Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kuna wadada ving'ang'anizi sana! Unakutana nae hata wiki haijaisha anaanza kuleta habari za ndoa. Hata hamjasomana vizuri kujuana tabia yeye anaweka ndoa mbele kuliko kukufahamu wewe mwoaji...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
Napata wakati mgumu sana na suala hili.Pengine kuna ukweli kwamba ni vema kujitunza mpaka siku ya ndoa,lakini yawezekana siku ya fungate unakutana na kitu usichokitarajia mwisho wa siku yakawa ni...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Tendo la kubaka katika baadhi ya makabila sijambo geni kwani ilikuwa ndiyo mila na desturi ya wakati ule nakwa hata vitabu vya dini vinaelezea!!jinsi walivyokuwa wakiwasubiri visimani nakuwabeba...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Great thinkers naombeni uzoefu wenu kwenye hili...Kama uchumba ukivunjika pete inarudishwa au anabaki nayo binti?Kama inatakiwa kurudishwa je ni lazima ama?
0 Reactions
64 Replies
7K Views
50 Cent Twitter: 'If you don't eat pu**y just kill your self'. Full tweet 'If you a man and your over 25 and you don't eat pu**y just kill your self damn it. The World will be better place. Lol"...
0 Reactions
0 Replies
886 Views
Nimepanga sehemu moja hapa DSM lakini Mama mwenye nyumba simwelewi kabisa!!! Wakati tunaingia naye mkataba MASHARTI yalikuwa machache sana but akaongeza mengine yafuatayo: 1. Hataki wageni wengi...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Kuna rafiki yangu mmoja mwanamume, anakisa kimoja. "kwa muda mrefu amekuwa akimuota anasema anamjia ndotoni mara kwa mara" wakati mwingine halali kabisa, na uhusiano na mkewe umeanza kuyumba...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Wanaume wote wanashauriwa wapime vyote kabla ya ndo. Hiv na mimba pia ili msibambikiwe aise. Kuna dume moja, alikaona kabinti akakapenda na kupima hiv tu na kukaoa haraka haraka. Madada zake...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu naomba mjikumbushe kwenye mambo yaliyokwisha tokea na yanaendelea kutokea!!!....Hivi huliwahi kumtaka msichana akakusumbua na akawa anakupiga chenga za hapa na pale ukavumilia yote?lakini...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Nimekuwa nikisikia watu wanaongelea tofauti ya mzungu na watu asili ya afrika ktk suala la mapenzi. Inasemekana Wazungu walio wengi (sio wote) ni wataalamu sana wa mapenzi yote nje uwanja wa sita...
0 Reactions
30 Replies
13K Views
Wana wake wa mjini acha tu, Nimekutana na lidada miaka tele january 2 december za kutosha Ananiambia " I never felt this way b 4" Huyu mmama ni mkweli au mwizi ananiongopea?
0 Reactions
24 Replies
2K Views
kwa kifupi kuchunguliwa simu ya mumewe kamwe haitamzuia kufaya mapenzi nje ya ndoa..............................Huyu mwanadada anatuthibitishia hilo....................... I'll never check my...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimepigiwa simu muda si mrefu na kuhabarishwa kuwa jamaa mmoja katika mji wa Songea amefumanikwa na mganga maarufu kutoka kanda ya ziwa nyasa akiwa anavunja amri ya sita na mke wake! Mganga huyo...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
YOYOYO WHATSSS UP DJ B IN DA HOUUUUUSE.... Wengi washachumbia (waoe) lakini Wazazi wakagoma/ ili binti yao apone..''MI Msanii NItamuua kwa Ngoma/what a job is this? lakini ndo kazi...
0 Reactions
39 Replies
2K Views
OYAAAA WAUNGWANA SHWARIII. EBWANAE HII MI NIMESIKIA TU ILA SINA UHAKIKA ''ETI NI KWELI KWAMBA WASOMI WENGI HASA WALIOKWENDA MPAKA NGAZI YA UPROFESSOR NI WABOVU KWENYE MAMBO FLANI ?" NDIO MAANA...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Haya wapendwa namalizia na hme work hiyo mpaka jan 4 nipate jibu je inajaza ndo??nisiwape majibu HAPPY NEW YR
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Weweeeee!!Namshukuru mungu nimetimiza miaka miwili kamili kwenye Ndoa bila ngumi wala matusi,wala kwenda viwanja na vimini!!Karibuni kwenye sherehe yangu!!!Najua kuna watu watasema kuwa ni...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Nimejaribu kufikiria hili jambo lakini majibu niliyopata hayatoshelezi!! Kwanini wanawake wenye magari(PRIVATE CARS) hawatoi lift kwa wanaume hata kwa wanawake wenzie lakini wanaume wanatoa lift...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Wow been gone for month(s)....Abeg ooh narudi nakuta kijiwe kimeingiliwa...kuna a lot of new comers hadi kizunguzungu ni gossip mtindo mmoja siyo the jf i know...Ok people i dey bey you fill me in...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Mimi sijawahi kuchakachuliwa, bado nina utepe, nikajipa moyo kusubiri, siku ya siku ikaja, ndani ya 6 kwa sita, nikakukuruka kusaula mwanaume ule ute ute wa utamu ukaanza kuruka, mtoto katoa moja...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom