Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Friday night was a disaster. Never mind that I went out with Anne and Michelle, two perfectly civilized, professional women. There was drama at the bars we visited! Here are five types of people I...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mmmmmhhhhh hili sijui yakheeeeeee yamekukuta haya???nakuja tena wanandugu kuna hili swala la artificial love unakuta mtu ana mahusiano na mwenzie zaid hata ya miaka miwili huku ana madhumuni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Watu wengi tumeumbwa na hali ya kutoridhika na tunachopata swala hili limekuwa tatizo kubwa sana katika jamii na kufika hata watu waliokuwa wastaarabu kuitwa MAFISADI...huku kwenye mahusiano...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna rafiki yangu ambaye ameoa hivi karibuni,mkewe kajifungua mtoto wa kike... Tatizo sasa ni kuwa yeye baba mtoto alitaka kumpa mtoto jina la mama yake ambalo ni mwajabu..... Mama mtoto hataki...
0 Reactions
71 Replies
22K Views
Kila mtu na kiatu chake Watu wengi hudhani kwamba mwanaume akiwa mrefu basi na uume wake huwa mrefu hiyo si kweli. Ingawa ni kweli kwamba kila mwanaume ana size tofauti ya uume kama wanaume...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
When a woman is fed up....... Hii adhabu kali kweli iliwahi kumpata BURN (ACCESS DENIED)
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Jamani tunda nitalipataje tunda.tunda nalipenda nitalipataje tunda...tunda kavu kavu ntalipataje tunda....ndugu zanguni wapo wengi wanashindwa kuelewa niini maana ya tunda...wapo wanaokula tunda...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Nyie wazazi,jamani embu badilikeni kidogo mbona hivi yaani damu zenu sikuzote zilikuwa wapi mpaka mmeanza kuparamia watoto wa wenzio...leo hii unamkuta mzee mtu mzima akiwa na katoto kadogo...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
wakulu, hebu nisaidieni jamani, kuna pozi zingine nikimpa my wife anazikataa-mara anaumia, au haiskilizii poa. zingine anapenda kila siku wakati mm hata sizikubali! humu ndani tupo jinsia zote...
0 Reactions
72 Replies
12K Views
Ndugu zangu wapwa, shangazi na wengine kwa ujumla mimi Fidel nimeamua kujitoa rasmi kwenye chama cha kujiexpress kwa hiari yangu mwenyewe bila kushrutishwa na kiumbe yeyote yule. Nimeona sipati...
0 Reactions
73 Replies
7K Views
wanandoa,wanafamilia, Ndoa nyingi zinahangaishwa na uwazi wa mambo ya ndani ya familia wapo wengi wanaoshindwa kutunza siri za majumbani mwao bila kujua madhara yake....hili linahusishwa wanaume...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu mapenzi hasa kwa hawa dada zetu.nimefikia mahali nimeshindwa kuelelewa kbs.ukiongea nao watasema wanataka mwanaume mpole,msikivu,atayempenda na kumjali nn...
0 Reactions
23 Replies
11K Views
mmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh Ndugu zanguni nimefutahi sana kuongelea hii mada kwa uchungu....kabla ya kuja ninapotaka kama kichwa cha habari hapo juu...yupo ndugu yangu mmoja alioa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Choose one option!!!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Karudi Mwenyewe! Mzee Hibwa had an argument with his wife who got too angry, packed her bags and went back to her parent’s home. Unfortunately for her, she had to pass her husband's home...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mpenzi Sema habari za huko Baby unaendeleaje ? Vipi hali ya hewa huko , siku nyingi sana hujaniandikia email wala mimi sijakuandikia chochote samahani sana kwa hilo na wewe pia nakusamehe kwa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
:rolleyes: :rolleyes: :confused: ACCIDENTALLY! A woman and a man are involved in a car accident; it's a bad one. Both of their cars are totally demolished but...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimekuwa na mahusiano na wadada kadhaa.Lakini wengi wao nilikuja kugundua sio wakweli linapokuja suala la kujua umri wao. Mnaweza kusema age it has nothing to do na mahusiano yetu lakini kwangu it...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
‘Housigeli’ anataka kuniharibia ndoa ! habari yako. Nategemea mzima wa afya na hutasita kunisaidia kunipa ushauri unaonifaa. Mimi ni mwanamke mwenye watoto wawili. Tangu nimeolewa miaka sita...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Mpenzi msomaji wangu, miongoni mwa mambo yanayowaumiza kichwa walio wengi ni kutokuamini kama wale waliotokea kuwapenda ni waaminifu kwao kiasi cha kufikia hatua ya kuona kila wanapokuwa mbali nao...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom