Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

aisee watu mnapenda ubuyu.mnataka nifukuzwe kazi eeeh ? wakati nikiwapiga mzinga mnakuja na thread humu .acheni nijitafutie rizki bana maana bills zangu nalipa mwenyewe.pm yangu mmejaza lawama...
9 Reactions
237 Replies
17K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu Mimi naomba kujua kwanini wanawake weusi huwaga ni watamu sana aisee Nimekuwa kwenye mahusiano na wanawake...
2 Reactions
36 Replies
22K Views
Ndugu wadau wa JF, mAISHA yangu ya sasa ya ujana, bado sijafanikiwa kukutana na mwanamke bikira kimwili. Japo nahisi ni jambo gumu mno katika maisha yetu ya mahusiano ya kimapenzi kwa sasa ya...
1 Reactions
143 Replies
20K Views
Ni ajabu! Mkesha wa mwaka mpya watu walijaa makanisani, viwanjani au mahemani kuomba wafanikiwe mwaka 2018. Waafrika kweli tu wavivu wa kufikiri, yaani uombewe ufanikiwe? Ubarikiwe? Huu ni...
31 Reactions
173 Replies
52K Views
Naombeni mnishauri nilikuwa na mpenzi nimekaa naye miaka minne kwanzia nikiwa first year had nahitimu, yeye alikuwa certificate ila sasa amebadilika sana ananiumiza sana akili Kwa sababu...
4 Reactions
148 Replies
19K Views
Utafiti mpya unaonyesha kua wanaume wa kanda ya ziwa hupewa kipaumbele kikubwa na sehemu kubwa ya wanawake wa Tanzania. Utafiti huu unafanywa na taasisi isiyo ya kiserikali inayojihusisha na mambo...
14 Reactions
93 Replies
13K Views
Leo nimefurahia sana kituko kimetokea maeneo fulani nikaribu mastendi ya hapo na kwetu. Mudada alizoea kupewa lift na jamaa inavyosemekana kila siku asubuhi kama miezi mitatu hivi anakuja kwa huyo...
11 Reactions
143 Replies
11K Views
Kuna bidada next door kutokana na wenge la upwiru nikaweka kumbe mtoto wa watu kanogewa akaja kwenda kwao huko mji kasoro Sasa communication zikaendelea full kujibebisha mi namchora tu. Sasa...
6 Reactions
19 Replies
610 Views
Wakuu, Kuna binti kijiji jirani toka nilipo mimi,nilimpenda sana nae akanipenda sana, Ilifikia hatua nikamnunulia simu, tukawa tunawasiliana, mapenzi yakakolea wakuu,binti kila anaekuja kuchumbia...
4 Reactions
43 Replies
792 Views
Nayasema haya nikiwa na simanzi moyoni hasa nikiwa katika wakati ambao mbili haisomi moja haisomi. Hii naomba iwafikie wagonga ulimbo wote asee kama bado kula yako tu ni ya kuunga unga kama...
16 Reactions
42 Replies
947 Views
Heshima kwenu wakuu, Baada ya kuona Watu wanawaandikia wapenzi wao meseji za kawaida zisizo romantic, nmeona niwakusanyie meseji japo uwe unacopy na kumpastia umpendae. Hii itasaidia kuamsha...
6 Reactions
75 Replies
745K Views
Habari, Imekua ikinitokea kwa mademu kadhaa naanza nao kwenye mahusiano ila baada ya kupeana mabusu mademu hao mawasiliano yanaisha hapo hapo na wengine wana block namba yangu, wa mara ya mwisho...
7 Reactions
69 Replies
925 Views
Twendeni taratibu limenikamata mwenzenu!, Mkeka umekaa hivi Janeth siku yake yakuzaliwa ni 23/2... ambayo ni leo!. Jackie nae mchepuko siku yake ya kuzaliwa ni 23/2.. ambayo pia ni leo!. Bongo...
4 Reactions
49 Replies
685 Views
Mahusiano ya miaka na nyakati hizi yamegubikwa na changamoto nyingi sana kutokana na kusokenana na mfumo rasmi wa kuratibu na kusimamia ustawi wake katika hatua za awali na kadiri muda unavyozidi...
0 Reactions
7 Replies
257 Views
JamiiForums nyumba ya wajuvi , Wajuvi ninawasalimu, Niende Moja Kwa Moja kwenye lililonifanya niandike .. Ulicope vipi baada ya kuachana na mtoto wa mamkwe.. Let's say mmedate, mmeunganisha...
7 Reactions
36 Replies
506 Views
Moja ya taasisi kongwe saana duniani ni "familia". Familia ndiyo kiunganishi cha kwanza cha jamii. Jamii iliyoungana siku zote hufanikiwa kwa kila jambo lifabyikalo. Hivyohivyo, Familia/wanandoa...
8 Reactions
72 Replies
5K Views
Wakuu, Kwanza Cha Moto unaanza kukiona pale mimba ya mkeo ikikaribia kujifungua (yaani miez 7 Hadi 9). Hapa wanawake wengi sn (hasa WA mjini) wanachoka kabisa na kuhitaji kupumzika Mara Kwa...
41 Reactions
173 Replies
3K Views
MwanaFA aliimba "Aliyelala na bibi harusi siku moja kabla ya harusi, na wala si bwana harusi...na bado mnanishauri harusi..." ILA WANAWAKE WANABAYA SANA SOMETIMES...sasa kama unampenda huyo mtu...
12 Reactions
66 Replies
7K Views
Back
Top Bottom