Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wapendwa Mashemeji zangu mabbibib na mabwana,Kwanza nawapongeza kwa nyimbo zenu zinavyopendeza na haswa jinsi mnavyocheza kwa kweli ukiangalia nyimbo za wahaya wasukuma hata kama una hela...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Katika sehemu mbalimbali nilizowahi kupita, Nimekuwa nikifuatilia mabinti ambao hutumia ulabu na nimegundua wengi wao ni wepesi kjieleza kwa wenza wao jinsi wajisikiavyo kimapenzi na hisia zao na...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Una kidemu chako kitaa, ambacho umedumu nacho kwa miaka kama miwili hivi ghafla siku moja unakutana na Bro wake mara anakuambia kaka nashukuru kwa kuwa unammega Dadaangu, hongera kaka kwa hilo...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
1.Mwanaume akiagiza kuku mzima, chipsi sahani tano, mayai kumi, na soda kubwa (2ltrs) mbili, miwa, ndizi mbivu, n.k na akala na kuvimaliza watu wanamsifia kuwa mwanaume anafukia. Akifanya hivyo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hivi hili neno Abdallah kichwa wazi lilitokana na nini na kwanini haikuwa athumani,juma,etc???
0 Reactions
25 Replies
4K Views
jamanini, my little angel landed at 9.30am...scored 9/10. We are gud, maumivu tu from the incision. Thanks alot for your prayers n thoughts.mbarikiwe...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Natafuta jimama (liliplopanda kwa umbo) lililoachika mara tatu. Nasikia kina mama walioachika mara tatu huwa wavumilivu sana katika ndoa ya nne.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
....Nimetokea kumhusudu...tunafanya naye mazoezi kila w/end.....pia tunajumuika katika mitoko mbalimbali....ni msichana mrembo, kaumbika, anakazi yake na msomi.... lakini nashindwa kumuingia...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wana JF naomba tusaidiane mawazo hapa: Huu ni msimu wa sikukuu ambapo wengi wanapenda kutoa zawadi za aina mbalimbali kwa wenza wao. Tukiweka roho za uchoyo pembeni, kila mmoja atajitoa kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Umewahi kutumia dawa yoyote ya kuongeza nguvu za kiume ili kukuwezesha kufanya mapenzi kwa muda mrefu na mtu asiyemke wako au mke wako zinazotokana na wachawi? · Umewahi kutumia dawa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Sielewi kwa nini mtu ufikie hatua hii.
0 Reactions
19 Replies
7K Views
Habari ndugu wapendwa wana Jf, heshima kwenu wote. Naomba mchango wa mawazo juu ya hili: nina girl friend ni mzuri sana,kazaliwa 87, ila tayari anawatoto wawili ila ukimuona ni kama hajawahi kuwa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Busu ni muhimu sana kwa maisha ya wapenzi. Soma hapa upate nondo Marriage, Social and Sports: Marriage series: Importance of kisses
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wengi wao ni watenda dhambi wakubwa walio kosa soko mtaani wakaingia kanisani ili kupata ndoa, ukimuoa anarudia tabia zake zilezile za zamani. Mwisho wa siku ni ndoa ya mateso na majuto.
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Jamani mimi ni mwanamke nahitaji mpnz wa kike nina miaka 27 naishi dar!alie tayar karibu
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Kua uyaone jamani...mama mkwe wa rafiki yangu ambaye pia namuita mama Mkwe kila siku ananinengulia jamani, mara ananikaribisha kwa maongezi na anajua kabisa mie na mke na sijawahi msikia akimsifia...
0 Reactions
102 Replies
11K Views
Umeoana na mwenzako kidini,kimila au kiserikali.Kimila naingiza umo wale wenye ku cohabit.Unaona mambo yamebadilika. Mara mwenzio kabadilika sura, tabia na kila kitu. Anakukera mwanzo...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hii ni miongoni mwa biashara kongwe kabisa duniani. Je kwanini wanaume wanawafuata machangudoa?
0 Reactions
68 Replies
6K Views
Haipiti wiki bila kusikia jinsi wanawake tulivyo viumbe vya ajabu!!Hatueleweki...tunasema hili tukimaanisha lile...tunafanya hili wakati tunataka lile, yani hatuna moja. Ila ukweli ni kwamba...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Ndugu wana JF Wengi nadhani mliliona tangazo hili "natafuta mpenzi wa kike kwa ajili ya mahusioano ya kudumu, mimi ni mwanaume single na ninaumri wa miaka 25, ningependa awe na umri wa kuanzia...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…