Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

kutokuwa na uaminifu ktk ndoa au wapenzi ni janga la dunia hususani kwa wale walio ktk ndoa.lakini hivi ni kweli haya hufanywa kwa bahati mbaya?au ni shetani tu kama wengi wanavyodai?
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Ndugu wanaJF tumekuwa tukiishi katika jamii tofautitofauti za KiTaNzania na kushuhudia mambo mengi mabaya na mazuri tukajitahidi kuyakemea yale mabaya kwamanufaa yakuwa na jamii yenye maadili...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Ndoa nitakatifu na ilianzishwa na Mungu na unapoamua kuoa au kuolewa ni kuwa umeamua kuishi na mwenzi wako kwa hali na mali kwenye shida na raha.kudumisha ndoa vitu muhimu vinahitajika 1 Busara...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
ha bari za wikiend JF! Jamani mimi mwanzoni nilidhani/nilichukulia kua uchumi ndio kigezo kikubwa cha kuahakikisha nimefaulu kabla ya kuoa. Yaani, angalau hata kama sio kujenga au kua na mahela...
1 Reactions
41 Replies
3K Views
Leo asubuhi nimepata habari za kusikitisha sana kuwa Fr Isidory Nyonzo wa kanisa kuu la Morogoro amefariki dunia na kuzikwa jana. Nimesikitika sana kwani ameondoka kabla sijatimiza ahadi yangu ya...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Uzuri wa mtandao wa JF bwana ni ushauri mtu unaoweza kuupata. Ushauri tu unaweza okoa maisha ya mtu. Mimi ni mgeni sana JF lakini si mgeni wa maisha. Nimepitia ukurasa huu ma mimi ninatizo linalo...
0 Reactions
110 Replies
9K Views
Hiki kisa ni cha kweli na cha kusikitisha. Ni asubuhi njema ,mipango ya harusi imekamilika na siku imewadia.Hawa(Mke na Mume) wanajiandaa kuelekea kanisani,kwa lengo la kufunga ndoa(au kubariki...
0 Reactions
37 Replies
10K Views
nilikuwa na mpenzi wangu tangia niasoma kidato cha sita, hadi leo nipochuo kikuu dodoma mwaka wa pili tena nilimpenda sana lakini kuna kama siku tatu zimepita tangua aliponitamkia kuwa MIPANGO SI...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Asubuhi ya leo, nikiwa nimejilaza kitandani mchovu wa kuamka kiasi flani sitamani hata kwenda church, nausikia wimbo wa Mb-dog (Latifa) ukichezwa ktk station moja hv ya Radio... Napata picha...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
A friend is someone who reaches for your hand and touches your heart and Friendship is like Golden thread that binds two hearts... I wish you happiness,laughter, peace and love.. Have a blessed...
13 Reactions
49 Replies
3K Views
Hii ni kwa wote tunaotumia hili jukwaa!Hivi kwa mfano akatokea mtu mmoja kule Chile anajua kiswahili vizuri,akafungua JF na kuja hapa kwenye jukwaa hili,hizi mada zote zilizoko humu zinaendana na...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Hello Guys, How is your weekend? hope mpo poa kabisa. My Question is hivi ni nini maana ya open relationship and does it real work? kuna Rafiki yanguu alimuaproach msichana yule msichana akasema...
1 Reactions
42 Replies
5K Views
Poleni kwa majukumu mimi ni swali ta ufahamu kidogo Una mchumba amabye mnategemea kufunga pingu za maisha mnaaminiana na mnapendana mmeshamaliza kila kitu kilichobakia ni maaandalizi ya ndoa je...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Katika pita za kazi unakutana na msichana mnakuwa marafiki wa kawaida mnaendelea kidogo,unaona huyu dada anasubiri umtamkie kitu kuwa nakupenda sababu anavyokufanyia inaonyesha wewe una mtu tayari...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Juzi nilikuwa nasikiliza huu mwimbo mpya wa lady jd and Mr.Blue, nilishawahi kupenda!! Nyimbo hii ilinigusa sana and nikajiuliza kama kuna binadamu hapa tanzania/duniani above the age of 25...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Hi 2 u all, Experience is the best thing, wakati unaanza tongozo kwa mara ya kwanza kwa mwanamke yeyote, tarajia jibu la NO, Kama mwanaume usikate tamaa wala kuonyesha pressure saana, then mwache...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
habari zanyu waungwana!!! Wajameni leo nimefikiria kuhusu hawa dada zetu jinsi wanavo jitahidi kujipamba full madicoration, make-up za kufa mtu. Mawigi ya hatari, wengine wanajipiga hadi sindano...
0 Reactions
2 Replies
931 Views
Girl: Will you remember me in an hour? Guy: yes Girl: a day? Guy: yes Girl: a year? Guy: yes Girl: Eternity? Guy: yes Girl: Knock knock Guy: who's there? Girl: i thought you said youd remember me....
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Mara nyingine inachukuliwa kimzaha lakini ina ukweli. Sio wote lakini zaidi ya asilimia 75 ya wanawake wenye majina yafuatayo wana tabia zifuatazo (nataja wachache) Rose - viongozi, wanapenda...
0 Reactions
47 Replies
23K Views
Habari zenu wanaJF. Wife leo kapigiwa simu, unajua mambo ya wivu nikauliza aliyepiga simu ni nani ? Akasema kwa kuwa nataka kujua aliyepiga simu tubadilishane simu (pamoja na line zake) yeye...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom