Wadau ,
Mimi bado nina kamba hapa JF.na sijui kama hili limeshapewa ufafanuzi hapa jamvini,
Mimi bado sijaelewa hizi stika za zimamoto za kuwekwa kila mwaka kwenye gari na kulipiwa gharama kubwa...
Ningependa nifahamu ni maamuzi gani wenzangu mtachukua iwapo hali hii itawakuta. Dada yangu ameolewa na Mnyarwanda ambaye anakijikampuni chake kinachowapatia senti mbili tatu angalau za kuwafanya...
Natafuta demu wa kuchat nae,sitaki kukutana nae face to face au kuwa na uhusiano wa kimapenzi.
nataka m2 (wa kike eh) charming wa kunipotezea mawazo. kama una interest, nitumie email au niadd...
Yawezekana na wewe upo kwenye hiyo list...wapo watu wengi sana
ambao wanaanza mapenzi kabla ya ndoa..na hii imekuwa system ya kila sehemu....hii tukubali tukatae hii ni dhambi..haurusiwi kuchukua...
It says: "Be very careful if you make a woman cry, because God counts her tears. The woman
came out of a man's rib. Not from his feet to be walked on. Not from his head to be superior, But...
Am hoping you all are doing very well in your different capacities...wapwa, mabinamu, masista duu, nk.
I thought we should discuss this, memories of past rships.... am talking about not so...
Umeipata hii kali ya huko Mbeya Wazee huko wanajichukulia visichana vidogo vya primary na vimepewa jina ati wanadai kupata chanjo ni kuvimega visichana vidogo.
Friday, November 27, 2009 3:00 PM
Kamera za ulinzi nchini Marekani zimemnasa live mwanamke mmoja ambaye aliamua kuisaliti ndoa yake na mpambe wa bi harusi dakika chache...
Zambia's celebrity couple reveal wife-beating past
By Jo Fidgen
BBC News, Lusaka
One of Zambia's most famous singers has revealed how she was badly beaten by her husband. She now...
Tumekuwa tukisikiliza radioni, kusoma magazetini na kushuhudia pia kuwa
watu wakiwa wanaishi pamoja kama mke na mume na kama wamejaaliwa watoto mambo huwa mazuri tu. Tatizo linakuja pale...
Jamani kuna kaka mmoja amekutwa na mtihani mkubwa katika maisha yake baada ya kuugua ugonjwa wa kupooza uliomfanya asiweze hata kuzungumza. Akiwa katika hali hiyo, kwa kuwa hakuwa na mke na tatizo...
Dunia hii ina mambo mengi ya kustaajabisha, moja wapo ni hili la jidume kuoa huku na lenyewe limeolewa! yaani kuna mwanaume mwenzie anamkula na kumhudumia kama yeye anavyofanya kwa mke wake...
Hivi kwa nini wanawake wengi wa kitanzania
wanafikiri sex ni kwa ajili ya kumfurahisha
mwanaume,kama vile haina faida yeyote kwao???
Mara nyingine utasikia mwanamke anamnyima sex
mpenzi wake...
Wajameni nina kaka yangu ana mchumba wake wana miaka mitatu sasa kila binti akiambiwa tuoane anadai mapema sana...baya ama zuri kakangu anasema kila siku amekuwa akililia tunda bila mafanikio...
Jamani ukitaka kujua ubaya wa mapenzi, anzisha mahusiano ofisini maana ni sawa na kujifunga bomu kichwani ukisubiri likulipukie wakati wowote!
Mahusiano kazini yasipoathiri utendaji wako (kama...
Wajameni kumekuwa na imani nzuri inayofanya kazi mumemwema hutoka kwa bwana yesu sasa kama mwanandoa tunaomba utushauri hapa nini ama sheria gani zitakuonyesha huyu mume bora/mke bora...na si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.