Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

When A Woman Loves Lyrics When a woman loves She, she loves for real When a woman loves She, she, she loves for real She took me back After I broke her heart About a thousand times She gave her...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
jamani wana JF ni muda wa zaidi ya miaka minne sasa kuna rafiki yangu amekuwa akiishi na mchumba wake, lakini binti amwamini kabisa, mara nyingi wanakwazana, hasa jamaa akituhumiwa kuwa ni PLAYER...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Wanajamvi heshima na iwe nanyi nyooote...!! Wanawake mh!! mapenzi yananisumbua sana naitaji muongozo,muongozo kuhimili hali halisi ninayo ipitia,yalikua mapenzi haswaa baina yetu-istoria ni ndefu...
0 Reactions
50 Replies
5K Views
Wapenzi wa jamvi hili, Nimekuwa nikijiuliza sana hivi ndoa za wake wengi mfano wanne hata kama ni halali kisheria huwa zina upendo na mapenzi ya dhati kweli miongoni mwa wanandoa? Mimi naona...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Najua wengi mtakuja na siasa za Oooh Valentine tunaiga, kwa nini niifanye siku siku hii special kushinda zingine, sijui mimi nampenda wife or hubby na kumtreat sawa kila siku, why today iwe...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kakuambieni nani kuwa tamaa ndio hufanya watu kuwa na mahusiano nje ya yale walio nayo ( ndoa, uchumba n.k)?? Nachoka kusikia kila mara mkisema ...kapata mtu mwingine shauri ya tamaa.kwani...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Tofauti na huko nyuma, utongozaji wa siku hizi unafanyika mkiwa mmezumgukwa na ma VX kama inavyoonekana kwenye picha. Hapo sidhani kama binti atakutosa. Ma VX yote hayo. Linganisha hizo picha mbili.
0 Reactions
65 Replies
7K Views
Nashukuru kwa maombi yenu nimerudi salama salimini. Valentine ikanikutia huko hata sijaifaidi na laazizi wangu lakini yote heri tu bora uzima. Mnaendeleaje?? MMU Hamwezi amini vile...
0 Reactions
64 Replies
4K Views
LONDON - Red-haired Prince Harry will be his brother's best man and Kate Middleton's stylish younger sister Pippa will be her maid of honor at Britain's April 29 royal wedding. The announcement...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
kuna kitu kinachonishangaza kuhususu hizi ndoa za mke zaidi ya mmoja. je wenye wake wengi wameoa hivyo kwasababu ya tamaa? Au wana wasaidia wanawake ambao bado hawajapata mme? Au ni utajiri ndo...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
. . . . the only reason women think all men are the same is bcoz sometimes BOYZ pretend to be MEN Gdnyt JF
0 Reactions
49 Replies
3K Views
Unaambiwa kwamba katika dunia hii kila mtu ameumbwa kwaajili ya mwenziwe. Maisha ni kuheshimiana na kupendana daima.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wana JF Ni kitu cha kawaida kwa mzazi kumkumbushia mtoto/kijana wake kuhusu suala la mapenzi na mihemuko inayowapata vijana katika umri wa kubarehe au niseme katika level ya sekondari na kurudi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The world's longest kiss took place on January 28, 2002. Louisa Almodovar and Rich Langly of New Jersey kissed for a record 30 hours, 59 minutes and 27 seconds on a segment of "Ricki Lake"...
0 Reactions
32 Replies
10K Views
waheshimiwa, mimi ndiyo kwanza nimejiunga. nimefanya ziara ya baadhi ya majukwaa na kuchungulia mijadala michache. Nilipoingia kwenye lile jukwaa la siasa heartbeat zangu ziliongeza kasi kwa...
0 Reactions
72 Replies
5K Views
Ananiuliza kama n'nadem namwambia sina anahisiashaniona sehem tatizo kanisahau jina unaitwa nani......................................... YouTube - Daz Baba ft. FID Q
0 Reactions
12 Replies
5K Views
kwelii tumeishiwa mbinu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimeweka thread yangu yenye kichwa "Valentini ya 14/2/2011" Jamaa yangu karudi 6.30 amelewa hoi, kaniletea ua lililochakachuliwa hii imekaje jamani? Hii thread inaubaya gani hadi iondolewe?
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Siku hizi naona huu mchezo Wa kuingiliwa kwa wanawake wa ki tz kinyume na maumbile unaota mizizi kwa kasi ya ajabu.Jamani huu mchezo una madhara makubwa sana, na kubwa zaidi ni kudhalilishwa utu...
0 Reactions
102 Replies
11K Views
St. Valentine's Story Siku ya wapendanao ni sikukuu ambayo huadhimishwa kila ifikapo tarehe 14 Februari ya kila mwaka (Valentine Day). Historia yake imeanzia karne ya 3 huko Roma ambapo...
0 Reactions
114 Replies
9K Views
Back
Top Bottom