Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Umempenda demu! Umemtokea ! Kakupa Big YES, Unapiga naye romance za kufa mtu! bila ya kufanya tendo la ndoa unampeleka au unaagana naye anaenda zake, kwa kukuahidi kesho ndiyo mpambano wa gemu la...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wives who claim their husbands should help out more around the house because women work a "double shift" at the office and in the home are misguided, according to research. If both...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Leo nimepada kwenye daladala nikawa nimekaa siti ya nyuma kabisa ile ya watu watano (5),kuna wadada watatu wakawa wanasimuliana inavyoonekana yule mmoja ndiyo yaliyomkuta.alikua anasema alikutana...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
It's wondrous what a hug can do, A hug can cheer you when you're blue. A hug can say, "I love you so.", Or, "Gee! I hate to see you go." A hug is, "Welcome back again." This Hug Is Meant For...
0 Reactions
0 Replies
950 Views
Nimekuwa nikiongea na marafiki zangu na wengi (mademu) wamekuwa na maoni kuwa wanaume ambao hawajaoa ni wachafu ukicompare na waliooa kwa kurefer observations zifuatazo; i) Wanaume wengi ambao...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Wana JF Hivi mwanamke kaumbwa kutokana na Udongo au Ubavu wa Mumewe? kama ni Udongo mbona hawana utii kama ule waliopewa viumbe viumbavyo kwa udongo, na kama ni Ubavu wa Mume mbona hawana...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
.... you would know that I have feelings deeper than I normally show. ... what about you?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ulishaona mtu ambaye kashindikana ( mke au mume) lakini akafika mahali akawa mpoleeee! Mnadhani inawezekana vipi? hakuna mzizi wala hirizi hapo! Kazi kwenu!
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Haya wapenzi wa shangilia ushinde nimerudi tena leo hii wacha tujiweke sawa na mambo yetu..wapo wengi wanapenda kuoga baada ya kufanya mapenzi lakini kuna mada moja imeongelewa sana tangu asbh...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Inasemekana mwanamke asiepata kichapo kizuri cha chakula ya wakubwa mara kwa mara huwa bitter........kama umewahi kufanya kazi chini ya Boss mwanamke au unafanya kazi na wanawake ambao hawapati...
0 Reactions
125 Replies
9K Views
Uncle chriss ndani ya nyumba
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hili swali najiuliza bado hivi ni kwa nini wanandoa sijawahi kuwakuta guest lakini kila nikifika enzi hizo nakutana na wezi wa ndoa ama wezi wa wachumba wa watu......bado najiuliza hivi nitamzaa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Yawezekaana unajiuliza nini hiihii ni sehemu ya malavidavi iko kunduchi hakika ni kama kijiji lakini ukiingiakwa ndani ni mabenzi basikeli bajaji zinawaleta wake za watu kwa ajili ya hukumu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimeona, hasa miaka ya karibuni... Wazazi wengi.. hasa wenye ukwasi... wanajitahidi kuwapa mazingira 'bora' watoto wao... watawafanyia kila kitu kiasi kwamba mtoto anakua kila kazi ya mikono...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
The women who choose not to be mothers More women in the developed world are choosing not to have children. So why do friends, family, colleagues and even strangers think it's OK to question...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wapendwa si haba kumshukuru Mungu kwa uweza wake wa ajabu kwa kutfikisha hapa tulipo. Pili napenda nimshukuru Mungu kwa kunizalia mama mkwe ambae bila kujua akanizalia mwanae ambae leo hii...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mpenzi anaekili kuwa ka-cheat mara nyingi huwa na mapenzi ya dhati, anajua kosa lake na pia anaumia kama unavyoumia wewe au pengine zaidi kwa kile alichokifanya na uwezekano wa yeye kurudia kosa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba msaada wenu wana JF mnisaidie maoni. Mimi nina GF wangu akikosea usimwambie, ukimwambia umekosea kufanya jambo fulani basi hapo atatafuta kila njia na namna na wewe uonekane kukosea ili...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wa-JF Ningependa kupata mawazo yenu kuhusiana na mahali muafaka kwa ajili ya kuifanya hii kitu (kwa Tz).. Pia ni kitu gani wadada wanategemea.. Brothaz twatakiwa tufanyaje kuifanya iwe SPESHELI...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Wakuu, heshima mbele! Mke wangu ni mjamzito wa miezi 6 sasa, akiniona tu anaanza kutapika na chumbani amehama kabisa! Kwasasa analala chumba cha peke yake! Kadri ujauzito unavyokuwa na yeye ndiyo...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Back
Top Bottom