Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kama wengi tunavyojua mafanikio ya baadhi ya wanaume hua yanategemea wanawake walio nao.Siwezi kusema wengi kwasababu wapo wengi wanaofikia kiwango kikubwa cha mafanikio bila wanawake...tho...
3 Reactions
40 Replies
4K Views
Kwa hadhi na taadhima,kwangu wewe malaika, Nilipopatwa hujuma,moyo wangu sisimka, Ya kwanza yetu miama,yako sikuwa hulka, kwako yangu ni hifadhi, ya milele si ya muda, Nilikuwa mkimbizi...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Napenda kuchukua fursa hii kujisifu,kwa sababu huu ni mwaka wa 11 ndani ya ndoa bila kutoka nje ya ndoa yaani kuwa na mahusiyano na mwanamke mwingine nje ya ndoa yangu,je ni wanaume wangapi...
3 Reactions
46 Replies
4K Views
Nina girlfriend wangu ambaye amekuwa ni mchumba wangu ila huenda kuanzia sasa uchumba umeisha baada ya kugundua kuwa nimemdanganya. Nilipokuwa chuo nilizaa na wanawake wawili tofauti si unajua...
0 Reactions
81 Replies
6K Views
Ni msomi mwenye shahada ya sheria. Anakunywa mpaka anapoteza ufahamu. Anajikojolea popote na hachagui neno. Wazazi wake wamechoka, wameongea sana na wamepiga sana. Je tumsaidieje mtu huyu?
0 Reactions
57 Replies
5K Views
Today before you say an unkind word - Think of someone who can ' t speak. Before you complain about the taste of your food - Think of someone who has nothing to eat. Before you complain...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
What come first in ur mind utaniuliza SOURCE...!! Go n search, do simple study ya wanandoa uwajuao, hudhuria semina mbalimbali za HIV/AIDS, etc, so up to 79% ya wana ndoa either both or one of...
0 Reactions
94 Replies
8K Views
mambo JF... Nimesikia tu sina uhakika na hili,kuwa moja ya sababu zinazofanya watoto kuwa bullied mashuleni ni kutokana na kuwa na facial features ama maumbile yaliyo tofauti kidogo,kwa mfano...
0 Reactions
114 Replies
7K Views
Leo, mida fulani hivi nasikiliza wimbo wa Mzee Cosmass Chidumule, "Neema" Kutoka kwenye huo wimbo napata tafakuri fulani juu ya alichokuwa anakilalamikia mwimbaji, mtoto Neema. Binafsi nimekuwa...
1 Reactions
76 Replies
8K Views
You met an incredible woman, and you really hit it off at the beginning. But the more time you spent with her, the less interested she became...but the MORE interested you became.You could feel...
10 Reactions
103 Replies
6K Views
...kumradhi kwa wataokwazika. Binafsi sijajua/sijalipata neno sahihi la kiswahili lenye maana ya pushy parents. Hivi, Unapomlazimisha mwanao mafanikio uyatakayo wewe mzazi, ni sahihi...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Vuta picha unatoka kwenye chumba cha guest ulikuwa unado na dem mwingine,kufika mlangoni unapigwa na butwaa mimacho inakutoka kidogo idondoke chini unapomcheki dem wako nae anatoka kudo na njemba...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Najiuliza sipati jibu, waungwana naomba msaada wenu.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wapendwa wana JF, mie ni mgeni na hii ni post yangu ya kwanza. Naomba msaada wenu wa mawazo ili ni-epuke hii adha ninayoipata. Ni hivi wapendwa: Nilikuwa na girl friend wangu toka 2007 but...
1 Reactions
115 Replies
10K Views
Dhahiri naweza kuwa sahihi kuamini kuwa siku hizi hakuna mapenzi ya kweli na ya dhati. Pesa huamua mahusiano ya wapenzi. Vipi kuhusu Elimu? je kuna umuhimu wa kuzingatia kigezo cha elimu kwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jam,ani kuna dada kaniuliza ananiambia mumewe anagongwa nimsaidiaje??
0 Reactions
120 Replies
16K Views
NAHISI DUNIA IMENIGEUKA, muda wangu wote,juhudi zangu zote,ndoto zangu zote, maisha yangu yote naona kama ndiyo yamefikia mwisho. Nilifanya mtihani wa kidato cha sita kama private candidates...
1 Reactions
43 Replies
4K Views
jamani mimi leo nataka kuuliza kuhusu haya mambo .. maana yanakua kwa wingi sana ni kweli si kila mwanamke amejaliwa kupata mtoto wake mwenyewe utakuta mtu na mumewe wanaishi pamoja lakini...
2 Reactions
52 Replies
5K Views
Habari zenu mabibi na mabwana, Kwa kuokoa muda na bila kupoteza wakati, niende moja kwa moja kwenye swali. Eti kudeka ama kudekezwa ndo kukoje jamani? Mara nyingi nimesikia, iwe kwa inda au nia...
0 Reactions
48 Replies
33K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…