Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wana jamii, heshima yenu habari za siku maana nilikuwa jela ndio nimerudi, kuna jambo hapa linanitatiza hasa katika mambo ya ndoa na mahusiano inaeleweka kabisa katika mapenzi/mahusiano mwanammke...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu embu tujadili huu msemo, kuna mdada wa makamo alikuwa anasumulia jinsi alivyotoka mbali na Mumewe, na jinsi alivyoteswa na huyo mume kiasi cha kuondoka home kwa mda wa mwaka na kwenda...
3 Reactions
64 Replies
5K Views
Inakuaje wana mi niko poa naamini na ninyi mko safi na Mungu ashukuriwe kwa hilo. Ishu ni kuwa kuna mkaka aliyekuwa shemej yangu kwa ndugu yangu ila kwa bahati mbaya wameachana siku za ivi...
0 Reactions
127 Replies
10K Views
Wakati mwingine ni vigumu sana kwa wanawake kufahamu ni kiasi gani hamu ya kufanya mapenzi ilivyo kwa mwanaume.Ingawa wanaume hutofautiana katika kiwango cha hamu ya mapenzi bado wanaume...
0 Reactions
32 Replies
6K Views
JF, Jamani me katika maisha ya mapenzi ni megndua kitu. mara nyingi mwanamke akitongozwa alaf akakataa hua anaonekana kama ametulia na ni mwadilif, lakini mwanaume akitongozwa na mwanamke(kitu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kuwakilisha swali langu kwenu ili nipate ufafanuzi, Hivi ni muda upi mwanaume unatakiwa uwe umaliza kupanda mlima,kwa kuwa kuna msemo usemao ukimaliza kabla y dk fulani wewe si mzima? je...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
  • Poll Poll
kuna binti ambaye mimi nampenda sana tangia nipo A-Level 2007/2009 tena tulikuwa na malengo ya kuishi pamoja,, kimsingi i do love her up to now but thing make unbelievable is that once i do...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nipo kwenye daladala kuna mama anaongea na simu. Inaonyesha kazaa na wanaume watatu tofauti na huyu mwanaume wa mwisho inaonekana hatoi matunzo kwa mtoto wake. Sasa katika maongezi ya simu huyo...
0 Reactions
67 Replies
4K Views
Inasikitisha hata kusimulia coz imezoeleka wanaume ndio wamekuwa wakiwafanyia watoto wakike vibaya sasa huyu mama amebainika alikua akimlazimisha mtoto wa miaka 9 amnyonye sehemu za siri au kama...
0 Reactions
48 Replies
9K Views
Hbr za mchana wapendwa! Jana ktk story na wafanyakazi wenzagu tulipewa story ifuatayo na mkaka mmoja: Ni mfanya kazi mwenzetu ila alikuwa na katabia ka kutembea nje ya ndoa yake miezi...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakati fulani anazidiwa wakaati mi nakuwa bado. Anatumia muda mwingi kunihoji ni kwa nini nakuwa hivyo nashindwa kuwa na jibu. Vyakula ninavyotumia ni vya kawaida. Nifanyeje ili niende naye sambamba?
0 Reactions
26 Replies
3K Views
am aged 26, nafikiria kuoa sasa,kwa wengi hona kama bado mapema kwa umri huu,lakini kwa mie nilishajiwekea nadhiri ya kwamba nikishamaliza masomo na kupata tu ajiri kifuatacho i kuoa pasipo kujali...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Muda Maalumu! Ndoa ni muunganiko (alliance) ambao binadamu hukutana nao na ni muungano muhimu na tofauti kuliko muungano wowote duniani. Ni muungano muhimu kimwili, kiroho, kiakili na kifedha na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi na mume wangu tuna maisha mazuri sana hasa linapokuja suala la sex. Hata hivyo siku nikiwa nimemtamani sana mume wangu (horny day) tukiwa kwenye sex hasa ninapofika kileleni huwa najisikia...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Darasa lipo "Empty" Kaka pole na kazi, mimi ni mwanamke ambaye nimedumu kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa na nahisi kitu kisicho cha kawaida kwani tunapokuwa kwenye tendo la ndoa najisikia safi tu ila...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mara nyingi wanawake huwacheka sana wanaume ambao visamaki vyao ni vidogo sana kwa kuwatania kwamba hata ukikohoa tu wakati wapo sita kwa sita kanachomoka, wakati huohuo wanaume nao huwacheka...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Imezoeleka watu wanapokuwa wanatafuta wenza/wapenzi kutoa sifa za wanaemtaka kama vile;awe sijui mweupe,sijui mrefu,sijui mweusi,awe na elimu fulani mara sijui nini utafikiri anatafuta mtu wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani kama nimekosea nakubaliana kukosolewa, kwa muda mfupi niliokaa kwenye jamvi ili, naona topic zinazohusu mapenzi mahusiano na urafiki ziko juu kwa maana ya views even replies, pia Thread...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Wakati dunia nzima inaungana kuhakikisha mwanamke anapata haki zote na kupewa kipau mbele katika masuala ya msingi ya maendeleo wapo wanawake wachache ambao huchanganya mambo kwenye ndoa zao. Ni...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuwa mkweli na muwazi ni moja ya misingi ya kujenga mahusiano yanayodumu na hata kukabiliana na dhoruba mbalimbali za maisha ya mahusiano ya ndoa. Swali kubwa ambao wengi hujiuliza, wanaume kwa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom