Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Leo hii asubuhi nikiwa ktk daladala, niliwasikia akina dada wanaongelea mambo yao ya jana usiku, mmoja akiwa anamweleza mwenzake kuwa, baada ya kuona jamaa anamwangalia kwa ishara ya kumtamani, na...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
suppose una rafiki yako wa jinsia tofauti ambao urafiki wenu goes way long back. Mnashare everthng 2gthr,always mko pamoja mpaka watu wengine wana fikiri ni mtu na mpenz wake. Wewe unamshirikisha...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
He met her at a party.. She was so beautiful, many guys were chasing after her, while he was so plain and simple, nobody paid attention to him. At the end of the party, he invited her to have...
0 Reactions
2 Replies
983 Views
Napenda kuchukua fursa hii kwa upendo wa dhati kabisa kukutakia maisha mema na marefu kwa siku yako ya kuzaliwa. Mungu akupe nguvu, hekima, uwezo, na afya njema kwa miaka zaidi 100000 ijayo...
1 Reactions
154 Replies
11K Views
Ndungu, jamaa marafiki na wapendwa wote wa jamii forum Daaahh wiki ya machungu wiki hii nimeshuudia poster Nyingi za wana jamvi wakielezea kwa undani nini kilicho wasibu utotoni...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Maana nakuwaga na kama wiki mbli ivi libido inakuwa juu ajabu, then kama wiki moja ivi sina hamu na dem. Hivi ni kwangu tu au hata wengine? ARRRRRGH.... Alaf zile siku sina ham ndo 'opportunity'...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Kuna thread inauliza mkoa wenye wasichana/wanawake wazuri. Mbona watu hawaulizi mkoa wenye wanaume wazuri?? Kwa swali hili, mimi naanza kujibu ni MKOA WA MARA.
0 Reactions
83 Replies
16K Views
Habar zenu wanathnker kwa muda kidogo nilikuwa nipo off air hii ni kupambana na hal ya maisha ya hapa na pale ili kutimiza kaul ya wazir kila mtu atakula kwa jasho lake. 2achane la hlo kubwa...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Jamani ivi inakuaje,unakuta mwanaume mtanashati una mvuto,nadhifu,maridadi etc. But kila unapojaribu kumuaproach mdada fulani unajikuta una kula kibuti? Halafu,hivi kwanini siku hizi mapenz...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF Mm ni mwanamke , nimelelewa vizuri na wazazi wangu wote wawili, nimesoma nina advance diploma ya IT na kwa sasa naongeza ujuzi wangu ktk chuo cha IFM. Nimeolewa na nina...
0 Reactions
62 Replies
5K Views
ETI WANAjf WENZANGU...NAPENDA KUJUA JINSI WAGENI WANAOJIUNGA NA JF WANAVYOFURAHIA KUJIUNGA,nimejaribu kujiuliza lkn sijapata jibu.Jingine ni kwamba,ni kwanini wavulana walio ktk mahusiano...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Naomba munisaidie ni fanye nini ili nipate mke? Mimi nimekuwa nikitafuta mke kwa miaka mingi sasa ila cha ajabu kila mwanamke ninayedo naye huwa analia sana.nilizani ni kwa7bu ya raha anayopata...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Sudden bursts of physical activity - such as having sex or jogging - significantly increase the risk of having a heart attack, a new study has found. People are 2.7 times more likely to have...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Wandugu hivi unapomuoa mwanamke ambaye amezaa/alishaolewa na mwanamume mwingine, huko mbele ya safari hukumbuki alichokuwa anakifanya KITANDANI NA MUME mwenzio na kuona umepotea!!!!
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Best Divorce Letter Ever | The Best Article Every day My self ...I dont know!!!Maybe ladies they can tell.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanajamvi habari zenu,kwa kweli huu wimbo niliupenda toka nikiwa mdogo,na nimekuwa nikiuimba kwa kukosea kosea ila ujumbe wake kwa kweli ni funzo. kama kuna mwenye kuufahamu woote naomba anipatie...
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Naomba ushauri kwa hili wana jamii. nina urafiki wa kimapenzi na msichana ambao umeduma takribani miaka 5 sasa, lkn kulitokea matatizo ya mm kutokubalika upande wa mama yake haswa baada ya kupata...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wajomba ndoa si lele mama, unapokua umeoa/olewa ujue kua ndoa inatengenezwa na tendo la ndoa(sex) bila hivyo inakua ndoano. Kila mwanandoa inatakiwa akate kiu ya ngono kwa mke/mme wake, hivyo...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
ninani mwenye kuhitaji mchumba
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Nawapenda wote wanajamvi, hamjamboo!! Kuna jambo huwa silipendi sijui nyie mnalionaje. Unakuta watu wanafahamu fika wewe mume/mke wa mtu Walikuwa na siku nzima ya kukupigia simu kuongea mambo...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom