Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Jamani wana JF ninaomba msaada wenu, Kuna binti mmoja nilikuwa namdate tukiwa shule tena O level me nikiwa IV yeye II nilipomaliza tu shule mawasiliano yalikata, imepita miaka 16 toka tulioonana...
0 Reactions
74 Replies
6K Views
Upo na mpenzi wako mnayependana, mnaaminiana, dhaminiana, mmezoena, na kuheshimiana sana....! Siku moja mkaamua kutoka out mbali kidogo hadi ufukweni...! Kule mnakula maisha matamu ya hali ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
1. Awe wa kwanza kuamka na kutengeneza kifungua kinywa. 2. Afanye usafi ili awe kielelezo na mfano bora kwa watoto tulio nao. 3. Awafundishe watoto maadili mema, dini na taaluma pia. 4...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Na imani kila binadamu anaudhaifu ili likowazi nasisi wanaume ndiyo wakwanza kuwakwaza wanawake na mara nyingi mumekuwa mkiona nimakosa yakibinadamu na kulichukulia kawaida japo laweza kuwa...
4 Reactions
65 Replies
4K Views
Nimekua nikijiuliza sana kuhusu mahusiano. 1. Dada ana mpenzi wana miaka,sio mume wala mwanaume hana mpango wa kuoa, wanafanya kazi mikoa tofauti, ajabu mwanaume anampa mwanamke masharti ya...
3 Reactions
54 Replies
4K Views
Mwanaume wa nchini ya Italia ambaye alionja chachu ya mapenzi baada ya kutorokwa na mpenzi wake siku harusi ameenda mahakamani kudai fidia ya dola za Kimarekani 743,000 kwa kuvunjwa moyo na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
The happiness of a couple can be measured to a large degree by effectiveness of their communication. How a couple communicates is the one of the most powerful factors affecting success or failure...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
December 23rd ~ January 1st = Red January 2nd ~ January 11th = Orange January 12th ~ January 24th = Yellow January 25th ~ February 3rd = Pink February 4th ~ February 8th = Blue...
1 Reactions
59 Replies
4K Views
TWO PEOPLE CHATTING: First: What is the difference between wife and neighbor's wife.? Second replied: Wife is like chocolate, you can have anytime but neighbor's wife is like an ice cream, you...
0 Reactions
0 Replies
822 Views
Je Kwa Sababu Unahitaji Watoto/Mtoto? Je Kwa Sababu Unahisi Upweke Uwapo Pekee? Je Kwa Sababu Babu/Bibi Wanataka Mjukuu/Wajukuu? Je Kwa Sababu Huwezi Ishi Pekee? Je Kwa Sababu Ni Desturi Ya...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
4 years of age-My mummy can do anything 8 years of age-My mum knows a lot 12years of age-My mother doesn't know every thing 14years of age-My mother? She wouldn't have a clue 16years of...
12 Reactions
121 Replies
9K Views
Hi, Home Arusha, Geneva of Africa,mngoni baba,mama mchaga mpenzi kwanza nilachana naye miaka minne iliyopita-mhaya mlevi pia utoto ulitusumbua wa pili (Mmasai)nikampata baada ya mwaka mmoja na...
1 Reactions
316 Replies
21K Views
Juzi nilitembelea Hospitali moja kubwa Nyanda za juu kusini Mkoani Iringa, inaitwa ILEMBULA, inayomilikiwa na Madhehebu ya Kilutheri. Katika maongezi na jamaa zangu nilionyeshwa nesi mmoja...
0 Reactions
66 Replies
9K Views
Nimejionea jinsi tunavyoomboleza pale wapendwa wetu wanapotutoka. Pia nimejionea mbali na nyumbani, ughaibuni ndani ya usafiri wa umma, pale watoto wadogo wa Kiafirika wanapokuwa na wazazi wao...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wamasai huchomeka mkuki mlangoni mwa nyumba ya yeyote yule na kuduu na mke mtu yeyote aliyemo ndani.Wao mwanamke ni mali ya jumuiya na hutumika na wote. Taratibu ni: 1.boy/dume la kimasai...
0 Reactions
38 Replies
7K Views
Ni Baba wa watoto wanne wana ndoa nzuri tu. Imetokea shida ndani Mama kachukua mkopo Benki mara ya kwanza bila Mumewe kujua alikopeleka pesa anajua yeye akashindwa kulipa Benki wakaja wakabeba...
8 Reactions
92 Replies
7K Views
Mambo ya ndani na mwenza wako hayafai kuyasema kijiweni au nje. Udhaifu wa mwenzako unatakiwa kumsaidia muumalize ndani kwa ndani, kwani hakuna binadamu aliye mkamilifu. Wewe unapowaambia wenzako...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna mtu alikuja na post kama hii bt hii yangu iko tofaut kidogo..she's r.i.p 8 mothr sasa,na aliacha watoto 2 wadogo miaka 6 na 10.kuwalea ni shughul coz wanasoma na jinsia yao tofaut.which way i...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Utafanyeje ukigundua kuwa mumeo ana watoto wawili nje aliozaa na changudoa na mwingine kazaa na baa medi?
0 Reactions
84 Replies
7K Views
Take this quiz to find out if your girl finds you hot enough... Are you hot? Do you find women drooling over you or do women just not notice you at all... Which category do you belong? Answer...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom