Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Hapo vp utafanyaje wakulu
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wanaume ni wakarimu saaaana ndiyo maana hupenda kuonyesha upendo kwa wanawake ili tu auonje ukarimu na utamu wake! Si kwamba ni wahuni kwa kutoka kwenye ndoa zao ila au relationship zao ila ni...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
naona jamaa wameamua kama noma na iwe noma yani hii inatia kinyaa kabisa na hii ni zaidi ya sodoma na gommorah
0 Reactions
45 Replies
18K Views
Juzi juzi niliona katika blog moja ya TZ kinamama wakichangamkia kununua picha walizopiga katika kitchen party (picha ambazo uuzwa kwa mfumo wa kutandaza chini baada ya shughuli kwisha) na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Men Are Impossible to Please If hecalls you and your phone isoff, he thinks you’recheating….then he sends a sms saying“don’t tell me the battery story coz I know that line” IIf uTREAThim nicely...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habarini wakuu! Kama mnakumbuka kuna thread moja niliweka " KILA NIKIAMKA" wengi walinipa ushauri wa kuoa haraka kutokana na sababu mbalimbali walizonipa! Nilichukua ushauri wao nami nikaa na GF...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
mke wangu hapatani na wifi yake nifanyeje ili wapatane?kisa mke wangu alibananishwa na baba ikabidi aseme ukweli kuhusu alichokifanya wifi yake. nisaidieni.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wana jf,,,. Je mwajua!! Utafiti nilio ufanya kwa WANANDOA zaidi ya hamsini sikupata hata mmoja ambaye anaishi na yule aliye mtaka/mpenda. wote walijikuta wakikosa nafasi na...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari wana jamvi, Nimekuwa nikipata malalamiko mengi kutoka kwa mashosti eti utakuta mwanaume anamtokea msichana na kumuimbisha sana, mimi nakupenda zinakuwa nyingi, lakini mkishapewa mara moja...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
ningependa kujua kuhusu hawa vijana wawili wa kiume ambao age zao zinarange kwenye 30-35yrs old, mmoja bado yupo home anaishi chini ya uangalizi wa wazazi, mwingine anajitemea anaishi peke yake...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Haya tena ule msimu umeanza... Watu watakuwa bz hadi saa sita usiku wakiwafurahia akina Rooney, na Torres, na Drogba na Fabregas na Nyumba Ndogo... Akina mama ...changanya na zako...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
haya haya wapwaaz,mabinamuuz,friends and haters wote......... hii ni maalumu kwa INFIDELATORS na INFIDELEES wote. ni kawaida sana wakati wa ''infidelity'' kuambatana na matukio ya ajabu ajabu na...
0 Reactions
797 Replies
44K Views
Wakuu habarini?? Mimi ni kijana wa miaka 34 bado sijaoa ila nina GF na huwa tunakutana kama mara 4 ama 5 kwa mwezi, Sasa tangu mwaka huu uanze kila nikiamka mtinange nao unaamka juuu unasimama...
0 Reactions
63 Replies
6K Views
jamani kuna connection yoyoyte kati ya Mungu na Binadamu wakati wa sex nauliza hili kupata msaada nimeona wanawake wengi kipindi cha ujana wakifikia mjengoni wanaanza my god my god my god...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
kuna wakaka wawili aged between 30-35yrs old, mmoja yupo home na wazazi wake yaani yupo chini ya uangalizi wa wazazi, mwingine anajitegemea,anaishi peke yake, wote wanafanya kazi yenye kipato...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimepitia site moja ya wakenya nikakutana na hii topiki hebu check hivi vimbwanganyoso .......It happened when i was at ushags,i met this girl at kauchochoro well i mean porini,we never arrenged...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Najiuliza sipati jibu kuna Mama mtu mzima yeye anapesa za kutosha nilikutana naye kwa maswala ya biashara natukamaliza biashara lakini kwa sasa simu zimekuwa nyingi mpaka namwambia nipo safari...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Yawezekana we ni mmoja wa wanaojiuliza maswali haya kutokana na mwamko mpya waliouanzisha wanakaya ama maboss wetu hasa wanapotoa ajira..jamaa yangu ameoa mke secretary wa kampuni moja maaruf sasa...
0 Reactions
96 Replies
10K Views
Unaweza furahisha waalikwa wenu hivi.. http://www.youtube.com/watch?v=g8DCt3Lmi28
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina rafiki yangu na alikuwa katika mahusiano na dada mmoja ambaye wakati huo alikuwa na boyfriend wake ila bado walikuwa hawafikia kuwa wachumba,pia rafiki yangu huyu nae ana mwanamke wake ambaye...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Back
Top Bottom