Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Hivi kweli unajua maana yake zawadi ya maua? One Rose for Unconditional Love One Rose For Financial Wealth One for Everlasting Happiness Several for Success One for...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kawaida huwezi kumpa kila mwanaume treatment za mume wakati bado ni mchumba tu. Vijana wengi leo wanapochumbiana au kutafuta urafiki wa kawaida katika ya kaka na dada (dating) wengi hawajajua...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hapo zamani hasa katika desturi na mitazamo ya mila za kiafrika, mwanamke aliyeolewa akiwa mnene alipongezwa kwa kupata mume tajiri na pia kama hajaolewa wanaume walimpapatikia kwa kuwa ana dalili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Fikiria wewe ni binti mwenye sifa zote za kuolewa (excellent marriage material) na umri wako ni sahihi kuolewa, umempata kijana wa kiume mwenye sifa zote za kuoana na wewe. Anakujali kwa kila kitu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF, Naomba kuwaulizeni, iwapo umemfumania mkeo/ mumeo na ni mara ya kwanza ni hatua gani nzuri unatakiwa kuichukua. Ni kupokea fidia kutoka kwa MGONI kisha maisha yaende kama...
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Habari zenu wana jamiifulani, Katika mapenzi na mahusiano nimekuwa nikisikia manung'uniko ya chini chini wapenzi wengine wanapokua wanaenda kutalii Mlima Kilimanjaro hawawafikishi wenzao kule...
0 Reactions
48 Replies
3K Views
Jf, Eti kwa utashi wako, we unadhani ni nini kinaendesha dunia?? mapenziii?? hela??, siasa?? au ni nini?? Kiukweli kwa utashi wangu me naona ni hela. generally kwa sababau hela inaingilia...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
An inspiration To JF/GT from Asha D with Love…. Mwanadamu yeyote huzaliwa, huishi, hutaabika/hunufaika na hatimae hufariki. Kitutofautishacho kila mmoja na mwingine ni ndoto...
16 Reactions
75 Replies
5K Views
Wapendwa, nimeipenda sana hii story, japo ni ndefu kidogo kama sio mvivu wa kusoma waweza isoma. Love in a time of torture - Features - Al Jazeera English
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wana JF, Siku hizi, japo kuna imani za kidini kuna wanaoamini kuwa ni vigumu kufunga pingu za maisha bila kuonja tamu ya asali. Siku zote Mimi nimekuwa miongoni mwa wanaopingana na huu...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
nimegundua hili ni tatizo la wanawake wengi,wanakuwa kwenye mahusiano kimachale machale saa yoyote mumewe anaweza kuwa na nyumba ndogo.....hofu hii imepelekea kuwafanya kuwa watumwa wa ndoa...
6 Reactions
87 Replies
7K Views
"Could I Have This Kiss Forever" Over and over I look in your eyes You are all I desire, you have captured me I want to hold you, I want to be close to you I never want to let go I wish that...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Kama asubuhi hii ofisini kwako kuna mwanamke (hata kama mke wa mtu), ambaye bado hujaonana naye, ukionana naye, katika salamu changanya na neo "umependeza sana". I mean kwa mfano 'Mambo...
2 Reactions
104 Replies
9K Views
je wewe ni kijana ambae umefikia umri wa kuoa?. Kama jibu ni ndio kabla hauja chagua mchumba, zinga tia mambo ya fuatayo. 1.kabla ya kuoa, unatakiwa uwe na shughuli yoyote halali, ambayo itakua...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
wiki kama mbili kulikuwa na habari kuwa kabinti kamekutwa kakibaka kavulana sasa hii nayo kali kasichana kamoja kama ilivyo elezwa na mtoa mada kuwa kalikuwa kanapenda kuzungumzia sana habari za...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Bila shaka madreva wa Iringa na wengine mliowahi kupita tu mjini hapa mtakubaliana na mimi kuwa watembea kwa miguu tunavitumia vibaya vivuko vyetu, utakuta wa wanapita taratiibu wengine hadi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ryan Giggs's brother Rhodri has reportedly considered trying to save his marriage to wife Natasha, following revelations about her affair with the Manchester United star. It has been claimed that...
0 Reactions
0 Replies
859 Views
Please... 1).Can you bleed for a week and survive? 2).Can you squeeze 14 inch baby from a 9 centimeter hole? 3).Can you carry a 7 pound baby in your stomach for 9 months? 4).Can you take care of a...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari kwa mpigo ma greater thinker...nisiwachoshe,nihivi nyie kwenu mme bahatika kuzaliwa vijana wawili,we ndo mdogo.mkubwa wako bado anakaa karibu na home na wewe kutokana na miangaiko ya dunia...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Bandugum Poleni na maumivu ya bajeti, hasa kwa siye wanywaji...:A S embarassed: yangu ni mafupi tu Kama umecheat kwenye relationship, unaweza kuwa na guts za kumwambia mwenzio kwamba nimecheat...
10 Reactions
244 Replies
13K Views
Back
Top Bottom