jana nilitumiwa link ya site moja inayoandikia watu mashairi (poems) na kuzidedicate kwa wapenzi wao online bure.
Nikaicheki sio mbaya, ingawa mashairi ni mistari minne tu and its in english...
Unaweza kustaafu mpweke!
Kustaafu kazi huwa maisha ya upweke sana kwa wanandoa kama waliishi maisha yakukuwa bila mawasiliano kwa miaka mingi.
Wanandoa wawili ambao mume alikuwa anapenda sana...
Five Ways to Keep Your' Children Safe from Predators
It's always foolish naivete to rely completely on the government to protect our children so here are five ways to keep our little ones safe...
Katika vitu vinavyonisikitisha ni pamoja na hii tabia ya wanaume wanapokosana na kufikia kutengana na wake zao mara nyingi wamekuwa wakijikuta wametengana na watoto wao pia! Sina hakika ni...
Would You Wear A Black Wedding Dress?
The black, a color traditionally saved for funerals and looking street chic, is the new color choice for wedding dresses among modern brides. While I...
This is a true story that happened in Japan.
In order to renovate the house, someone in Japan breaks open the wall. Japanese houses normally have a hollow space between the wooden walls...
MARAFIKI
Je wewe ni rafiki mwema?
je wamtakia nduguyo maisha ya amani kwenye ndoa yake?
je utafaidika ni ni ukihusika katika kuvunja ndoa ya mwenzio??
Ndugu wapendwa nimeona ni vyema leo...
Wapwa ni muda sasa toka mpwa Kaizer atoe thread ya get tugedha ya Mikumi sasa umefika muda muafaka wa kukutana wapwa na ku analyse cost za huko tutakako enda kama nilivyo pendekeza initial cost...
Niko na wadada/wamama walioolewa hapa ofisini. Wameanzisha thread ya mashambulizi hapa wanasema Wanaume wengi ni kero kwelikweli!.
Eti hawaendi kuoga mpaka waambiwe, au kulazimishwa au...
JF napata experience na wife yaani simu ya mkononi mara nyingi iko chumbani, ndani ya begi, etc? huwezi kumpata on time hata kama issue ni very urgent lazima upige kama mara tatu na kuendelea...
Wadau nimekuwa nikipata utata nikiona walioolewa wanavyovaa pete. wengine inaanza engagement ring then wedding Ring, wengine Wedding Ring then engagement. Ni kipi kinatakiwa kianze? Au hakuna...
Mimi ni mwanamke niliyeolewa na nina mda wa miezi nane sasa katika ndoa. Huyu bwana tuliyeona kwa kweli niliunganishiwa na ndugu yangu ambaye alikuwa rafiki yake hapo zamani. So it means I dont...
hivi wana JF hii misemo yetu ya 'kimatumbi'
m.f 'mficha uchi hazai' inamaana kweli hasa katika kizazi cha sasa?
Mbona watu wengi (hasa -she-) wanatembea huku 'nyuchi' zao zikiwa 'bwerere'...
miaka ile ya 90' ukimdate binti cha anadai ana boyfriend ila kwa sasa (wakati huo) yuko masomoni nje ya nchi! siku hizi (2000's)hawa mabinti wa dot com wao wanadai wana maboyfriend ila...
Jamani kuna,,,,
Watu wabaya dunia hii..,kuna watu wakiona ndoa za wenzao wanatumia kwa garama zao zote waone wenzao wamekorofishana ......jamani mbona hivyo walimwengu...sasa kwa wale wenye...
Wana ndugu embu tusaidiane kwa hili
kuna watu wengi wanapoteza haki zao bila kujua
kama mnavyojua kuna wanaume wengi wanaoa kwa malengo fulani labda mwenzio ana pesa zaidi yake sasa mwingine...
...wala sishangai... yalishanikuta hayo. Kina mama mjichunge sana hao ma hause girls mnaowafunga ndani, wengine walitu/wanawa-abuse (vitoto vya kiume) na kutuachia psychological scars for life...
9 Things You Don't Know About Kissing
1. There are tons of nerve endings...
In your lips (100 times more than in your fingertips!) that stimulate desire. That's why smooching before, during...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.