where to dedicate our love when and how? je ni kwa watoto baada ya vurumai nyingi za maisha na mwandani au huko ndo kutaka kuwa chizi siku moja maanake kuna wakati u feel like there is something...
Kama upo kwenye uhusiano halafu haujisikii amani kufanya yale yaliyo sahihi tambua kuwa hapo unaburuzwa kihisia,mfano mpenzi wako akikukosea unaogopa kumwambia kwa kuhofia atakuacha tambua una...
Mtu una mke wako wa ndoa halafu pia una nyumba ndogo nzuri tu kama kawaida! Lakini kwa nini ukipima gharama za undeshaji hizi nyumba unakuta ile ndogo ndo yenye matumizi makubwa sana! Lakini mzee...
Wadau sio kwamba sijui madhara yake,...najua sanaaaa!
Nimeshauri watu na kuwafundisha madhara yake mara nyingi,ila mie nashindwa kuacha.
ikitokea nimeacha basi ni week moja basi narudia...
I wonder unawezaje approach your lover who is over 25 apate kutahiriwa?Unaanzia wapi hadi aingie box ya kwenda hospitali to face the knife? Wakuu please advice.
Kwa wanawake...
Sio swali zuri, lakini inabidi sometimes uwe umeshaliwekea principle ili siku yakikukuta usiamue kutokana na hasira...
Hivi kama mmeo unayempenda sana, kwa bahati mbaya siku...
Ndugu WanaJF nina nipo kwenye uhusiano na Mpenzi wangu kwa muda wa miaka 2 sasa, nampenda naye ananipenda lakini kwenye mwezi wa nane (8) mwaka nikasex na mtu mwingine mara moja TU. kumbe katika...
Ladies and Gentlemen,
''The King'' na wadau wengine wakubwa wa 'JF ISIYO NA STRESS' wapo kwenye mkakati wa dhati na wa kudhamiria kabisa kuelekea Dodoma wiki ijayo ili kuwapongeza na kuwapa mkono...
Popote mlipo mie ZD nimewamisi mnooo yani....kwa kifupi nimewakosa na nawatamani.....
Nazikumbuka sana ofutopik zenu....
Wapwa wote mkiwakilishwa na ...
Mabinti wengi hudhani njia rahisi ya kukwepa adha za umasikini ni kuolewa...............
Katika purukshani hizo za kutaka kuolewa hujikuta ngono nayo ipo mstari wa mbele kama vile kishawishi kwa...
Hello nimerudi baada ya kujipa bun ya siku tatu na ushee hivi. Nilikuwa na hasira za akina Kiravu na Makame wake. Well nasikia wana rais wao mpya sasa. Sitaki kuliongelea kwa sasa.
Nimerudi na...
Hivi ukiacha mkeo huku kijijini ukakuta amesababisha kifo cha mzee wa miaka 60 utafanyaje? Kwa nini msikae na wake zenu huko mjini?
Mzee wa watu anaduka la nyama pale kijijini, mkeo huwa ananunua...
WADAU NI VP HALI ZENU HUKO NYUMA????
MANA NI MDA KIDOGO UMEPITA SIJAKUA HEWANI HIVYO SIKUJUA MWAENDELEAJE.
sasa mi naskia tu wa2 wanasema mwanamke akitaka awe na shepu la ukweli asiwe anakula...
Wana jf
Mimi binafsi nimekunywa karibu kila brand ya Bia lakn nikaona Brand ya Serengeti ndo mahali pake, kwanza hata nikijidunga vp kesho yake nakuwa poa. Lakn jaman nimekutana na wadau zaidi...
Nimiona ktk mji flani nilipoenda kuangalia Live band ilokuwa ukipiga zilipendwa...
Wazee, hasa wa kiume walikuwa wakicheza twist, wakiimba pamoja na wanamziki, wakifurahia haswaa.. walikuwa...
Kuna Baadhi Ya Mambo Nashindwa Kuyaelewa Kabisa Kwenye Mahusiano ya Kimapenzi:
1. Ni kwanini watu wakiachana, Huwa Wenza hukashifiana sana mfano; Mwanaume gane wewe? Mwanamke mwenyewe Mbaya n.k...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.