Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Jamaa anademu wake ambaye wamefahamiana sio zaidi ya miezi miwili iliyopita, katika kumwaga sera jamaa alimhakikishia dem kwamba yupo serious na relation ikiwezekana izae ndoa. Katika kuweka mambo...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Katika Pitapita Kijana alimchukua mchumba wake mpaka kwa ndugu zake, Ndugu zangu nimekuja kuwatambulisha mchumba wangu? Ndugu. Ahsante tumemwona, Kaka mkubwa akuuliza maswali haya 1. Please...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kijijini kuku wa kienyeji wengi sana, na mbuzi nimekula vya kutosha na nimerudi wapendwa. Rose1980 njooo uchukue magimbi nimekuletea mamaa, wengine wooote mtapata viazi mviringo!!!! Halafu maviazi...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kuna watu wamekuwa wakisisitiza eti kama una mpenzi ambaye unakusudia kuoana nae, ni muhimu uwe umewahi kufanya nae mapenzi kabla hamjapelekana hata kwa wazazi. Wanadai hii inasaidia kumjua...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Narafiki yangu yeye amekuwa kila akiwaona wanawake wajawazito anachanganyikiwa, nilijaribu kumshauri ajaribu kuzipuuzia hisia hizo lakini inaonekana anashindwa kwani anasema akingonoka nao anafeel...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Asalaam aleykum wana JF wenzangu jamani mwenzenu nimekuwa nafuatilia jinsi desturi ya kuchangia na kufanya sherehe kubwa inavyozidi kushika kasi, ikipelekea ule wigo wa kuomba michango kupanuka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Umekua huaminiki kwa muda mrefu, unadaiwa madeni hulipi, unatoka nje ya ndoa, unatembea na wake/ waume wa watu, unatapeli. Umejitenga na uso wa Mungu, huna hofu ya Mungu hata kidogo, huabudu tena...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimewahi kufanya kazi kwa kipindi fulani katika Hospital ya Muhimbili, nikiwa pale nilikuwa nikisikia habari ambazo ni ngumu kidogo kuzirasimisha kutokana na unyeti wake. Kuna daktari mmoja ambaye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sikukuu za Christmas na Boxing Day zimeisha. Wengine wamejirusha na family zao marafiki ndugu na jamaa, wengine ndoa zimevunjika, wengine wamekamatwa kwa fujo, wengine wametolewa bikira, wengine...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Mambo vipi familia kubwa ya JF!! Kwanza naomba samahani kwa hii maada lakini nipo serious kupita maelezo!! Nilikuwa na demu wangu 2lipendana sana lakini wazazi wake walimpenda zaidi coz waligoma...
0 Reactions
146 Replies
11K Views
TUMEDANGANYWA NA UTANDAWAZI 1. Hivi ni kweli kuwa kila tunacho kiona kwenye medi ndio maisha halisi ya Mzungu . 2. Je kuna umihimu wowote kuendeleza tamaduni zetu ambazo tuliachiwa na babu zetu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Niwieni radhi kwa swali hili. Wengi hata hawafungi milango sometimes. Hivi mkikutwa mpo kama mlivyo zaliwa na mpo kwenye shugli na mtoto wenu wa miaka 8 mtafanyaje. 1. Mtamwambia mlikuwa...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Habari za mikesha Bandugu zangu!!! I hope wote 2me enjoy Xmas, Mimi nilitengwa kidogo na nimpendaye siku hizi 2 then niliamua kutoka na kwenda sehemu 1 ya starehe!! Wakati nipo pale nikawa...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
WASHINGTON - German researchers who used a bone marrow transplant to treat a cancer patient with the AIDS virus, have declared him cured of the virus - a stunning claim in a field where the word...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ghasia aagiza anayeambukiza Ukimwi abanwe Na Martha Fataely, Moshi MWENYEKITI wa baraza la wafanyakazi wa ofisi ya taifa ya takwimu ameagizwa kumchukulia hatua za kisheria mtumishi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
SHANGHAI - A free clinic offering sex education and advice for youths, which has operated in the city for five years, was closed this week because it was not attracting enough visitors. The...
0 Reactions
0 Replies
893 Views
Jamani kwanza kama nitakuwa ninavuruga Taratibu za Kupost hii thread hapa nisameheni, Leo nimemla bata, kumbe kweli kama unataka kufaidi Mle Ukiwa umempakata....Ile nyama ilosemwa ya nyuma kiama...
0 Reactions
122 Replies
10K Views
Kuna rafiki yangu kaniambia kuwa mkewe amemuomba watengane vitanda kwa kuwa mama hataki harufu ya pombe na sigara. Rafiki yangu hataki kufanya hivyo kwa kudai ndoa ni kuvumiliana; na zaidi kuwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wanajamii salaam, Nimepatwa na mshtuko wa kumalizia mwaka..siamini macho yangu mpaka sasa hivi! Ilitokea jana jioni, Nimetoka kwangu mida ya saa kumi na moja jioni kwenda kununua viungo vya kupika...
0 Reactions
57 Replies
5K Views
Sijamaliza miezi sita tangia nioe, na kwa bahati nzuri mke wangu ni mjamzito . kila siku huwa nafanya nae mapenzi napiga bao moja au mawili; nimewahi kusikia ukiendekeza unaweza kudhoofisha afya...
0 Reactions
34 Replies
42K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…