Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

where to dedicate our love when and how? je ni kwa watoto baada ya vurumai nyingi za maisha na mwandani au huko ndo kutaka kuwa chizi siku moja maanake kuna wakati u feel like there is something...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani namtafuta mwenza mwenye kunishauri juu ya mazur au mabaya nayotaka kufanya please email yangu ni kokudopeter42@yahoo.com
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Kama upo kwenye uhusiano halafu haujisikii amani kufanya yale yaliyo sahihi tambua kuwa hapo unaburuzwa kihisia,mfano mpenzi wako akikukosea unaogopa kumwambia kwa kuhofia atakuacha tambua una...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Natafuta nyumba ndogo nzuri kabisa Anayehitaji tuwasiliane PM :peace::peace::peace::peace:
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Mtu una mke wako wa ndoa halafu pia una nyumba ndogo nzuri tu kama kawaida! Lakini kwa nini ukipima gharama za undeshaji hizi nyumba unakuta ile ndogo ndo yenye matumizi makubwa sana! Lakini mzee...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau sio kwamba sijui madhara yake,...najua sanaaaa! Nimeshauri watu na kuwafundisha madhara yake mara nyingi,ila mie nashindwa kuacha. ikitokea nimeacha basi ni week moja basi narudia...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
I wonder unawezaje approach your lover who is over 25 apate kutahiriwa?Unaanzia wapi hadi aingie box ya kwenda hospitali to face the knife? Wakuu please advice.
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Kwa wanawake... Sio swali zuri, lakini inabidi sometimes uwe umeshaliwekea principle ili siku yakikukuta usiamue kutokana na hasira... Hivi kama mmeo unayempenda sana, kwa bahati mbaya siku...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Ndugu WanaJF nina nipo kwenye uhusiano na Mpenzi wangu kwa muda wa miaka 2 sasa, nampenda naye ananipenda lakini kwenye mwezi wa nane (8) mwaka nikasex na mtu mwingine mara moja TU. kumbe katika...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
kuna ndugu yangu sasa anamiaka 20 na anadai kwamba hajawahi kufanya zinaa je?kuna madhara yoyote anayo weza kupata / jinsia ni MVULANA
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ladies and Gentlemen, ''The King'' na wadau wengine wakubwa wa 'JF ISIYO NA STRESS' wapo kwenye mkakati wa dhati na wa kudhamiria kabisa kuelekea Dodoma wiki ijayo ili kuwapongeza na kuwapa mkono...
0 Reactions
217 Replies
13K Views
Popote mlipo mie ZD nimewamisi mnooo yani....kwa kifupi nimewakosa na nawatamani..... Nazikumbuka sana ofutopik zenu.... Wapwa wote mkiwakilishwa na ...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Mabinti wengi hudhani njia rahisi ya kukwepa adha za umasikini ni kuolewa............... Katika purukshani hizo za kutaka kuolewa hujikuta ngono nayo ipo mstari wa mbele kama vile kishawishi kwa...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Hello nimerudi baada ya kujipa bun ya siku tatu na ushee hivi. Nilikuwa na hasira za akina Kiravu na Makame wake. Well nasikia wana rais wao mpya sasa. Sitaki kuliongelea kwa sasa. Nimerudi na...
0 Reactions
160 Replies
10K Views
Hivi ukiacha mkeo huku kijijini ukakuta amesababisha kifo cha mzee wa miaka 60 utafanyaje? Kwa nini msikae na wake zenu huko mjini? Mzee wa watu anaduka la nyama pale kijijini, mkeo huwa ananunua...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
WADAU NI VP HALI ZENU HUKO NYUMA???? MANA NI MDA KIDOGO UMEPITA SIJAKUA HEWANI HIVYO SIKUJUA MWAENDELEAJE. sasa mi naskia tu wa2 wanasema mwanamke akitaka awe na shepu la ukweli asiwe anakula...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimeikuta hii barua ya miaka hiyo kwenye kabrasha langu....
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana jf Mimi binafsi nimekunywa karibu kila brand ya Bia lakn nikaona Brand ya Serengeti ndo mahali pake, kwanza hata nikijidunga vp kesho yake nakuwa poa. Lakn jaman nimekutana na wadau zaidi...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Nimiona ktk mji flani nilipoenda kuangalia Live band ilokuwa ukipiga zilipendwa... Wazee, hasa wa kiume walikuwa wakicheza twist, wakiimba pamoja na wanamziki, wakifurahia haswaa.. walikuwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna Baadhi Ya Mambo Nashindwa Kuyaelewa Kabisa Kwenye Mahusiano ya Kimapenzi: 1. Ni kwanini watu wakiachana, Huwa Wenza hukashifiana sana mfano; Mwanaume gane wewe? Mwanamke mwenyewe Mbaya n.k...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Back
Top Bottom