Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Aseee, Mimi ndie. FREE ERICK KAFLAG! Eeebana! last weekend niliamua kumeet na mwanamke mmoja hivi niliechat nae mtandaoni kwa mda kama mwezi hivi (sio JF), wakati tunaongea kwa phone asee mtoto...
8 Reactions
93 Replies
6K Views
..WAKUBWA humu ndani, Boxing Day ilikuwa Poa Sana kwangu, kwani Ule mzigo nilioufuatilia miezi miwili nyuma ulikuja maeneo. Sasa huku mechi inaendelea Mistaili Kama yote, Kufika Mbuzi kagoma...
0 Reactions
67 Replies
15K Views
Sasa ni wazi kuwa Kizza Besigye alichumbiana na Janet Museveni mke wa Yoweri Museveni (Rais wa Uganda) kabla ya Museveni kumuoa. Baadaye, Besigye kama daktari wa binafsi wa Yoweri Museveni...
6 Reactions
50 Replies
883 Views
UKIOA MALAYA/MDANGAJI KUZAA MABINTI MALAYA HAKUEPUKIKI NI UHAKIKA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Hakuna sababu hata Moja ya maana ya mwanamke kuwa Kahaba. Kuwa Kahaba ni uchaguzi wa Mtu na...
15 Reactions
128 Replies
2K Views
Wakuu, Yapata miaka miwili iliyopita tangu niamue kuachana na binti niliyempenda sana. Ilikuwa hivi.... Binti alikuwa anasoma kidato cha nne mwaka huo,ikatokea nimempenda sana,nikaanza nae...
3 Reactions
7 Replies
229 Views
1. Hakuna madeni 2. Hakuna kusumbua watu michango 3. Hakuna kupotezea watu muda kwa vikao vya mara kwa mara
59 Reactions
147 Replies
4K Views
Mambo vipi watu wa Mungu? Ebana nilikua nauliza,hivi kuna tija au ulazima wowote wa kuwa karibu na ndugu wa mke? Asanteni
3 Reactions
19 Replies
608 Views
Wadada wengine aibu hawana. Umemuacha mwanaume wakati amepoteza kipato na haitoshi ukamsaliti tena wazi wazi kila mtu anaona! Kaka wa watu amejipiga ameinuka tena, unarudi na blah blah eti...
14 Reactions
31 Replies
723 Views
1. Uvivu unaua ndoa. 2. Tuhuma zinaua ndoa. 3. Kutokuaminiana kunaua ndoa. 4. Kutoheshimiana kunaua ndoa. 5. Kutosamehe, Uchungu, Chuki, Uovu na Hasira zinaua ndoa. 6. Mabishano yasiyo ya lazima...
2 Reactions
22 Replies
539 Views
Kwa sasa hivi dunia ilipofika Naendelea kutafakari category za kupata mke mwema maana zimebadilika. Sasa hivi kuna Washing machine kile kigezo cha kujua kufua sio muhimu zama hizi🫵 Sasa hivi...
2 Reactions
7 Replies
243 Views
Hivi ni kweli kuna dawa za mvuto wa mapenzi? Yani dawa inayoweza kufanya umpate msichana yeyote unaemtaka. Na kama zipo na zipata wapi? Maana kuna mtoto ananisumbua mwaka wa pili huu hataki...
0 Reactions
21 Replies
11K Views
Niliwahi kuishi Jirani na single mom mwenye mtoto wa miaka 3, nimwage sifa zote kwa huyu mama maana alikuwa ni pisi haswa, yupo kwenye 28, shape matata, urefu kiasi futi 5.6, Rangi mashalaah...
36 Reactions
60 Replies
2K Views
Wakuu hata salamu sitaki maana nina moto mbayaa. Leo nilikua na kidate na manzi mmoja mtoto wa mashavuni nimemind flag long time kinyama ila ndio akawa anambwelesha kidizaini sema chalii ya bakta...
15 Reactions
89 Replies
6K Views
Habari wakuu. Bana msoto wa Maisha ni mkali sana katika hii Dunia. Mimi na mke wangu tupo Bega Kwa Bega Mbali Na Maisha magumu tunayopitia na upendo wetu umeongezeka maradufu. Ebana shemeji...
7 Reactions
28 Replies
355 Views
Siku moja mama aliniita alikuwa amekaa na baba ukumbini. Kilikuwa kama kikao cha dharura hivi. Mama akafunguka maswali yafuatayo. Hivi mwanangu mbona sijawahi kuona, wala kusikia hata kidogo kama...
11 Reactions
82 Replies
13K Views
Ndoa nyingi za siku hizi zinapatikana kwa njia hii... Baada ya kutendwa na kuachwa na mpenzi wake aliyempenda kwa dhati, sasa anaamua kutafuta mtu yeyote wa kupoza maumivu ya kuachwa. Penzi jipya...
5 Reactions
12 Replies
458 Views
Wakuu, Ambao hamjapata muwapendao poleni sana,najua mnapitia changamoto sana~ukitupia ndoano samaki anaikwepa,mnahangaika wallah. Wakuu,baada ya kuhangaika sana kumtafuta nimpendae basi bwana...
14 Reactions
94 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa miaka 23, nipo ktk dilema nime fall in love kwa mabinti wawili,na wote wananipenda sana ila kila mmoja anajua yupo peke yake... Sifa za kila binti ni hizi hapa Binti wa kwanza...
10 Reactions
92 Replies
3K Views
Back
Top Bottom