Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Im not asking "when" to say it as i think the question is "when you mean it'' i dont want to throw an awkward wrench into things by saying to early or freakin her out unneccessary !is a...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wana jamii kuna dada ameniomba ushauri kutaka kujua hasa ni kwa nini mumewe anapenda kuangalia picha za ngono. Anauliza au ni tabia za wanaume wengi au mumewe ana kitu gani? Anasema hivi...
0 Reactions
25 Replies
19K Views
Wasalaaaam, Jaman mimi nimenasa demu katulia ile mbaya, nimependa sana anakazi yake fresh namimi ninakazi yangu fresh! Huwa nachati naye sana yaani sana! Katika maongezi yetu yeye hataki kabisa...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Wana jf, kuna msichana ambaye nimekuwa naye toka 2008, mazingira yalitukutanisha wakati huo nikiwa na maumivu ya kuachwa. Niliamua kuwa naye nikiamini pengine moyo wangu uliovunjika utabadilika na...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nilishangaa baada ya kusikia makelele usiku wa jana nilipokua narudi nyumbani kutoka kwenye pilika za kutafuta mkate wa kila siku,kelele zile zilikua baina ya jamaa mmoja na dada mmoja wakabishana...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Tunaishi na Msichana wa kazi karibu miaka 2 sasa, Mwezi huu my wife wangu alifiwa na shangazi, hivyo tukaenda kwenye msiba kwao. Ambako ndio anakotoka binti yetu. Nikamwambia Wife ni muhimu twende...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nawasalimu tena kwa mara ya pili wakubwa shikamooni wadogo habari zenu. Wakubwa naombeni msaada wenu wa mawazo,kuna mdada rafiki yangu na jirani yangu pia mumewe yuko nje ya nchi mie sikujua...
0 Reactions
138 Replies
9K Views
asalaam aleykum wanajamvi, kuna jambo huwa linanitatiza saaana kuhusu ndoa nyingi (si zote) za kitanzania. Hivi kuenda na mke wako kwenye sherehe na kukaa nae ni kinyume cha maadili yetu...
0 Reactions
95 Replies
9K Views
Kwenye vijiji vyetu na baadhi ya makabila wamekuwa wakibishana ubora wa hii kitu,hasa wanawake,wengine wanasema bora ibaki kama ilivyoumbwa wengine wanasema bora imenywe,je ni wa JF mnasemaje????
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wana JF salam? Ni wangapi tuna amini kwenye MONOGAMY relationship? according to Oxford dictionary "the practice of being married to or having a sexual relationship with only one person at at...
1 Reactions
42 Replies
3K Views
Happy friday mabibi na mabwana wa JF/MMU. Nina swali la kizushi mwenzenu. Unapokunywa soda unapendelea kunywa kwa mrija au kwa chupa?
1 Reactions
61 Replies
4K Views
jamani kuna rafiki yangu amepata demu ni mrembo ila nikikojozi, hivyo anaomba msaada.
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari zenu wote wapendwa........................... Rafiki wa dada yangu amekuwa akilalamika hivi majuzi kuwa mume wake, amekosa uungwana/upendo na uvumilivu. Huyu dada pamoja na kuwa anaishi...
1 Reactions
74 Replies
4K Views
Inaonyesha kuwa asilimia kubwa ya wavulana siyo waaminifu katika swala zima la mausiano ya kimapenzi kwa kuwa na wapenzi zaidi ya mmoja je ni kweli?
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Simple woman aged from 20-25, Education Level: atleast 4m 4 or 6. Religion; CHRISTIAN TRIBE: SUKUMA COLOR: Simple white o black beauty see me on francismabina@yahoo.com
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Wakuu hapa nawapa 100% watu wa Bukoba...hii kitu katerero si mchezo, mtu hutelezwa mpaka tope zinaishiwa maji.....mikoa mingine hebu na nyie mna katerero ya aina gani? ielezea tuone kama...
0 Reactions
39 Replies
6K Views
Sijui kama ni swali la kizushi au uchokozi: Wote mlikuwa na njaa, mkaenda jikoni na mkapika kwa kushirikiana vilivyo na mkakipenda chakula. Mkakaa chini mkala kwa furaha zote na kuteremshia na...
3 Reactions
172 Replies
14K Views
ni kweli wasichana wengi utoa mimba wakati wapo kwenye huusino,bt wengi wanasema wanalinda penzi ni kweli
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hi! Mamboz..." naishi ktk nyumba ya kupanga, kuna jirani yangu anaishi na mke wake chumba kinachofuata, kosa ni cku wanapofanya mapenzi yani majirani wote hata usingizi hatupati ni kilio cha utamu...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwa wale wote ambao mkiachwa au mkitaka kuacha lazima mtumie matusi na kejeli kibao, kuharibiana vitu au kupigana, kutukaniana wazazi na kuharibia mitaani au kazini. Jifunzeni ustaarabu, dunia...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…