Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

WAJAMENE MAJUZI NIMEITWA NA KIJANA MMOJA ALIKUWA NJE YA NCHI.AKAOMBA NIMPE KAMPANI ANAMVISHA MCHUMBA WAKE pete.nilipofika hotel moja kubwa nikafurahi sana kuona kamoja cha kabinti cha mjini...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Hi wajameni! Nina rafiki yangu nawasiliananae sana kwa FB, ana kama wiki ya pili sijamuona akilog in, nikampigia simu kufahamu vp mbona apatikani kw FB? akaniambia mme wake amemfungia account...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
huwa najiulizaga mara nyingi kwa nini wanapaita kwa wajanja...sipati jibu vijana magraduate wanakimbilia sinza kwa sababu zao amabapo wengi ukiwauliza kwa nn wanaishi pale na si tofaut hana...
2 Reactions
96 Replies
12K Views
Wapendwa MMU..Heshima mbele.. Nimetumiwa, nimeiona na kusoma.. imenigusa, tusome kwa faida yetu sote.. ENHANCING RELATIONSHIPS! It is very important ; and if you are in a relationship or...
0 Reactions
0 Replies
755 Views
Hi MMU... heshima mbele.. Nimetumiwa, nimeisoma, imenigusa kwakweli... nimeiweka kwa manufaa yetu wote ENHANCING RELATIONSHIPS! It is very important ; and if you are in a relationship or...
0 Reactions
0 Replies
656 Views
Dada zangu mie nlitaka kujua kama huwa mnavutiwa na Masharobaro.....?
0 Reactions
0 Replies
954 Views
Nimefurahi sana kujua hili! Nimekuwa nikichumbia sana muda sio mrefu wananitosa, mimi nilikuwa na msomamo wa kipadre, hakuna game kabla ya ndoa! duh wiki mbili wananikimbia nilipochoka kuchumbia...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Unakuta unachat na mpenzi wako kila siku kwenye social network kama hii,facebook,my space e.t.c,but mwenzako anaunda account fake na kuanza kukutongoza upya ili ajue to kama una msimamo.Baadaye...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari ya kwenu wana jf. Mimi nina rafiki ambaye ni jinsia ya kike alikuja kuniomba ushauri afanyeje anasema kuwa ametokea kumpenda kijana ambaye ni wa mtaani kwao,anasema anampenda kwa dhati na...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Hizi ni tofauti za mitazamo za wanawake katika mahusiano kutokana na umri!15-20 Hawa wanapenda kujua utam wa mapenzi na aina tofauti tofauti za wapenzi,hawatulia,wanapenda masharobaro na...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
jamani wanajamvi embu tujaribu kuchambua iyo mada hapo juu kwa mapana na marefu. Nawasilisha.
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Usiku umefika, kiza kimetanda, kwa kazi ya leo ofisin najihisi mchovu, naitaji kupumzika tayari kwa siku ya kesho. Upweke wanitanda, mwenyewe chumbani, najipa moyo kwa ndoto za usiku. Najiuliza Je...
0 Reactions
57 Replies
4K Views
:lalala:HUKO MAJUU WENZETU SIKU YA HARUSI LAZIMA UJUE KUJIRUSHA ,KAMA UNABAHAISHA BORA UTAFUTE MSHAMBA MWENZIO.USHAHIDI HUU HAPA:lalala:
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Watu wengi tunapenda kusema yule mtoto au jamaa ananipenda sana a.k.a kanizimia ile mbaya nk. Naomba wanajamvi tujadili jambo hili kwa kina. Maadam kuna wasanii wengi sana ktk maisha ya siku hizi...
1 Reactions
30 Replies
9K Views
Habari wana JF Tusaidiane mawazo hapa,hivi kuna umuhimu wa VIJANA(wakike na wakiume) kutunza UJANA WAO (Bikra)mpaka wakati wa ndoa? Kama ndivyo,tufanye nini kurudi huko?Kama hakuna umuhimu,faida...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hivi jamani, inakuwaje akina baba wanajihalalishia kuwa na nyumba ndogo ili hali wake zao nao wakipata nyumba ndogo wanakuwa wakali kuzidi nyuki waliochokozwa..mi naona wanawake nao wajihalalishie...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
sipendi hilo,tena wengine ni viongozi wa serikali na dini,kwa kweli acheni vaeni pete za ndoa au kama hamna ndoa usivae pete,naona pete zina ujumbe ambao wengi wanaovaa hawajui!!!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wapenzi yaani naiandika hii thread huku nikicheka............Mnajua wazungu huwa wanasema when you are in love eh you feel some Butterflies in the stomach........najaribu kukumbuka na kuimagine...
7 Reactions
141 Replies
9K Views
Yani hii imekuwa moja kati ya silaha za maangamizi zetu sisi wanume kupata wanawake tuwapendao kwa haraka,if you don't have any sense of humor in your wallet,you better have a sense of cash in...
2 Reactions
49 Replies
7K Views
:glasses-nerdy: This is not about sizeism prejudices rather my personal experience and from people (couples) close to me...... However, as is the case in relations, there is not such a thing...
3 Reactions
63 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…