Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Yawezekana uko njian kwenye kufunga ndoa yawezekana bado unafikiri utaoa ama kuolewa lini yawezekana uko ndani ya ndoa lakini ujaona tofauti na maisha ya ukapera takwimu zinaonyesha wanandoa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
From nowhere, ananiomba nimbembeleze....! Nianzeje?
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Mimi ni kijana(mwanaume) na ni mtoto pekee kwa huyu mama. Ni mama yangu mzazi na kanilea yeye mwenyewe bila baba, na nikimuuliza baba yangu ni nani hanijibu zaidi tunagombana tu!!! Kanisomesha...
0 Reactions
45 Replies
8K Views
Ni mdogo wake na friend wangu, tuliyoisheherekea harusi mwezi May, ni jana my frnd ananical ananiambia mdogo wake karudi nyumbani(kwa wazazi). Mwanaume alisafiri kama 2 weeks kikazi, karudi...
0 Reactions
237 Replies
15K Views
Nausikiliza huu wimbo hapa ofisini na unanipa hamu ya kufanya kazi. Shukrani kwa mwimbaji kuyatendea haki maneno yaliyomo ndani ya wimbo huu. Kaimba vizuri sana. Shukrani pia kwa mtunzi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hivi nimejaribu kufuatilia kwa ukaribu ndani ya jamii yetu kwenye vyombo vya habari nikakuta stori ni ileile!!Najivunia kwangu tukio hilo halijanikuta! Nauliza kwanini inapotokea umemchoka...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Jamani bado namfukuzia Natasha, Siwezi mPM maana MOD watasoma, nimekumbuka barua niliyomwandikia mwaka 1994. Huko uliko nijibu, Mwenzako ni Mchungaji ila bado nakupenda Masa K
0 Reactions
9 Replies
2K Views
In life, no matter how much good there is, you can always find something bad if you look for it. You can find some fault, some weakness, something that you don´t understand or like. You can either...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Our relationships are precious, valuable treasures from heaven, and we should handle them carefully, always looking for ways to build bridges to each other's hearts. I know that all of us desire...
0 Reactions
0 Replies
828 Views
Halloo, Nina rafiki yangu mpenzi jana kanilalamikia kuwa anahisi kuna mtu ana mahusiano ya kimapenzi na mkewe, ila ameshindwa kumkamata kwa sababu saa zote mkewe anafuta message zote kwenye...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Wadau kuna huu msemo kwamba wanaume ni wachache wanawake wengi. Huo sio ukweli kabisa wanaume wako wengi sana ila wale wenye vigezo na wanaofaa ndio wachache. Nakaribisha mashambulizi
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Rules To Help You Cheat On Your Spouse Cheating brings back that energetic spark in ones life. Cheating is inevitable. To cheat is human not to be caught is divine. Here are a few rules to help...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Tumetoka mbali hasa tulianza shule miaka ya 1970s! Enzi zetu barua kama hii ilikuwa ukishaiandika, unatafuta nafasi ya umdhamiliae awe peke yake ili uweze kumkabidhi, kwa hiyo waweza kukaa...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Hey people, Kwanini maneno mbaya kama hii inatokea katika siku muhimu kama hii? Je ni jinsi gani rahisi, na ya ustaarabu ya kukata mahusiano na wapenzi wa zamani, hasa tunapoingia kwenye ndoa?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
3 Powerful Truths to Help Your Marriage You know the saying, "Marriages are made in Heaven, but they sure take a lot of maintenance on earth!" That's the truth! Great marriages take work and...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani hawa wamarekani naona wameamua ila kwetu wanaleta ujumbe wa kondom mbona kenya wenzetu wamewapa jumbe nzuri ""mke wangu anantosha""yaani walivyoliaanda hata ulikuwa mzinzi kwenye ndoa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Takribani wiki mbili zilizopita kulikuwepo na habari hapa jeief kwamba moja ya nyumba ndogo za mgombea mmoja wa urahisi ilikuwa hoi bin taabani kitandani kwa maradhi. Ukitilia maanani kwamba...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wandungu habari za weekend! Hebu nijuzeni, hivi ama mwanamke au mwanaume akimdate mtu ni lazima wakamegane? Nauliza hivi maana kuna mdada mmoja kahamia ofisi ya karibu na kwangu (meaning ofisi...
0 Reactions
91 Replies
10K Views
Our relationships are precious, valuable treasures from heaven, and we should handle them carefully, always looking for ways to build bridges to each other's hearts. I know that all of us desire...
0 Reactions
0 Replies
825 Views
Nini maana ya neno shalobalo?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom