Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Swali hili kaliuliza Bi flora Wingia katika safu ya 'maisha' kwenye gazeti la 'Nipashe' la jana,hebu tutafakari hili mada.Kauliza hivi: 'Inakuwaje mwanaume aishi na mwanamke,azae naye watoto kisha...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Habari mabibi na mabwana wa baraza,naamini mpaka unasoma uzi huu basi utakuwa umzima wa afya.Kama sivyo nikupe pole. Leo ninataka niwaletee hii mada ambayo inaweza kuwa namitazamo tofauti kwa wana...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Only B.O.G can allow to read this
0 Reactions
2 Replies
914 Views
Ukiwa umepakia mshikaki kama hivi dah na upo kilaji mbona Chuda jirani. Hapo ukumbatiwe na binti dah unaweza ukaona speed ya 120 ndogo Tuk tuk inaraha zake jamani.
1 Reactions
22 Replies
5K Views
mimi nimeolewa miaka mingi iliyopita nimeishi kwa amani na upendo na mume wangu,pia mungu katujalia watoto na mali lukuki, kwa kifupi sina shida.ila sasa matatizo yameingia ndani ya nyumba. huu ni...
0 Reactions
225 Replies
20K Views
salaam wapendwa. jamani hivi ni kweli wanaume wengi walio na umri kuanzia miaka 40 kwenda juu, uwezo wao wa kufanya mapenzi ni mdogo? Mfano, aki do mara 1, hawezi tena mpaka mwezi upite or...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Kwanza ni salama,haina gharama zozote zile,inaridhisha mnoooo, na wazungu saiv wametuletea ze so kold TOIZ kama umechoka tumia mikono yako. Save life .. Stop AIDS.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Ni weekend tulivu ya last week nilikuwa napiga moja moto na moja baridi pembeni kulikuwa na bulaza mtanashati na mrembo pembeni yake. Simu yake ikaita akawa kapokea ili amdhihirishie mrembo wake...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Na Tu discuss hiyo Title hapo Juu Jaman, About three of Rafiki zangu wametokea kuambiwa hiv na Wadada wanaowapigia Misele.. Mmoja wao ndo alienda Mbali kidogo na huyo Mdada,mdada alionesha dhahiri...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Wakuu, Nimefanya kautafiti kangu kadogo kwa kuanzia na marafiki zangu na watu walio karibu na mimi na nimegundua wanaume wengi kabla hawaja Engage wanakuwa wamechovya sehemu nyingi sana...
0 Reactions
73 Replies
7K Views
Wanandugu hope mu wazima, Hivi tofauti ya haya maneno ni nini?Nakupenda Nakutamani, Nakuhitaji. maana ya maneno haya matatu kwenye mahusiano ni nini? Kuna shosti wangu analalamika kuwa mchumba...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Nina mshikaji wangu mmoja hivi. Tunaelewana sana ila ana shida kidogo. Anapenda totos kwa sana. Tatizo lake ananambia kuwa akido tu nje mywife wake humuuliza kesho yake jana ulikuwa wapi na nani...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Naomba hisia zenu wadau..hivi ushawahi 1.kutongoza/tongozwa na bubu? 2.kushuhudia bubu anavyolia anapoondokewa na mpenzi wake..nazungumzia msiba wa gf/bf wake? Mimi sijawahi ila nina imani...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Popobawa akikutembelea eti lazima umtaarifu mkeo au mumeo au hata watoto kuwa umetembelewa ndio aache mchezo wake na kuhamia kwingine.Je kuna ukweli wowote!!!Kuna mtu mwenye taarifa sahihi au...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
You don't always have to be in a relationship. Just relax, spend some time to get to know yourself so you can function in a relationship.
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Mshua kagomakabisa nisitinge Loliondo, kila nikimstua ujue ananipa zipi? Niweiti mpaka amalizane na projekti flani ambayo inamfanya awe bize sana. Sasa basi... Washua kama hawa ujue ndio...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Ajinusurisha polisi kwa kujeruhi mke kwa wivu wa kimapenzi Friday, March 18, 2011 10:38 AM KIJANA mmoja jina kapuni [34] mkazi wa Yombo amejinusurisha kituo cha polisi baada ya kumjeruhi mke wake...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni kama wiki sasa kwenye magazeti ya udaku habari ikiwa ni SHYROSE-jaffarai jafffarai anadai ni mchumba wa SHYR kwa miaka minane na walipanga kupata mtoto. Hivi inaingia akilini miaka minane No...
0 Reactions
65 Replies
6K Views
Y!mwanamke akimfumania mmewe ni rahisi kumsamehe kuliko mwanaume umfumanie mkewe itakuwa vp!!
0 Reactions
14 Replies
2K Views
wasalaam wanajamii!! mimi nimekuwa nikijiuliza sana jinsi jamii yetu ambavyo imekuwa ikibadilika kwa kasi ya ajabu hata kwenye maswala ya mahusiano na mapenzi kwa ujumla haswa kwa kuiga tamadduni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom