Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Mweekee bajeti ya kiasi cha pesa, muonge mara ya kwanza, ya pili, ya tatu mpaka ya tano. Mara ya sita omba mzigo. Walahii Aruki!!! Ukiingia kwa sound, mtafika kigoma kwa treni na kurudi hata...
0 Reactions
237 Replies
24K Views
utakuta mwanume na mwanamke wanajuana miaka mingi, ila hawako karibu sana tena, wanaheshimiana miaka yote, ila siku wakila TUNDA au wakifanya tendo la ndoa wanakuwa karibuuu, tena wanakuwa HURUU...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wana JF!!! Siku hizi hii issue ya WALIMU kutembea na WANAFUNZI imekuwa kawaida sana,lakini najaribu kujiuliza maswali mengi sana. 1. Ni kweli walimu wa siku hizi wana TAMAA sana?? 2...
0 Reactions
44 Replies
7K Views
Haya tena hii ni kwa wale wanao tudharau ma engineer kuwa hatujui kuimbisha demu cheki style zetu za kuimbisha demu "Hi dear Yesterday, I was passing by your rectangular house in...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tuko katika wakati mgumu sana! ingawa tuna kabiliwa na matatizo mengi yanayo pelekea hata Maaskofu, Masheghe, Mapadri na watu tofauti ambao hapo awali hawakuonekana katu kujihusisha na Siasa hata...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Eti nasikia wanawake wa kusini hasa Wamakonde na Wangoni ni watalaam sana kunako 6 kwa 6! wenye uzoefu na wanawake wa kusini tafadhari mchango wenu!!!!!!!!!!!!!!!!!
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari zenu binafsi wapendwa, kaka,dada, baba,mama,babu/bibi. Hongereni kwa kumaliza weekend salama, natumaini ilikuwa nzuri, hata kwa wale ambao haikuwa nzuri kama walivyotarajia poleni ila la...
0 Reactions
73 Replies
5K Views
Mwanaume wa zamani akiwa anamtaka mwanamke 1: Akiwa Bar na wamekaa meza moja atazungusha raundi hata kwa hela za kukopa 2: Daladalani atakuwa gentle na kukulipia nauli hata kama ilikuwa yake...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
jamani nisaidieni mwenzenu, huyu bwana anapenda sana kutumia vipako vyangu vya kike! yaani utakuta nina perfume yangu naye ana yake lakini atatumia yangu kisa eti zinanukia vizuri, hivyo hivyo kwa...
0 Reactions
80 Replies
8K Views
Hii nimeiona mahali nikaona ni vema kuiweka hapa. Kwa heshima na taadhima, naomba kwa wale wote waliosoma degree ya sociology kwa ngazi yoyote, iwe ni Tanzania au nje ya nchi bila kujali ni mwaka...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mapenzi,mapenzi ,mapenzi,mara mwaume huyu kanitongoza,mara mwanamke huyu hivi lkn ni vizuri pia tukajua na kuchambua mapenzi na pia kuwakumbuka haswa wale watokao ktk muungano wetu wa mapenzi,hapa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
watu bwana wanapenda kula vya wenzao vyakwao wanabanabana,sasa unataka vyako ukale na bibi yako,acha ako ka tabia,ukijua kula ujue na kuliwa ebooo?inahusu:A S shade:
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Beyonce Was a Virgin Before Jay-Z - Beyonce
0 Reactions
45 Replies
5K Views
David Cato, shoga aliyegeuka kuwa mtetezi wa haki za mashoga Thursday, December 10, 2009 3:54 AM Wakati Marekani baadhi ya majimbo yanaruhusu ndoa za jinsia moja, Mashoga watakaokamatwa nchini...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Kuna rafiki yangu wa karibu sana, jana mida ya saa 10 hivi jioni aliniomba ushauri, yeye anataka kufuga kuku kwa kuwa amekuwa mtu mzima sasa! Anaomba ushauri, atafute kuku wa aina gani? Je aende...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
I was so jealous of my sister that I ended her love S File | NATION Jealousy can cause big havoc to relationships. Your sister may need to know certain truths from you...
0 Reactions
1 Replies
819 Views
Nimetoka Masasi Mtwara jana, leo nipo Mkuranga mkoa wa pwani. Kisa cha kushangaza, familia ya wenyeji wangu watoto wao awafanani, wapo 5. Moja mrefu, wawili wafupi, wawili wa Wastani, rangi zao...
0 Reactions
40 Replies
9K Views
Bonyeza Hapa Kusikiliza Wimbo Huu. Unaruhusiwa kuudedicate kwa umpendaye J'pili hii: HISANI YANGU
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Hi my people! Kunamambo hua najiuliza nakosa jibu naishia kucheka mwenyewe, hivi kwa nini wanaoongoza kwa vituko niwanaume? Utakuta amechumbia mwenyewe akaoa baada ya muda ooh sikutaki nilikuoa...
0 Reactions
83 Replies
9K Views
Hayawi yawi jamani,mwenzenu nimeopoa, Ndoto ile singizini,kamwe sijapata doa, Kipenzi wangu mwandani,ya maisha pingu ndoa, Nimekipata Kigori,Wenye wivu jinyongeni, Upepo wa baharini,mawimbi...
0 Reactions
46 Replies
7K Views
Back
Top Bottom