Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

wakuu hapa nilipo maleria hadi imepanda kichwani baada ya demu wangu niliyekuwa namwamini kumegwa na mshkaji wangu wa karibu sana ambaye nilishamsaidia sana (kifedha) na hadi kupata kazi sasa...
0 Reactions
111 Replies
9K Views
Watu wengi hasa vijana waliofiksha muda wa kuoa au kuolewa wengi wanatamani sana maisha ya kuwa na wenza wa maisha yao. Harusi nyingi huandaliwa kwa gharama kubwa kiasi ambacho kwa mtu ambaye huna...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Hii Soda vipi wana jf? nikianza kuinywa tu gesi inakwisha hasa nyakati za usiku, wakatimwingine nakunywa mpaka nusu, kabla sijamaliza ishaflet, mwanzoni haikuwa hivyo nilikuwa nakunywa mpaka...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Ukienda baa peke yako kama wewe ni mwanaume utapewa huduma kwa unyenyekevu sana na wahudumu hawa wa kike hadi utajiona kweli wewe ni mfalme kama ule usemi usemavyo "mteja ni mfalme". Kabla...
0 Reactions
40 Replies
6K Views
Tarehe fulani, binti alisherekea siku yake ya kuzaliwa! Siku mbili baadaye,pacha wake ambaye ni mvulana, akawa anasherekea siku yake ya kuzaliwa vile vile! Inawezekana vipi hii?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua. Wapo wa2 waliochagua kua wataishi peke yao bila kujihusisha na jinsia nyingine. Ktk maisha haya m2 awe mwanaume ama mwanamke huwa hana mshikamano na m2...
0 Reactions
88 Replies
17K Views
Wakaka tupeni kila kitu kwa volume,quantity and quality mnayoweza iwe pesa, gari, tununulieni nguo,viwanja incase kabla ya kutuoa rasmi (kuishi pamoja) ila musifanye hili Msitusomeshe/Lipia...
2 Reactions
50 Replies
5K Views
Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Filauni! Nilikuwa na mpangaji mwenzangu katika nyumba moja Dar. Jamaa alikuwa ni rafiki yangu sana na alitokea kuniamini sana kwani alikuwa ananihadithia mambo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
umeshawahi kujiuliza? Hivi hasa kwa ambao hawajaolewa umeshatoa penzi kwa wanaume wangapi? na umepata faida gani? au kwa kumsaliti mumeo umewahi pata faida gani? Kwa nini isifikie mahali...
0 Reactions
128 Replies
8K Views
Jamani cku zote wanaume ni wabishi kwenye magari.Lakini juzi nimepanda gari flani konda alikuwa bonge la msichana.bac wanaume walikuwa watiifu kama wanapokea sakrament kwa padre.Whyyyyyý jamani?
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Ndugu zangu wanaJF hii imekuwa siri yangu ya muda mrefu bt leo naiweka wazi, ikiwezekana mnipe ushauri. Mwenzenu kwa muda sasa nimekua nikipatwa na yale matatizo ya kiume wakati wa mambo fulani...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Pendo ninakupa pole Kwa yote yalokusibu Nakupa haya na yale Ni miye wako habibu Pole nyonda pole, kutoka kwa pendo pole! Yamenitoka machozi Mawazo yajaa tele Nimeshindwa fanya kazi, Nikiyawaza...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Mpenzi msomaji, wiki iliyopita nilikuletea mada iliyohusu ‘penzi la kweli halionekani kwa macho’. Bila shaka bado unatafakari ili uweze kutoa maoni yako kuhusiana na yale niliyochombeza kama...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
halooooo. Hope mko ok wote. Jamani mwenzangu amenipiga stop ya kunido eti anasema kwa 7bu ya kwaresma, kila ninapomuhitaji hataki kabisaaa, hvi inawezekana kweli hyo ikawa 7bu au analake jambo...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Wanajamii mimi naomba kuuliza kwenye ndoa kama kuna mgogoro mama kumnyima baba tendo la ndoa ni sahihi au ndio kubomoa zaidi?mimi nadhani hapo tunakaribisha nyumba ndogo au?au hapo baba...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Wakuu, nimepata message toka kwa jamaa yangu tunayeheshimiana sana akieleza mkasa uliompata jioni ya leo... ....baada ya kumpima huyo demu kwa kutumia kipimo cha mkojo, akaonyesha yuko...
0 Reactions
92 Replies
8K Views
Naombeni mpokee kwa upendo wa dhati kutoka ndani kabisa ya moyo wangu, my ho hot Kiccciiiiii
0 Reactions
23 Replies
4K Views
MSIBA MINNEAPOLIS- RIP SHEDRACK BALIRA Ndugu, Jamaa na Marafiki, Tunasikitika kutangaza kuwa Watanzania wenzetu Meshack Balira amefiwa na mdogo wake Shedrack Balira aliyefariki...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kuna jamaa mmoja amezidi sana kuchakachua,sijui ana pepo la ngono au amechanjia!!!Hivi kweli ni halali kuchakachua watu watatu wa familia moja???Jamaa alianza kutembea na dada mmoja(rika...
0 Reactions
42 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…