Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wakuu! Mtaani kuna stori nyingi sana. Sasa leo nimesikia kwa mara nyingine tena kwa wadau wangu wa kitaa kwamba wanadai etiy kufanya tendo la ndoa mida ya asubuhi kuanzia saa 11 hadi 12 kuna...
1 Reactions
13 Replies
488 Views
Yani mdada ukimwambia karibu uje Kunitembelea bhasi anajiandaa fresh kwa Kushave kila mahali alafu Wengine anajihami kwa kuvaa Pedy kumbe hata hableed... Sasa kosa Umuache aondoke bila Kumgegeda...
13 Reactions
186 Replies
14K Views
Mwanangu ana miezi 11 sasa alhamdulilah! Anakula vizuri .tu chakula cha usiku anakula around SAA 12 hadi saa moja jioni.Na Mimi nakuwa nimerudi toka mihangaikoni. Ila shida ni kwamba ananyonya...
1 Reactions
47 Replies
10K Views
Niende moja kwa moja kwenye mada, kifupi mie nakaa Jiji la mzee Amos makalla na nimebahatika kupata kibanda sasa hapa mtaani. Kuna bi mkubwa flani ambae mwanae wa pili licha ya mie kumzidi umri...
11 Reactions
55 Replies
6K Views
Habari wana jukwa hili pendwa. Bila shaka hapa ni sehemu sahihi moja wapo yakupunguzia sumu za kifkra zinazowaua wanaume wengi. Twende katika kusudio.. Nilikutana na binti mmoja toka Ruvuma...
10 Reactions
110 Replies
10K Views
Habari wana jukwaa pendwa kabisa wa MMU sasa naenda moja kwa moja kwenye point ya msingi Mimi ni kijana wa miaka ishirini but kimwonekano ni mfupi kiasi lakini kila nikijaribu kumtokea mwanamke...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Juzi kati nilijumuika na watu wa on transit to Marriage.... Moja ya agenda ilikuwa ni wimbi la mapenzi kinyume na maumbile, nini sababu kama vijana, Tumefikaje hapa? Uzoefu wa wanaotumia hii kitu...
22 Reactions
272 Replies
22K Views
Dunia ina mambo hii acheni tu. Kuna jamaa bwana alikuwa ananitongoza .nikawa namuhold kwa sababu kwanza ni muongeaji sana pili nilikuwa Na mtu ambae simsomi Ila kumix watu wawili nikawa nashindwa...
5 Reactions
39 Replies
3K Views
Habarini Wakuu!! Mwanamke lazima utambue jambo hili. Ili kuendana na ulimwengu na maisha halisi kuepuka tabu na msongo ya mawazo hapo badae. Mwanamke huanza ku-expaya siku ya kwanza atoapo bikra...
3 Reactions
78 Replies
6K Views
Hata aibu haoni anakua mkali Balaa nikiomba chakula cha usiku ananiambia kachoka nisimsumbue na siku nikipewa ni kimoja tu ndo naruhusiwa kupiga hataki zaidi ya hapo. Tatizo ni kwamba ananipa...
4 Reactions
94 Replies
7K Views
Habari wakuu, Wadau wajukwaa lipendwalo na wengi naomba tusaidiane hapa maana sijui ni mkosi au nimefungwa na my wife. Hivi wadada siku hizi wameshaolewa wote,maana kila ninayegusa ananiambia ana...
2 Reactions
60 Replies
5K Views
Wanawake wengi wa kiafrica wamefanana sana kitabia na jinsi walivyozoea kukariri vitu! Unapotongoza mwanamke wa kiafrica siku anapokukubali ni siku hiyo hiyo! Kodi yake inaisha! Mama yake analazwa...
6 Reactions
234 Replies
12K Views
Sitaki kutia chumvi yoyote, Maoni yenu ni yapi Huyu mwanadada msomi, kwa mujibu wake yeye ana elimu kubwa kuliko jamaa, ila jamaa ni form four failure mwenye pesa kuliko yeye na exposure kubwa ya...
12 Reactions
54 Replies
2K Views
Aisee unaweza ishi mahali au fika ugenini ukakutana na watoto wenye tabia za ajabu mpaka ukashangaa sanaa unaweza baki na maswali mia kidogo tuanzie hapaa kuna siku nilikuwa naumwa bhna sasa...
15 Reactions
245 Replies
20K Views
Ni mume wangu, mwaka wa 7 ndoani with one kid, nimefuma anachat na mwanamke kimahaba, nikajishusha tuyaongee mwenzangu ananijia juu. Sasa nimeamua ndoa basi, nataka talaka yangu na yeye kunipa...
5 Reactions
213 Replies
14K Views
Hakuna Msg inamtoa mwanaume Jasho LA kutosha Kama Hiiii bora Uombwe hela.. Hapo ndo huwa unaapa viapo vyote kuwa hutaenda kavu tenaa na kujiona mjingaa...
1 Reactions
63 Replies
5K Views
Mimi nasemaje tuwaroge tu ukienda kuchepuka mkuyunge usisimame. Wanaume mpewe nn msichepuke nje ya ndoa? Naombeni majibu. Ila kuna dawa moja ya kufanya mwanaume asichepuke Unachukua kitambaa...
25 Reactions
413 Replies
35K Views
Ila shida nimemzoea nikimuacha nitampata wapi mwingine? Na ukiangalia mie mwenyewe ni domo zege huku mwanamke nimemoata kibahati nilikutana nae pale mbagala rangi tatu nyuma ya stendi ya magari ya...
7 Reactions
59 Replies
2K Views
Mambo zenyu usiku huu, Jamani naomba ushauri hivi kunakosa kama mtu unataka kuwa rafiki naye ila sio mpenzi ?? Kuna tofauti ya mpenzi na rafiki Ila niurafiki tu kunaubaya ukipenda kuwa na urafiki...
4 Reactions
41 Replies
2K Views
Hapa nilipo nimeudhika sana,hata dinner niliyopanga kupata naye imebidi tu nilipie 1 drink na msosi wake halafu nizuge nimepata dharura! Yaani huyo binti nilimDM insta baada ya kuona picha...
16 Reactions
552 Replies
30K Views
Back
Top Bottom