Kusema kweli mi ni mshabiki wa Yanga, kwa hiyo naichukia Simba. Kutokana na hilo sijawahi kuvaa wala kumnunulia mpnz wangu nguo nyekundu. Tena huwa siko comfortable nikiambatana nae akiwa amevaa...
If love is great, and there are no greater things, then what I feel for you must be the greatest.
I don't pretend to know what love is for everyone, but I can tell you what it is for me;
love...
Kuna Mdau aliwahi kuuliza maswali katika thread moja iliyoko hapa: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/102386-wanaume-nisaidieni.html.
Katika maswali hayo kulikuwa na swali...
kuna rafiki yangu alikuwa na mke hapo awali,ikatokea tafrani wakaachana jamaa akiwa kwenye msoto mkali,akaahidi hatooa tena!Mungu si athumani akatokea mdada akampenda akamuoa,sasa kivumbi yule mke...
Waungwana swali la kizushi. Je sehemu zipi unaweza kutembelea na ku enjoy? Hoteli nzuri za kufikia, sehemu nzuri za kujirusha and of course mahali unapoweza kwenda na kuona warembos wa kitanga wengi!
Wana JF siku ndo znaendelea kuyoyoma namna iyo..vp manthly plan yako ya januar.tayar!?..sio ishu!nina utata apa,naish dsm ni kijana mwenye ajira sekta binafs tangu june last yr..kipato changu...
One morning the husband returns after several hours of fishing and decides to take a nap. Although not familiar with the lake, the wife decides to take the boat out. She motors out a short...
Kuna aina nyingi za Mapenzi. Kuna mapenzi ya Mama na mwanae, family members, marafiki n.k. Mapenzi ya namna hii huwa yanatokea au kuanza bila kuwepo na condition ya TRUST.
Kumekuwa na mijadala...
How to have him begging for more
Sex is a glorious, delicious, sumptuous feast. It is simply one of the most fabulous aspects of being alive. When it's really good it turns you weak with...
Hello wapenzi wa forum hii .
Nilikuwa nauliza swali na nina imani nitasaidiwa, mimi kabila langu ni msukuma , na nimekua nikivutiwa sana na makabila ya wanyakyusa, wapare, wasambaa, Je kama siku...
"I had food poisoning that was really bad. Just realized we bought eggchops on sunday from Royal Bakery at Kawe Road, a number of people were affected as well- 2died and 18 more hospitalized. The...
Kwa wale wote walio nje, wenye wapenzi bongo nataka kuwapa fursa ya kutuma maua na vitu vengine! General costs ...flowers usd 40/=includes a card with message! chocolates usd 10/=, wine usd 20...
Habari zenu, Wiki kadhaa zilizopita nilirudi nyumbani kumkuta mume wangu na mjomba wake wakiwa wanazungumza.Nilitulia sehemu nikawasikiliza kiasi,nilichanganyikiwa.Nikaondoka, badae nikarudi...
Nakumbuka miaka ya nyuma niliwahi kuwa na mpenzi wangu ambaye mpaka leo nimeshindwa kumuelewa alikuwa akimaanisha nini.Kila siku alikuwa akifika kulala kwangu lazima aache nguo yake ya ndani...
Mzazi ni mtu muhimu sana katika maisha ya kila mmoja wetu....ila wakati mwingine wanaweza kuharibu zaidi ya kujenga kutona na influence waliyonayo juu yetu!!!
Ni sawa kumjali na kumwangalia...
I just read this article and find it very useful...may be you can also learn sth....
Never Argue With A Fool They Will Drag You Down To Their Level.
Do you feel like every time you get...
Wanaume wengi wanatumia mara kwa mara haya maneno bila kujijua wakati wanapofika mwisho wa safari. Hata ukicheki zile picha za video utasikia maneno hayo. Hivi huwa inaashiria nini?? Au ndiyo...
ndugu zangu mimi nipo very serious. nataka kumpa surprise ya maua na zawadi ndogo mke wangu ambaye tumeishi naye miaka isiyopungua 4. huwa nampa zawadi mbalimbali ikiwemo mapenzi ya kweli.
sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.