Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

naombeni msaada wa kiroho, nahisi kama nimeingiwa na pepo mbaya na sijui nitatoka vp, kwa mujibu wa dini yangu ni kwamba huu mchezo ni mbaya sana. im about 28 yrs old, nina mchumba ninayempenda...
0 Reactions
46 Replies
9K Views
Nimesikia wanaume wakilalamika kuhusu wanawake na kutotoa manuguniko ya kimahaba but the worst culprits ni hao hao wanaume.Wengine ni kama mizoga - hata hapumui - hata akifika ukingoni ni macho...
0 Reactions
55 Replies
8K Views
Wadau..... ktk kukaa maeneo flani na vidosho(hasa masista duu..) wana vimaneno vingiiiiiikifika kujadili khabari yetu vidume... ila sikio langu limenasa haya maneno matatu ambayo huwa siyapatpati...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24. Nimeoa! Ninampango wa kuzaa baada ya miaka 6 kama mambo yakienda vizuri. Mke wangu ana umri wa miaka 21 na tumekuwa tukila 'chakula cha wakubwa' mara kwa...
0 Reactions
40 Replies
6K Views
Makaka sometimes inabidi nasi mara moja moja tuwe tunayatia mapenzi chachu hata kwa kufanya kakitu kadogo kuonyesha kuwa unamsaidia wife. Sio unakuta kaka mwingine yeye anachojua ni kufanyiwa tu...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Wadau hii ni kweli?kuna chansi?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Helo Dears, Dearests and Super Dears! Its Furahi day, Remember "YOU LIVE ONLY ONCE, PLAY SAFE"
0 Reactions
64 Replies
4K Views
Wakuu, Hivi nimejaribu kuchunguza miaka imepita nasijapata jibu naleta kwenu mnijuze kwa nini, Kwanini unapokaribia mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan vitu upanda bei?? (a)Mnyama mauzo yake...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Leo asubuhi nilikuwa nikisikiliza BBC na katika moja ya taarifa zilizonishangaza ni kuwa nchini botswana kuna sheria inayomkataza mume au mke kumfatilia mwenza wake pindi mmoja wao anapoamua...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jirani yangu ambaye anaishi gorofa moja juu yangu kila wakati akifanya mapenzi huwa ananiamsha kwa sababu kitanda chake kina piga kelele sana.Tena huwa ni katkati ya usiku kuanzia 1am to 3am.Hii...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Wapenda kila nikiingia na mipira narudi nayo nje na hii imekuwa baya pale binti anapoanza kuvua yaani hamu ya mipira inaondoka najikuta kama sio mimi yaan sijui ni pepo ama naombeni mniombee kwa...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Kuna jamaa yangu mmoja ana kitabia kichafu cha kutembea na wake za watu huku naye ana mke tena mzuri wa sura natabia. Sasa hivi karibuni alimtokea mke wa mtu ofisini anapofanyia kazi mkewe,na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
:israel:
0 Reactions
3 Replies
2K Views
We na mkeo mmeanza maisha na wote, mwafanya kazi sehemu tofauti na huwa mnaondoka alfajiri kwenda mihangaikoni na mnatumia daladala. Kila siku kuna jama anapita na gari lake na mkeo anakuambia...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
20 signs that you should end it Has your relationship run its course? Here's how to tell Relationships, like hot summers, often look better from a distance. Just as you forget how...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nimewahi sikia na kusoma through internet kuhusu haya magonjwa yanaitwa sexual disoder but sikuwahi sikia kuwa kuna wa africa nao siku zote nimeamini ni wazungu ndo wagonjwa mfano wa stori hii...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Ukiwa na mpenzio/ mume/mkeo mwatembea mmeambatana, mara inapotokea jozi (pea) nyingine ya wapendanao mkapishana nayo, jaribu kuchunguza kwa makini... Wengi ya wapendanao huwa wanapoteza kabisa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kumbe wamarekani wanayajua mapenzi kuliko sisi. Kumbe tena wako wazi kuliko sisi. Wako wazi kiasi cha kuwa na ndoa za mikataba. Wako wazi kiasi cha kuruhusu mahusiano ya jinsia moja! Kumbe wanaona...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Hivi jamani ni utandawazi au maisha magumu??? Mimi sielewi nini kinatokea kwa wadada waleo sijui nimaendeleo??au njaa zanmani ulikuwa ukiwa na demu unaweza kupatakiburudisho zaidi ya x6 hivi...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
For all those men who say, Why buy a cow when you can get the milk for free. Here's an update for you: Nowadays, 80% of women are against marriage, WHY? Because women realize it's not worth...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom