1.Love starts with eyes,grows with a kic and ends with tears.but friendship starts with a smyl,grows with understanding n ends with death.
2.Wen u are in love,u giv ur whole heart 2 ur lover n...
Hii tabia ya wanawake kupenda mpaka wanakopesha wapenzi wao hela nyingi mpaka milion 5 halafu jamaa anaingia mitini, hakuna kuoa wala hela hairudi .Je ni mapenzi gani haya jamani wan JF?
Mambo yanayoendelea kwenye jamii yanatia kichefuchefu. Kwa wale aambao hawajaoa wala kuolewa wana mtihani mkubwa sana. Ona hii mifano. Mume anaondoka kwenda kutafuta riziki anamuacha mke wake...
Ndo nimeingia hapa JF kwa mara ya kwanza. Naomba mnipokee kwa kunisaidia kunipa maelekezo namna ya kutumia hii forum hasa upande wa mahusiano. Naamini mtanisaidia na nitakuwa bega kwa bega...
Ona fahari kuwa nae ulienae,mfanye ajione malkia,mfanye ajione mfalme,mfanye ajione mwenye thamani kuu,mfanye ajione hakuna kama yeye,mfanye ajisikie raha akukumbukapo,mfanye ajisikie fahari...
Habari zenu wana Jamii Forum. Mimi ni mgeni humu. Ila si mgeni ki hivyo nimekuwa natembelea bila kuwa member. Nimeamua kujiunga ili nipate kushauriwa kwani shida niliyonayo siwezi kushare na mtu...
Nafahamu fika wengi wenu mtanishambulia, nafahamu hili na nitajibu hoja zenu. Kweli hii ni Forum ya MMU, so mijadala abt mapenz, mahusiano na urafiki yana nafasi kubwa humu zaidi ya popote ndani...
Habari za ijumaa wakuu, najua leo kila mtu anafurahia kuanza week end kwa namna yake.....Mie napenda kuja na hii,...... Zawadi, mnajua kwamba zawadi ni kitu kidogo sana lakini impact yake huwa ni...
When a lady is pregnant, all her friends touch her stomach and say " CONGLATULATION" but , none of them comes and tourch man's penis and say "WELDONE"!! It does hard work but never appriciated. Why?
Empathy,imagination,tact-all are ingredients of COURTESY which da dictionary defines it as 'gracious politeness...a considerate act or remark'.Ralph Emerson penetrated 2 da very heart of da word...
Niko kwenye daladala natokea kwenye pilikapilika za kutafuta mkate wa kila siku.
Pembeni yangu kakaa mama mmoja anayeonekana katoka kutafuta mkate na yeye. Mama huyu amechoka, anaonekana pia...
Mm nina mpenzi wangu ambae ananiumiza moyo sababu huwa anipigii simu wala kuni-sms lakin nikimpigia anakuwa mchangamfu sana na hata pia nikikutana nae anavyonichangamkia anafanya nasahau yote...
1. mrefu hata kama sio sana ila awe mrefu
2. rangi yoyote
3. mwili wa kati sio bonge wala mwembamba sana
4. awe mca mungu awe mwenye ibada ( mkiristo)
5. elimu kuanzia 4m 4
6. awe wa kanda ya...
Ironically, statistics indicate money is the number one cause of failed marriages yet it also seems to be one of the reasons why couples opt to stay together. With todays high cost of living...
Anyway it is still the best of 90s to me. I dedicate this to all mothers and mothers to be.
YouTube - ‪N Sync - (God Must Have Spent) A Little More Time On You‬‏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.