Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Pamoja na kuwa napenda sana kutumia jf tokea nikiwa siyo memba hadi sasa nimeshajiunga, kwa sasa imekuwa tofauti. Sijuwi ni kwangu tu au na kwa wengine wanaotumia simu pia. Tatizo ni hili, siku...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Najua pahala hapa hapaharibiki neno nimeolewa yapata miaka kadhaa sasa nina watoto wanne,Mume wangu hatulii kabisa, Ni mcharuko kwa kwenda mbele hapishi skirt wala gauni.Mie...
0 Reactions
32 Replies
6K Views
Man dies for ‘too much sweetness’ during sex By Nyasa Times Published: March 10, 2011 Related Police warns on mob justice after Ndirande thieves killed Buying, selling sex not illegal in...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
:panda:Wanajamvi, kuna kijana mmoja anasema, eti ametokea kumpenda sana mpenzi wa kaka yake, amejaribu kujizuia ameshindwa hivyo anataka ajaribu bahati yake kwa huyo mpenzi wa kaka yake! Sasa...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Unakuta mwanaume ana nyumba ndogo na jamaa anaelekea kuitelekeza nyumba kubwa(yaani mke wa ndoa) baada ya kuuliza inakuwaje hivi unaambiwa jamaa kalishwa dawa, hivi hizi dawa gani na kweli zipo...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Khabarini wana jamvi nimatumaini yangu ya dhati kuwa mu wazima wa afya tele na kwa wale wanajickia mafua,maralia,uchovu wa hang'over poleni sana.Jamani nakua kama nachungulia humu jamvini hii ni...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Guys,letc be honest on this one. We all know dat mwamba ngoma ngoz huvutia kwake but lets be honest n speak the truth. Usiseme just kutetea jinsia yako,naomba 2wekane wazi kuhusu hili swala kwamba...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Dear All, TELL ME WHATS THE PURPOSE OF KISSING SOMEONE PLEASE ANY IDEA??????
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Nimekutana na threads kadhaa ambazo wadau wanalalamika kuwa wamegundua kuwa walio nao wana wapenzi wengine hivyo wanaomba ushauri. Nimeona niianzishie thread kabisa, ili lijadiliwe upya. Kwa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
WIVU!! Wivu uko kila mahali...kwenye mapenzi...kati ya marafiki...kati ya wafanyakazi na wanafunzi wenza...ndugu na hata maadui. ''Wivu ni kidonda ukizidisha utakonda.'' Ndivyo tulivyokua...
0 Reactions
121 Replies
10K Views
Huwa napenda kumsapriz my waif na vijizawadi sometimes. Leo nimeona nimpigie sim nimuimbie wimbo mzuri wa kuliwaza kimapenzi wa zamani. Nimejaribu kuwaza hapa lakini kila ninaowaza haujakaa kivile...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Wadau niliwahi kutendwa kama mara 2 hv kiasi kwamba niliapa ctakuja kupenda tena.Nimedumu bila mpenzi kwa miaka miwili bt last 6 months kuna girl nimempenda sana tena nimevumilia bt mwezi huu...
0 Reactions
59 Replies
4K Views
Wana JF Natumai mko shwari, ni ivi jaman! Kuna dada hapa anahitaj msaada wa mawazo, ni ivi:- huyu mdada ameolewa 2yrs ago, toka aolewe wazaz wa mume wakawa wakiulizia mbona hapat mimba? yan...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Naomba msaada Great Thinkers! Kuna baadhi katika jamii wanaitwa Malaya...lakini wenyewe jina hilo hawalipendi asilani. Sasa najiuliza kwani ni vitu gani ukifanya ndio unakua Malaya? Mod naomba...
0 Reactions
43 Replies
7K Views
HUSIMWAMBIE MKE WAKO SIRI YAKO. Hilitokea siku moja wakati Mr Martin na mke wake Joyce Wakiwa wamekaa kweneye kiambaza cha nyumba yao huku wakibanika kuku. Ndege aina ya KUNGURU akaruka...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Ni rahisi. Wanaume wenye 'gene' ya DRD4 wamegundulika wanatabia za kucheat, uncommited sex na uhuni wote. So, wadada, chukua kitu chochote cha mwanaume wako kama mswaki, kitana, (ambavyo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
WADAU hali zenu??? nina gf wangu tupo nae zamani, ila apa miezi michache nimekuwa na uhusiano na wengine kwa mda huu, yan ni kweli nawapenda nao wanakubali kuwa nawapenda na wapo tayari kuwaacha...
0 Reactions
85 Replies
7K Views
Napenda kuchukua nafasi hii kukutakia heri ya kuzaliwa.Mungu akupe maisha marefu ya furaha na yenye baraka tele, Furahia siku yako ya leo kwa upendo na amani! Tupo na wewe pamoja! Mungu...
9 Reactions
152 Replies
8K Views
Habari wana JF!! Nilitokea kumfahamu X boy friend wa mke wangu baada ya kupita miaka mitatu ya ndoa yetu kwani alirudi kwake akiwa na nia warudiane but akakuta ameolewa na mimi so ikashindikana...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Inaonekana kama ni story ya kufikirika na ni ngumu kuamini lakini imetokea huko Pittsburg,Fayette County Illinois. Travis kijana mwenye umri wa miaka 25 alikua ameketi na mpenz wake Nicole kwnye...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom