakutegemea kama mkewe mpendwa angemfanyia hayo. Akinisimilia alisema; kama ilivyo...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
A good investment or just a tool to attract hot dates? Men who buy flashy sports cars might be more successful at getting a date, but women do not see them as good marriage material, a study...
1 Reactions
3 Replies
937 Views
ni kweli wavulana wengi hawadumu na msichana mmoja kwasababu wanaona ukiwa na mpz mmoja ni ushamba na anakuwa ajakamilika means sio kidume cha mbegu lakini akiwa nao wengi ndio kdume cha...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Maziwa ya ng'ombe wa nyumbani ni mazuri sana w/end hii kuliko wa mtaani au wa kununua kwa wale walioko kwenye position hiyo!!
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Poleni kwa majukumu ya kila siku Kuna rafiki yangu mmoja ni wa kike ok alikuwa Gf wangu zamani alikuwa chuoni nikabainisha kuwa alikuwa na mahusiano na mtu mwingine nikaona huu ni utumbo wa bata...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
haya mambo yapo na thread kibao zinazungumzia hizi mambo...jamii imebadilika..anyway mimi huwa ni observer tu wa mambo mbali mbali...ila ya leo kali maana kama ulikua hujui ndo ujue kwamba lile...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Kubebana! Kwa nini jamii nyingi za vijana wa leo huchukua uamuzi wa kuanza kuishi pamoja kinyumba kabla ya kuoana rasmi na ndipo kuanza maisha?Wengi hutoa sababu nyingi mojawapo ni kuokoa fedha...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana wawili kijiweni walikuwa wanateta jambo, mmoja akionekana kukerwa na jambo furani, akaanza... Mkuu leo ile ngozi imenigharimu sana, babake nikaenda kati hamna ukuta, pembeni kulia uterezi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
hii ki2,hii ki2,hii ki2.inafanya wa2 wanabadili dini,inafanya wa2 wajinyonge,inasabisha watoto wamitaani,ningekuwa na uwezo ningeiondoa. hii ki2,hii ki2 jamani inanini...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Katika hali halisi,inapotokea ukamtongoza msichana/mwanamke,kuna mawili,kukubaliwa au kukataliwa.Lakini kwa upande wa pili,msichana/mwanamke akikutaka kimapenzi kwa kukutamkia wazi wazi,kama...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nina watakia week end njema wote
6 Reactions
116 Replies
7K Views
Najua inatia uvivu kusoam posts ndefu kwenye MMU. Hata hivyo kutokana na unyeti wa lecture yenyewe, sitaweza kuifupisha zaidi ya hapo. Tando la ubakaji au jingine lolote la kudhalilisha kijinsia...
0 Reactions
0 Replies
9K Views
Back
Top Bottom