Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Zimekuwepo kampeni siku hizi kuwa ukitaka familia yako iishi maisha mazuri, bas couples wazae watoto wachache katika mazingira ya kiTz, hiyo haiapply sana coz ukizaa watoto wachache, then...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Wanajamii nawasalimia wote, wakubwa kwa wadogo, Wake kwa Waume...! Naomba kuuliza, hivi huwa ni kitu gani kinachochea au kinasababisha wapenzi waliokua wakipendana kwa dhati na hatimaye...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Mnajua ninachoongelea hapa. Hakika wengine tungekufa hivihivi! Wenye magonjwa yaliyofichika lazima yangeibuka tu.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Meant to give some laughter for a start but also so educative you got to pass for your driving test. Lovely!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wapwaaz nimewamiss sana aisee.....! mi naona TUKUTANE TU NA KUNYWA POMBE!(mavodka,valuu,viceroy,grants n.k) mi naona inafaa zaidi kwanin inafaa zaidi? -inauma sana kuangalia BUNGE LA KITOTO...
0 Reactions
76 Replies
6K Views
Leo nimepita mitaa fulani ya Ilala nikiwa kwenye pilikapilika za kutafuta vipuri vya magari. Nimesikia vijana wakipiga stori iliyonivutia kidogo. Actually, walikuwa wanafundishana kwamba kama...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Kama ni kweli kwanini wadada wengi wanapenda huu usafiri? Pikipiki na bajaji, Nini kimejificha nyuma ya huu usafiri.
0 Reactions
49 Replies
5K Views
A Wife is like a TV A Girlfriend is like a MOBILE At home u watch TV, but when u go out u take your MOBILE No money, u sell the TV, got money u change your MOBILE Sometimes u enjoy TV...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu naombeni mnishauri Naishi nyumba moja na dada mmoja ambaye nimetokea kumpenda (na sio kumtamana) sababu nataka kumuoa tatizo nashindwa kumweleza jinsi moyo wangu ulivyomdondokea kutokana...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kutokana na utata unaojtokeza kwenye familia nyingi kiac cha kuleta kutoelewana juu ya watoto.hisia mbaya huwakumba hasa wanaume wakidhani watoto wale c wao.je nani mhusika mkuu wa swala...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
80 20 rule states that: The rule of thumb is that in many instances 80% of the consequences stem from 20% of the causes. Kwa lugha nyepesi 80% ya mafanikio yako yanatokana na...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
JamiiForums |The Home of Great Thinkers - JF Chat Unaweza kuangalia juu kwenye navigation bar. Karibu na maoni yanakaribishwa tu
0 Reactions
132 Replies
8K Views
Loh sijui raha iko wapi jamani...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Uncle XOXOQY 2day's class:-Asilimia kubwa ya watu waliopata kupenda katika maisha yao kisha wakatendwa hupata "mvunjiko wa moyo"(brocken heart),watu wa namna hii hupata matatizo ya kisaikolojia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu zangu, Staili ya maisha ya sasa inatupeleka pabaya wanaume na kutishia ndoa nyingi. Ajabu wakati wanaume wengi wanakabiliwa na upungufu wa nguvu ya kiume, hamu ya wanawake kuwataka...
0 Reactions
47 Replies
6K Views
WanaJF, Tafadhali kwa wale wajuzi wa madawa ya kuongeza nguvu, naomba wanipatie uzoefu wao. Ni dawa gani inayofaa na yenye madhara kidogo?
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Mamboz ma Great Thinkers! Haya majina ya ROOM za GUEST yananiacha hoi unaweza ukafikiria mtu kasafiri nje ya nchi kumbe yupo TZ coz wamezipa hizo room majina ya miji mikubwa ya nje ya nchi kama...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Haya haya wana MMU.....! Teamo anaona ni busara zaidi kama tutaelezana facts kuhusu ndoa na mahusiano ya kizazi hichi...(kizazi cha nyoka,kudadadeki)...! -uchakachuaji umezidi sana tu TENA...
0 Reactions
150 Replies
9K Views
Nawatafuta wanafunzi wenzangu Olympio Primary School Dar class of 1976. Nilikuwa nnahitaji kuwasialiana na Mpeli Swebe, Pius Makene
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari zenu, kuna mdada nilifahamiana nae wakti npo kidato cha 5(kwenye kutembeleana kishule) na tumekuwa marafiki mpk leo. Mm kwa ss niko mwaka wa 3 bt pia nafanya kazi. Hyu dada wiki jana...
0 Reactions
57 Replies
5K Views
Back
Top Bottom