Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Nipo maeneo ya Same, nimeamua kumpa lift mchaga wa kishimundu anaelekea kwao milimani toka Mombo baada ya bageni ya mda mreefu juu ya nauli, nikaona isiwe tabu, bora nimpe lift tu. Jamaa ndani...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wana Jamii naomba kuuliza swali. Je wanaume wako tayari kuvumilia ukimtukania mama yake mzazi kuliko ukimtukania mkewe?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jambo dogotu. Unaweza ukavutiwa na demu kwasana na kuamua kumtokea na kumpiga sound hadi polepole akawa anaelekea kibra. Ghafla unazipata za kiintelejesia ya kuwa kumbe ni mama huruma ambaye...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Post zako zinanifurahisha saana Post zako zina busara saana Natamani brain yako iwe yangu. Yote haya ni post za wewe tu. Big Up Kijana. Opps Babu.
0 Reactions
349 Replies
17K Views
Kama wewe ni mwanamke, tafadhali pokea pongezi na furaha yangu kwa dunia hii kuwa na viumbe adhimu na wa pekee wa aina yenu. Ahimidiwe Mungu aliegundua dunia bila ninyi haikaliki (kama unaamini...
0 Reactions
125 Replies
8K Views
Kwako LIZZYMIND "Lizzy" mwanamke pekee wa JF ulieubalasa MTIMA wangu, napenda kukufahamisha kuwa mimi ni kijana MTANASHATI nilitokea kukupenda sana, sikuli kwaajili yako, SILALI NAKUOTA wewe...
0 Reactions
85 Replies
6K Views
Juzi nilikuwa katika semina fupi ya mambo ya ndoa ,kila mwanamke aliyekuwa akisimama ana-complain mahusiano mabaya ya mmewe na H/G Mwisho wa mada yetu wakinamama waliokuwepo wakasema wanaamini 95%...
0 Reactions
275 Replies
19K Views
Nilibahatika kupata mchumba hivi karibuni ambaye tulifahamiana muda mrefu tangu kipindi tunasoma sekondari takribani miaka 10 iliyopita. Wakati wote huo alikuwa rafiki yangu wa karibu ambaye...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
No relationship is smooth sailing. As much as the love exists, arguments, however petty, are bound to crop up occasionally. What's important, however, is how you deal with them — let them simmer...
0 Reactions
0 Replies
781 Views
Napenda kufahamu tatizo linakuwa wapi?? Mnakuwa na mahusiano na mtu mwanamke/mwanaume kabla haMjado ze nidifuli aahhh sms, simu, email nk kwa sana tu lakini mkisha du uwiii mambo yanabadilika...
0 Reactions
150 Replies
9K Views
Salamu kwako PM, Nakupongeza kwa kutimiza miaka kadhaa, Mungu akubariki, akulinde, na azidi kukutunza. Nakutakia maisha marefu yenye baraka na mafanikio, Mungu akujalie uwaone watoto wa...
0 Reactions
83 Replies
8K Views
Nikiwa na huzuni tele kwa kukatariwa ombi langu na LIZZYMIND "Lizzy" sasa nipo kwenye tawi la mti na kamba yangu shingoni tayari kwa kujiua, ila kabla sijajiua nawaomba mkamwambie Lizzy maneno...
0 Reactions
49 Replies
4K Views
Hivi kwa nini ukitoka na demu outing wanapenda kunywa drinks za bei ghali bila hata kujua kama una hela au la. Utakuta anajishebedua eti anataka kunywa cinzano, martin, redbull, amarula. Cha ajabu...
0 Reactions
79 Replies
10K Views
Jamani nakuombeni msaada wenu. Kuna jamaa yangu kaniulizia habari za mabinti wa kipare baada ya kusoma za wasichana wa kichaga. Sasa yeye lengo lake ni kujua tu labda mambo muhimu kama sifa zao...
0 Reactions
62 Replies
28K Views
Kuna msemo unasema ' To love is nothing, to be loved is something, to love and to be loved is everything' Ndio maana nimesema mpende akupendae Mapenzi ni kitu cha muhimu sana katika maisha ili...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
When a Girl is quiet ... millions of things are running in her mind When a Girl is not arguing ... she is thinking deeply. When a Girl looks at u with eyes full of questions ... she is wondering...
0 Reactions
35 Replies
2K Views
WanaJF naomba nifikishe haka ka kero naamini ujumbe utafikia wengi.. Jamani wanawake wenzangu when it comes to make up naomba tukumbuke usemi wa "Less is more" mambo ya kukandika bila kipimo...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Firstlady1:- anapenda sana siasa,ni mwepesi wa kuelewa na mgumu wa kusadiki. Rose1980:- anapenda sana mambo ya pwani,ni mcheshi na mkarimu sana. Pearl:- ni mtu wa watu,asiependa makuu na mwenye...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
WanaJF kusema ukwel nimejarbu kutoa utata kwa wa2 weng ila sasa naona ninashndwa ckatai mwanamke kwenda kusuguliwa miguu na kupakwa rang na Dume na pia ckatai mwanaume kwenda kunyoa nywele na...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Friendship and love defined in a single foto
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom