Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Whoever came up with this storyline is a genius! What must this guy have scored in his driving test !
0 Reactions
0 Replies
913 Views
Unajua hapa kunakuwa na watu wanakuwa na maneno matamu kwenye chat zao kiasi cha kutamani kama ningepata wasaa nae...! Lakini sasa sitamani tena Juzi nilienda kwenye ofisi ya secretary mmoja...
0 Reactions
71 Replies
6K Views
Imethibitishwa kuwa, wanawake walio wengi wana viwiko vyeusi. Weusi au usugu huo unatokana na wao kupendelea au kulazimishwa kutumia kwa muda mrefu staili moja ya kifo cha mende. Utafiti huo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nina umri wa miaka 37 na nimeoana na mke wangu huyu miaka mitani iliyopita na tumejaaliwa mtoto mmoja wa miaka mimme na nusu sasa. Maisha yetu kiuchumi na kimahusiano ni mazuri...kama kuna...
0 Reactions
50 Replies
7K Views
Nikiwa nimetulia pahala napata 'urithi wetu'...:A S-coffee:!! kaingia braza mmoja kapaki mkoko, akakaa meza ya jirani kaanza kuagiza kinywaji!! muda mfupi kaungana na kundi la watu watau akiwemo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi Wajomba na mashangazi, ma-braza na masiteri namba niwaulizage....?!! Hivi, kwa zama zetu hizi za leo na utandagiza huu, wangapi wanaweza rudi kijijini kwenda kusaka demu au mvulana ambae...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamii forum . .me mpya katk web hii so napenda pata marafik wa rika zote
0 Reactions
1 Replies
1K Views
John na Sauda wamekuwa marafiki machoni kwa wanajamii kwa muda mrefu. Lakini hivi karibuni wamekuwa na ugomvi usiyo na maelezo. John alikuwa akishirikiana na Sauda kwenye biashara zao na hata...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Wakuu naomba kuleta kwenu. Kutokana na siasa za tanzania unavyozijua kampeni umesikia nyingi!Lakini leo ni siku ya Vijana Duniani, Je katika kampeni za wana siasa wetu ulisha wahi kusikia mgombe...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ukijaribu kuwauliza baadhi ya wale wa "enzi za mwalimu" watakuambia siku zile akina mama zenu wengi hawakuwa na kazi na hata kama aliandika mfanyakazi wa ndani yeye alilijitahidi kila kitu...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kuna baadhi ya watu wanaopenda kubakia na vitu vya wenzi wao ikiwa kama hao wenzi wao hawaishi nao. Eti vitu hivi huwa vinawakumbusha kuhusu hao wenzi wao na huko waliko Sasa kitu ambacho...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ndugu zangu wana JF na umma kwa ujumla tujiadhari na kujikinga na gonjwa ili la UKIMWI dawa iliyopatikana bado inafanyiwa uchunguzi kabla ya kuthibitishwa na WHO kuwa inatibu ili gonjwa. Kwa hiyo...
0 Reactions
136 Replies
8K Views
Natoka kwa Job naelekea zangu home nafika nyumba moja kabla ya kufika kwangu (kwa jirani). Nakuta Mke wa jirani anafua nguo za watoto wake watatu (3) wote wa kiume huku wakiwa wamemzunguka mmoja...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari wana JF! Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 33, nimeoa na ndoa yangu ina miaka miwili hivi sasa. Na nina mtoto mmoja. Kabla sijaoa, mimi na mpenzi wangu tulikuwa tunaweza kufanya mapenzi...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Jana nimesoma kwenye gazeti habari kuhusu mtoto wa kike wa std 6 wa miaka 13 amefumaniwa akichinja kobe porini saa 4 asubuhi muda wa class.... kwa mujibu wa walioshuhudia (ilikuwa Moro mtoto...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
  • Closed
Wapenzi,Wapwaz na Binamuz wote.Salaam Kwanza nichukue nafasi hii kwa wale ambao bado hawajafahamu kuwa mimi ndio Gender Sensitive,kutokana na mambo fulani fulani ya kisiasa imebidi nije na jina...
0 Reactions
86 Replies
7K Views
Wenzangu recently tulikuwa tuna discuss wanaume tunaofanya kazi nao na inaonekana kwamba wale ambao wamesha oa ndiyo husumbua warembo ofisini sana tena hata mukienda trip official na mwanamume...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wenzangu juzi mwenzangu akaniambia eti mumewe huwa analeta movie za porno waone kabla waelekee bedroom.yeye alisema kweli zinamleta juu kiasi ambacho mumewe kwa kawaida hawezi, tena haraka mno...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Hivi mke/ mme ni mpenzi, rafiki, ndugu, partner, mzazi mwenzio, msaidizi au ni nani naomba msaada jamani ili swali linachanganya
0 Reactions
38 Replies
3K Views
:bounce:Je umeshawahi kumkumbushia mpenzi wako jinsi alivyokuwa akikutokea/tokewa mpaka mkawa wapenzi na kuvuliana makufuli na kupeana raha kwa mara ya kwanza?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…