Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Out of the ministry of luv relations for sometimes just for mantainance of a free heart and mind to be a paradise for a certain unknown girl. Fair decission?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
wanaopendana kwa dhati hawajawahi kuingia katika mahusiano wiki moja tu baada ya kuonana
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kuna house girl mmoja alibuni mbinu ya kutoka na njemba wake na kuchakachuana bila kujali kazi yake hasa ya kulea mtoto mdogo!!!Sokomoko lilitokea juzi wakati mama mwenye mtoto alipogundua kuwa...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
naanza maisha ya ubachelor wadau naomba msaada wa vitu muhimu ninavyotakiwa kuwa navyo chumba nimeshapata rum(master) na sebule nna kitanda teyari 5 kwa 6
1 Reactions
120 Replies
14K Views
Mtoto amepewa u governor wa siku moja baada ya kurekodiwa na wazazi akilia kwa kutokuwa governor kwa sababu ni too small(4yrs) .na record kurushwa You tube na kuvutia watu wengi. Governor ameona...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
I face difficultness to choose a right girl friend!Most of the girls nowadays share love with more than 1 man!This is before they get married!They say'U dont know who u will mary!have many,one of...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari Zenu wote haijalishi ni shikamooo, hujambo, mambo vipi, mzima wewe, nk salamu ni salamu nawasalimu kwa heshima kubwa niliyofundishwa na Wazazi wangu(nieleweke siwasifii wazazi wangu)...
0 Reactions
102 Replies
13K Views
Hii ni njia ya kukeep husbands safe, hope it will help you gals. Sorry wanted to just paste the picture, but I couldnt so I have attached it, but believe me it is worlth the trouble of opening.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Today’s woman is full of surprises. A lot of things can result in a woman stealing her husband’s money, but the most common excuse is when a man does not cover his responsibilities at home and the...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Habarii wana JF. Naombeni wajuzi wa mambo mnijuze ktk hili na nifanye nini hasa niweze kuondokana na hizi ndoto. Ni hivi, mimi ni mwanamume wa miaka 31, toka mwaka 2008 nimekuwa nikiota ninafanya...
0 Reactions
66 Replies
12K Views
Siri za kufanikiwa chochote unachotaka Send to a friend Thursday, 07 April 2011 08:17 Na Dismas Lyassa KWANINI katika maisha kuna watu wengine hawafanikiwa na wengine wanafanikiwa? Ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mimi ni mwanaume miaka 33. Natafuta rafiki wa kike awe mwanachuo, awe serious kwenye masomo na maisha kwa ujumbe. Lengo ni kuwa na urafiki wa kawaida, tufahamiane, tusaidiane. Huhusu sifa zangu...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Jamani nimekuwa na my wife, ambaye tumekuwa tukiishi vizuri sana, japo kama ilivyo kawaida katika maisha tumekuwa tukipishana hapa na pale na baadaye tunarudi vema kabisa.... Lakini kikubwa zaidi...
0 Reactions
73 Replies
5K Views
Ingawaje mada ni afya, nimeona bora kuituma hapa kutokana na umuhimu wa siku hii, pia kutokana na mapenzi yangu kwa Familia yangu ya JF. Ninawatakia Wana Jamii Forum, Watanzania na Walimwengu...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Hi!
Hii mada ingetakiwa ikae vp... * ujauzito kabla ya ndoa or #mimba zisizo tarajiwa!? Wit reaon plz...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mabibi na mabwana iviii haiwezekani mie kumpata mwenza toka eneo hili..... maaana nakutana na picha za wadada warembo wakichangia mada zao.......kuna sura nyingi nimevutiwa nazo... I LURV U...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
Hi..., jamani kwa wale ambao hua wanafanya kazi chini ya usimamizi au menejment, hivi mahusiano yenu na mabosi wenu yapoje?? Kwa mimi nina bahati mabaya kidogo.kwanza wa kwangu ni she. -hajui...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Waheshimiwa habari zenu! Nina jamaa yangu mmoja ambaye tumesoma wote chuo. Ameoa na kwa sasa ana mtoto m1. Kutokana na kupunguzwa kazini kwa sasa anahangaika kutafuta kazi mikoani. Kodi ya Chumba...
0 Reactions
58 Replies
6K Views
kweli wanawake hampendan,madem wawili marafiki,mmoja kaolewa ,huyu alie olewa ameanza kutoka na boyfriend wa rafiki ake,tena katafuta sababu wakavunja urafik wao,pia anamshaur uyu boy friend...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
mimi ni msichana nina boyfrend wangu ambaye mapenz yetu yameanza tangu tukiwa udsm mwaka 2004-2007na mpaka leo tunaendelea,mimi nilikuwa wa kwanza kupata kaz 2009 na yeye kipindi chote alikuwa...
0 Reactions
112 Replies
12K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…