Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

What do yoy think? does it relly important?sex is different from making love ryt?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wanasema pesa humfuata mwenye pesa.. huwezi kupata pesa nyingi bila kuwa na pesa japo kidogo sio... mimi katika experience yangu naona na wanawake hivyohivyo.... ukiwa single mda mrefu inakuwa...
0 Reactions
97 Replies
9K Views
habari zenu waungwana? nitakuwa mwizi wa fadhila kama sitotoa shukrani zangu kwa msaada wenu. ahsanteni sana kwa kunisaidia kuikamilisha ile project ya , sumu ya ndoa ni...... , nina furaha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
THE MEANS:baada ya kuona mumewe(mwanajeshi wa level ya lt col) ni mlevi kupindukia,anakabidhi mshahara wake woote bar,kula kunywa na totooz huyu mke mwema aliamua kuanza kumuibia mumewe kila siku...
0 Reactions
148 Replies
11K Views
Mke wa rais wa Marekani, Michelle Obama Tuesday, November 17, 2009 10:32 AM Mke wa rais wa Marekani, Michelle...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Nimejiunga naye.... Amebadilika! Mume wangu hapa humtoi! James ni mwanaume anayependa sana soka si kuangalia kwenye Tv tu bali hata kuhudhuria mechi mbalimbali kuanzia uwanja wa taifa jijini...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ufitinaaaaa na upelelezi ni sumu ya mapenzi... mimi kupendwa na yeye... ninyi mwakerwa na nini... yeye kanipenda nami namupendaaa... Naupenda sana wimbo huu Nguza hapa aliacha kazi akafanya kazi!
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Nimempa kile anapenda! Siri kubwa Kuna usemi wa msingi sana kuhusiana na ndoa hasa linapokuja suala la interests na hobbies kati ya mume na mke. Jambo la msingi kwa mke ni kukumbuka kwamba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
"Too late to catch the bus" Afadhari hujachelewa basi la abiria!Mara nyingi hobbies husababisha wanandoa kuwa na mawasiliano mazuri, kuongea pamoja, kuwa na kicheko na kufanya vitu kwa pamoja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Una ripoti ya ukaguzi? Mchwa umefanya kazi yake! Mwenye nyumba alihitaji ripoti ya ukaguzi wa mara kwa mara! "Mpenzi …………,nionyeshe uso wako, na niisikie sauti yako, kwa maana sauti yako ni...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Je, ni Muhimu Kiasi gani? Je, sex ni muhimu katika ndoa kiasi gani? Wanandoa wengi wana struggle sana ili kuhakikisha ndoa yao inakuwa ya kuridhisha ingawa ni kweli ndoa yoyote imara huhitaji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mke wa Professor! John ni professor katika chuo kikuu kimoja nchini Canada. Huandika papers za nguvu, na kutoa lectures zenye heavy stuff na hutumia muda mwingi sana library. Mke wake ambaye...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna mwanadada mmoja ambaye ni miongoni mwa watu wasomi sana. Amemaliza chuo hapa mlimani. Wakati alipokuwa chuoni aliibahatika kupata mchumba ambaye walikubaliana kuoana. Na walikuwa katika...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Ni Afadhali! Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la nyumba kuliko kuishi nyumba moja na mke mgomvi. (Mithali 21:9)
0 Reactions
6 Replies
2K Views
hi, here's something funny to make u smile.... nothing serious...just something to laugh about.... have a good day!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
http://www.youtube.com/watch?v=0VsBYyNe-Ag
0 Reactions
0 Replies
1K Views
I was staying with Joyce for three days while my parents went to Kenya for the funeral of Uncle Jack. “Joyce ” as I had always known her was not actually my aunt but Mum’s friend Jennifer, but...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Women! Without them, men would only remain as latent seeds locked in our fathers' loins without hope of being occupants of the earth. They are the only ones that learn 'how to push' without a...
0 Reactions
51 Replies
4K Views
There are so many jokes and myth that blondes are stupid. Is this true? And if so, what's the reason behind it? Msaada jamani.....
0 Reactions
46 Replies
7K Views
Kipimo mwatupimia, Mwajua twapungukia, Lakini mwasubiria Kuona tutapatia; Sifa mnatutajia, Za yule mwatamania, Kila tukiangalia, Vijana tumefulia, Twabaki twatamania, Kama sungura wa hadithia...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Back
Top Bottom