Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

  • Redirect
#SioKwaUbaya 😭👉🔋 MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOKWENDA KUNUNUA WANAWAKE WANAOJIUZA (DADA POA) `````````````````````````````````` Soma kwa makini kilichoandikwa acha kukurupuka kuacha comment..kwa ajili...
3 Reactions
Replies
Views
Haya maisha kuna muda tu unajikuta ushamoenda kaka wa watu na unaona kusubiri akutongeze utasubiri sana huenda hana wazo hilo. Unaweza kuonesha ishara ila ndio kama hakudomi hivi unaona kwani sh...
21 Reactions
249 Replies
19K Views
Salaam wanaJF. Ninademu wangu tupo kwenye mahusiano ni mwaka sasa, tunapendana sana na ananipenda kinoma, hakuna ishara yoyote ya usaliti kwangu, Pisi kali, shepu kali ni mtulivu anajiheshimu na...
46 Reactions
277 Replies
22K Views
Mapenzi ni baina ya watu wawili mpenda na mpendwa, lakini ukiona mmoja wao haelewi afanye nini ujue kuna tatizo mahali. Ndugu zangu nipo age ya 30+ (mwanaume) natamani kuoa at anytime ila katka...
20 Reactions
159 Replies
6K Views
Ladies njooni tubadilishane uzoefu kidogo, wewe nini kimeshawahi kukukata au kukupunguzia msisimko? (kwenye mahusiano yako ya sasa au yaliyopita) Baadhi ya mambo ambayo nimekua nayasikia mara kwa...
12 Reactions
86 Replies
2K Views
Mume wangu ananipa Laki 5 k Kabla ya kuingia kwenye ndoa, kulikuwa na mwanaume niliyekuwa naye—ni mume wa mtu. Yeye ndiye aliyekuwa analipia ada yangu ya chuo, alikuwa ananipa pesa pamoja na...
2 Reactions
169 Replies
4K Views
Guys kiukweli mwanamke muongo anaumiza sana,,, Binafsi nasema toka moyoni siwezi kuendeleza dating na demu niliyemgundua dhahiri kuwa ni Muongo, kwanza sifa ya kwanza ya mwanamke Muongo ni MALAYA...
8 Reactions
46 Replies
6K Views
Sijui kwako ndoa ina maana gani lakini kwangu Mimi ndoa ilinipotezea Muda wangu, iliniacha na Maumivu na kilema cha Maisha yangu. Sikuwahi kuwaza chochote kuhusu ndoa wala kuitamani, lakini...
15 Reactions
205 Replies
9K Views
Husika na kichwa cha habari , Umeshawai kumuacha mpnz wako halafu ukajutia baada ya kukutana na Bomu zaidi , halafu unatamani kumrudia uliyemuacha, Funguka tupate experience mbali mbali
7 Reactions
39 Replies
679 Views
Wakuu kwanza leo ndio nimejua kua nimetimiza miaka 10 jamii forum, mnipigie makofi tafadhaliiii🥳🥳🤣 Okay, nashare na ninyi hadithi hii ya kweli iliyonitokea mimi mwenyewe, hua naumia sana kila...
39 Reactions
770 Replies
56K Views
ushauri wenu jamaniii mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 30 niko kwa relationship na dem mwenye umri wa miaka 28. Huyu mpenzi wangu anafanya kazi na anapata 700k kwa mwezi na mimi sifanyi...
10 Reactions
68 Replies
1K Views
State of mind na afya ya akili ya vijana wa kibongo utaijulia humu JF. At some point kijana anaweza akakakurushia dongo kali humu, yani 24hrs yeye amevurugwa. Frustration imekuwa kali, vijana...
1 Reactions
3 Replies
203 Views
Nimerudi nyumbani nimekuta wanaangalia love story ya kikorea, hivi mnawezaje jamani? Unakuta kwenye kipande cha movie, wapenzi wamesimama kwenye mlango uliofungwa, mmoja yuko kwa ndani, mwingine...
3 Reactions
30 Replies
551 Views
Hii ni trend ya maisha ambayo wanawake wa kisasa wameichagua, ni timeline ya chaos, delusions na entitlements zao ambazo zina-influence maamuzi yao. HOE PHASE 12-15: Hapa anaanza mahusiano ya...
98 Reactions
282 Replies
6K Views
Kwa ufupi hii ni taarifa tu, so ushauri wako hautabadili chochote wala kuongeza chochote, vipi lakin uzima upo?? Ni hivi, mi huwa siumizwi alafu anayeniumiza akabaki salama, nikiumizwa mi...
151 Reactions
2K Replies
213K Views
WANAUME WENGI WANAPOTAKA KUOA SINGLE MAMAZ WANAZINGATIA MAMBO ANUAI... 1. Single mama ambaye mtoto wake amefikisha umri walau Miaka mitano, wanasema huyu tayari mziz⁸i wa upendo na mzazi mwenzake...
5 Reactions
11 Replies
515 Views
Nyieee.... mnapoambiwa kataa ndoa (hasa kwa kijana unaejitafuta) muwe munaelewa. Kuna mwamba kaja kwa bimkubwa wake (jirani yangu) hapa sasa hivi kumsimulia kwamba kamshika ugoni mkewe na muhuni...
27 Reactions
147 Replies
5K Views
Kama mwanaume, inakuwaje unakubali na kuamua kuwa watoto wako walelewe na mke wako pekee na si wewe pia kama baba katika familia? Nadhani ni muhimu kuuliza, kwa nini mwanaume angeweza kuchukua...
2 Reactions
19 Replies
568 Views
Mimi si mpenzi wa MMU na huwa naingia huku kwa nadra sana. Lakini kila jukwaa unapata yanayohusika nayo, na ni bora basi niwaeleze mkasa wangu ili wajuvi jukwaa hili mnisaidie. Iko hivi, mimi...
14 Reactions
124 Replies
1K Views
.Miaka 18-20 Anasoma ata hbr za ndoa Bado akiambiwa atakuambia unataka kukatisha ndoto zake. Lkn ana boyfriend ambae wapo kwenye mahusiano. Miaka 21-27 Hapa Binti wa moto kweli,kila mwanaume...
1 Reactions
10 Replies
223 Views
Back
Top Bottom