Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wakuu,kama una mpenzi,anaesoma saintaugustine,malimbe CAMPUS mwanza,kuwa makini,kuna kahosteli kamoja karibu na barabara ya kwenda chuoni,wadada wanaoishi hapo ni baraa tupu,they are just...
0 Reactions
37 Replies
25K Views
niaje ndugu zangu? Hope kila mtu yupo safi. Ebana kuna rafiki yang mmoja anaface tatizo ambalo nimeona niliwasilishe hapa Jf kwa ushauri. Unajua issue ikoje? Huyu rafiki yang amefall in luv kwa...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Kwanza samahani kwa kuweka mada hii hapa, lakini kule kwa Dini hadi upate ufunguo toka kwa MOD na Chit-chat sio mahali pake. All said: Ninawatakieni Wakristo wote Jumapili ya Matawi takatifu...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Kunguru wanalalamikiwa sana kwa kunyakua vitu ovyo. Lakini linapokuja swala la nguo wananyakua mno nguo za ndani za kike hasa chup*. Sasa wadau nielimisheni kuna uhusiano gani kati ya kunguru na...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Mchawi kakamatwa lakini nikiangalia mbele yake naona miguu ya wamama tu,wanaangalia nini hapo? halafu ni usiku ina maana wote wapo lonely(picha kwa hisani ya kakakiiza)
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Wana JF, Hii ni maalum kwa wanaume wanaosafiri nje ya nchi yetu ama kikazi au kimasomo hasa safari za muda mfupi (mwezi na chini ya hapo). Kuna tukio limetokea usiku wa kuamkia leo. Samahani...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Long-distance dating: In love, will travel By A. Pawlowski, CNN April 15, 2011 12:27 p.m. EDT Chandra Thomas and Joe Whitfield, who are engaged but live in different cities, vacation...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Real Women vs "Hoes" by Kid_Poet Real women is what men want Real women don't put up a front Real women don't flaunt Real women do things and...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari zenu wana Jf, nimepata kisa cha kusikitisha muda si mrefu na nimeamua nikiweke hapa jamvini kinaweza kutusaidia katika kufanya maamuzi yakikukuta. Kuna mkaka namfahamu yeye ni mume wa...
1 Reactions
236 Replies
17K Views
Can't be there love without sex?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
What your heart and brain are doing when you're in love By Elizabeth Landau, CNN February 12, 2010 2:16 p.m. EST The hormones oxytocin and vasopressin make you feel deeply attached to someone...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
MSICHANA Jacklin [24] mkazi wa Kinondoni jijini Dar es Salaam amejitokeza na kutoa ushuhuda mbele ya wanawake kwa kujisifia kuvunja ndoa ya bosi wake kwa kujiita ni mwanamke wa kuigwa katika...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
anaishi na mwanamke miaka kumi sasa, wamejaaliwa kuzaa watoto 2, mume ana watoto zaidi ya 5 kabla ya kuishi na mwanamke huyo. hivi karibuni kumekuwepo kutoelewana baina yake na mwenzake, mwanamke...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Pamoja na kuwa mapenzi yanaundwa kutokana na hisia, na huwa hayachaguwi ni kwa nani na wakati gani yajitokeze bali huwa yanatokea aotomatic. Mbali ya kuwepo hali hali hiyo nina maswali...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Someni hii : How Facebook Became My Dating Nightmare By: AG Editorial Team Member (July 1, 2009) I had an eerie feeling that facebook had something to do with me still being single. I...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani naomba kuuliza, hivi kwa mfano umekutana na mtu then mkawa wapenzi ila wewe huna nia ya kuwa nae maishani, je ni makosa kumwambia kuwa hauko tayari kuwa nae maishani ila unapenda awe rafiki...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Siku hizi haombwi mtu hela ya chips ni vocha kwenda mbele. Hivi, kuna haja ya kuwa na simu ya mkononi au kumnunulia mtoto simu wakati hauna uwezo/hutaki kununua/kumnunulia vocha? Vipi mmeshakutana...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Last time tukiwa kazini, kabla muda wa kazi haujaanza from nowhere ukatokea mjadala kuhusu Condom, kwanini wanaume wanasisitiziwa sana kutumia wakati wakiana dada si kwa sana, so wadada wa hapa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Naombeni ushauri wenu tafadhali. Nina binti wa kazi ambae nimekaa nae kwa miaka mitatu,kwakweli ni binti mzuri sana mpaka nilifikia uamuzi wa kumpeleka shule.Lakini ghafla baada ya miezi...
0 Reactions
69 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…