Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wakuu ebu tuwe wawazi, hivi uko mliko serious mnafeel na kuexperience real love? Maana kwa upande wangu mambo ni bila bila, mapenzi ya kweli naishia kuyaona kwenye movies na kuyasikia kwenye...
10 Reactions
70 Replies
6K Views
Nikiri tu mimi ni mlevi na napenda wanawake wenye chura/makalio makubwa. Yaani akipita mwanamke mwenye makalio makubwa lazima nimuangalie/nigeukie. Yaani ukiniuliza ni kwanini hata sijui...
3 Reactions
87 Replies
13K Views
Habari zenu nyote, Ni takribani miaka 6 sasa tangu niwe na huyu msaidizi wa kazi za nyumbani, nilimchukua akiwa mdogo akiwa na umri wa miaka 15 baada ya kumaliza elimu yake ya msingi. Maisha ya...
206 Reactions
171 Replies
12K Views
Usiseme hujaambiwa. Kijana usijifanye we mfia dini kwa kutaka kuhalalisha wakati bado unajenga career, hakikisha wakati unatangaza ndoa uwe umekamilisha angalau Masomo na una career au biashara...
25 Reactions
76 Replies
8K Views
Ni kwanini Wanaume wengi siku hizi wanapenda sana kufanya Ngono ndani ya Magari yao? Hii tabia siyo tu kwamba sasa imeshazoeleka bali kwa jinsi ambavyo ninakutana nayo sasa ni dhahiri kabisa kuwa...
2 Reactions
79 Replies
14K Views
Wakuu habari Katika vitu vigumu kufanya kwenye maisha yangu ilikua kupima Ukimwi maana niliuza mechi nyingi sana.Nina miaka 23 Nimetembea na wasichana 30+ na hakuna hata mmoja niliyetumia kinga...
2 Reactions
89 Replies
8K Views
Tokea Form 6 nimekua nikiwaza kujiajiri tuu, ila vile maisha ya kiyatima na kimaskini yamenichelewesha kidogo. Ila nashukuru Mungu Nina miaka 30 na mambo yanaenda (I have started Small..!!)...
8 Reactions
218 Replies
13K Views
Kwa nini wanaume wanapenda na huona furaha au ufahari kufanya ngono/mapenzi na wanawake wengi tofauti tofauti wakati wanawake wao hupendelea kuwa na mpenzi mmoja tu au wachache? Wanawake wachache...
9 Reactions
53 Replies
3K Views
Hello Wapendwa. Kuna mahala fulani huwa ninasafiri kwenda mara kwa mara kufuatilia mambo ya kibiashara.Huko mahala ninaposafiri huwa kuna mama yangu mkubwa anaishi huko lakini siku zote huwa...
49 Reactions
181 Replies
27K Views
Habarini, Wanaume, katika harakati za kutongoza unakutana na mdada, unamtongoza, anaonesha kuwa kakubali, ila mkiwa kwenye story ukigusia swala la mzigo anakwambia sex ni hadi ndoa..au atakuuliza...
24 Reactions
206 Replies
4K Views
Ninampa kila anachojitaji, tunakubaliana kukutana lakini hafanyi hivyo, mbaya zaidi ananiongopea, sio hivyo sijawahi kuonja hata siku moja sasa ananifanyia visa ananitumia Picha za mpenzi wake kwa...
4 Reactions
87 Replies
8K Views
Salama wanajamvi, Nilikua na msichana mmoja tangu darasa la 7, sekondari na hata sekuwah ku do nae ad tulpomaliza form four nilimpenda na nilmwamini sana kabla yaku do aliniambia yeye ni bi.k.ra...
0 Reactions
125 Replies
12K Views
Ukiona umemtumia mpenzi wako/mchumba wako/mchepuko wako/mke wako au hata rafiki wa kike wakati mwingine SMS ya kawaida tu kwaajili ya kumsalimia lakini yeye akakujibu moja kati ya majibu...
53 Reactions
307 Replies
104K Views
Wadau habari zat weekend.Natumaini ni wazima. Leo naomba kuwekwa sawa kuhusu jambo hili.siku hizi vijana wengi wamekuwa wakijiua sababu ya mapenzi.Je ni sababu ya kupenda sana au ni kufikiri...
3 Reactions
48 Replies
4K Views
  • Poll Poll
KARMA - Kidamali: Wewe Mwenyewe Ndiye Ilifika mahali sikuogopa tena kuuliza ni kiasi gani walichohitaji kuhakikisha mipango yangu inakamilika. Hali ilikuwa mbaya kiasi hicho. Rushwa haikuwa siri...
26 Reactions
79 Replies
7K Views
Dear Readers especially hawa wanaume, Hamjamboo,kuna kisa kimoja kimeniumiza sana. Hiki kisa nikiko hivi. Waliingia majambazi wakataka kumuua jamaa . Ila mke wake alijitoa kwa majambazi . Na...
1 Reactions
13 Replies
401 Views
Susan Metta ni mwanamke wa miaka 40 kutoka nchini Kenya. Miaka miwili iliyopita alipopashwa habari za kuwa alikuwa na virusi vinavyosababisha ugonjwa wa ukimwi,badala ya kukumbwa na simanzi huzuni...
4 Reactions
62 Replies
7K Views
Mara nyingi nimewasikia watu wakisifia kula au kuliwa tigo, sasa kwa nini wanyama kama mbwa,mbuzi simba hawatumii tigo? Swali la pili ni kwa nini wanyama dume kwa dume hawafanyi mapenzi pamoja...
4 Reactions
6K Replies
1M Views
"Mke mzuri si yule aliye na sura nzuri tu, bali yule anayejenga nyumba kwa hekima, uvumilivu na upendo." Wadau wa Jamiiforums, heshima kwenu! Karibuni kwenye mada muhimu na yenye manufaa kwa kila...
4 Reactions
36 Replies
831 Views
Back
Top Bottom