Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Ndugu wana jf, hv mtu akiwa mtwara na mpenzi wake yuko bukoba na wala hakuna mawasiliano yoyote kati ya hawa wapenzi kwa sababu zilizo nje ya uwezo wao, je kuna uwezekano wa ndoto zao kutimia...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wana-jamvi mshakaji wangu wa tokea form one hadi university level analalamika kuwa ndoa yake kwa sasa ipo hatarini kuparaganyika baada ya yeye mwenyewe ( mshikaji huyo) kususia tendo la ndoa...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Huwa najiuliza hawa waeka threads zenye title labda wadada tuu, wakaka tuu, wenye ndoa tuu, wamama tuu nk. Huwa wanadhamiria kweli hao watajwa? je kimtazamo huwa wanalenga hisia flan ziwe kama...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa...
0 Reactions
449 Replies
25K Views
Habari zenu dada zangu wapendwa. WIFINISM Kuwa na wifi ni kitu amabacho kila dada mwenye kaka hukisubilia . Na kwa uzoefu ugomvi kati ya dada na wifi huweza kuleta matatizo ambayo hata...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Je umeshawahi kujiuliza maswali haya? Na uliyapa majibu gani? na uliyafanyia kazi? Nini matokeo yake? Na umepata faida gani? 1. Ni nini kinachohitajiwa ili kuwa mume mzuri? 2. Mwanamke anawezaje...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Matrimonial separations, divorces on the increase By HASINA MJINGO, 22nd January 2011 @ 22:00, Total Comments: 0, Hits: 22 MATRIMONIAL separations and outright divorces are on the rise...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
UTANGULIZI (RADHI) Siku tatu zilizo pita, tumeleta maada ya bikra, ambayo imeleta hisia tofauti miongoni mwa wachangiaji katika jukwaa hili. Naomba radhi kwa wale ambao iliwakera hatukuwa na nia...
0 Reactions
51 Replies
4K Views
Habari zenu wana JF. Hua najiuliza maswali lakini sipati picha. Hivi ili uwe maarufu wa jambo lolote lazima ufanye jambo au kitu tafauti katika jamii. So hapa nawaombeni tuyaweke majina...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Nilitamani sikia,kwaheri tokea kwako, Japo ulikuwa malkia,shambani hekima kwako, umasikini nasikia,ulitoa uhai kwako, Kweli mama umeenda,naenzi mapenzi yako, Amani ulihubiri,fisadi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ninataka rafiki wa kiume umri kati 40 na kuendelea awe mfanyakazi na mkristo
0 Reactions
62 Replies
4K Views
Ndugu, nina kijana amepanga kwenye apartment ya house yangu, kijana alikuwa ni mtu wa kawaida mwenye majukumu yake ya kiofisi mazuri tu. Ninachoshangazwa nae siku za hivi karibuni ameanza...
0 Reactions
74 Replies
6K Views
leo nimepata furaha kubwa sana. kuna mkaka mmoja aliwahi kuniapproach miaka ya nyuma akitaka kunichumbia na aliniambia ukweli kuwa alishadivorce na alipata mtoto mmoja kabla ya hiyo talaka. siku...
0 Reactions
112 Replies
8K Views
Nakushauri nenda kwa wanyaru koz wana sifa zifuatazooooo:- wafupi sana. wana vigimbi. wamekomaa sura wavumilivu ( unaweza mlaza na njaa wiki nzima) utakula mbuzi wa kisasa(dog) wanajua kupika...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
So I'm at work yesterday and the mailclerk starts handing out letters from upper management. At this point, I'm thinking "Oh crap, how am I gonna tell my family I got laid off?" Fortunately, I'm...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimetokea kuwa na uhusiano na mabinti wa kisandawe,kwa sura, shepu na tabia ni wazuri.Tatizo ni kuwa mabinti hawa wamekeketwa. Naomba niwaulize mashemeji zangu kwanini mnaondoa kiungo hiki muhimu?
0 Reactions
11 Replies
10K Views
Nasikia akina mama wote duniani hawajui kutofautisha ukweli na uongo hasa pale anapokuwa anatongozwa!!hata angekuwa ba PhD!anaweza akatongozwa na mubeba kago shimoni kariakoo kwa uongo...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Ni sauti toka chumba cha kati, sikuelewa nini atoe, unapeleka mbali, sikupata jibu tuuu, sikutaki tena maana wewe ni muharibifu wa mali za wengine, nikatoka kapa tena, mamaaaaaaaaaaaaa, sauti kwa...
0 Reactions
65 Replies
5K Views
WanaJF naomba mnijibu je kuna maana yoyote kuwa na nyumba ndogo(mke au mume wa pili)maana najiuliza maswali ya kina majibu haba.
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Did you know that those who spend their time protecting others are the ones that really need someone to protect them? Did you know that when you help someone, the help is returned in two...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Back
Top Bottom