Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Habarini za leo!! Leo katika uchambuzi wa magazeti nimesikia kuwa huko Morogoro msaidizi wa kazi za nyumbani (famously known as housegirls) kamnyonga mtoto wa miaka wa miaka 2 na yeye kaishia...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
What happens to the Lipstick used by the ladies. 5% of the Lipstick is sticked to the cutlery. 25% of the lipstick goes to Tissue Paper & Cotton Tabs at the time of removeing the Make Up...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
have you come across this thinking? Before Marriage / After Marriage Before Marriage - - - He: Yes. At last. It was so hard to wait. She: Do you want me to leave? He: NO! Don't even think about...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani kumbe sometimes mafumbo ya kimapenzi kwa watoto ni muhimu ee!!, kuna jamaa humuhu jf simtaji jina alinipa stori moja anasema kila akirusi kwake anakuta watoto wake hawajalala wanaangalia...
0 Reactions
7 Replies
14K Views
Ahhh imebidi niseme hii....... Wakati inafahamika kuwa mwanaume kuwa na mwanamke mmoja tu its unnatural.....cha kushangaza suala la mwanamke kuwa na mke zaidi ya mmoja nalo ni linachukuliwa kama...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Kwa wale wenzangu na mie wanandoa kuna ile hali kipindi cha uchumba na kipindi cha ndoa kabla ya kupata watoto na kuwa na wafanyakazi ndani ya nyumba kuna zile za kukumbatiana au kupigana mabusu...
0 Reactions
46 Replies
6K Views
mke bora ni yupi kati ya hawa? anakufuata kila mahali, anakupigia simu za kukuuliza uko wapi na una fanya nini, anakukataza baadhi ya marafiki, anakukataza bia na sigara, ana wivu sana juu yako...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kuna kipindi cha radio kinazungumzia mada ya mahusiano baina ya wanawake na wanaume.Kitu kilichonistua ni ujumbe uliosema " akikutaa kimapenzi basi na urafiki ufe".Ina maana wanawake na wanaume...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
FINE This is the word women use to end an argument when they feel they are right and you need to shut up. Never use "fine" to describe how a woman looks -- this will cause you to have one of...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Love is blind, just be blind if you want to conquer someone's heart
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Eti wana JF, hivi ni vizuri mpenzi wako ambaye either ni member au anapenda kuperuzi hapa JF kujua username unayotumia? Je akijua username yako kwa namna fulani hawezi kukunyima uhuru wa kutoa au...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
How many of you can relate to this? He is too short but he treats you like a jewel but you prefer taller guys. Or she's a little bit curvaceous but you like the skinny chicks but yet she can make...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wapenzi wa jf muda muafa kuhimizana kuwa na wenza wetu jamaninajua kuna wengi wanashida na kuogopa kuoa kuhisi kuongeza matatizo la hasha ndoa ni njema na baraka usiogope majaribu hata yesu...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Utamsaidiaje huyu binti?... NIACHANE NA HUYU MZUNGU? Naomba wadau wanisaidie kwa ushauri, Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24, kuna mzungu alitokea kunipenda...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
God is Great when you think about it. God has to be the best inventor of all time. He took a rib from Adam and made a loudspeaker
0 Reactions
0 Replies
919 Views
Men should help our women to fight this scourge strictly on medical grounds. BBC Homepage Top News Story Doctors recommend that women reduce the risk of getting breast cancer by having...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Unaweza kujikuta umeulizwa swali jepesi tu ambalo halihitaji majibu mengi wala ya kina. "Mbona umechelewa" swali hilo. Jibu lake linatakiwa liwe fupi na lisilo na mbwembwe. lakini hapana, mtu...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Tuma jina unaloitaji la mkeo mtarajiwa...umbo lake unaloitaji awe,,urefu/ufupielimu yake/aweje tumeanzisha maombi rasmi kanisan kwetu la victroy churchkuombea wale wanaoitaji ndoa na wale...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Hii niliisikia toka kwa mdada flan mwenye ndoa yake... Kwamaba yey akikwaruzana na mumewe na tatizo kwa wazee kwa utatuzi... Anaambiwa awe mtulivu..wamaume wengi huanza kuiona thamani halisi ya...
0 Reactions
47 Replies
4K Views
Jamani jamani mchina ni noma hapa TZ kashika kila kona ya bidhaa Mwanzo alianza kwa kuuza madawa asilia sabuni na dawa za mswaki, baadae akaja kwenye gari haswa za kunyoosha magari, akaja na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom