Kama unaye Mchepuko ni vizuri kujitambua kuwa unavyo ishi naye unatumia akili au umeshatekwa akili na kuwa hamnazo;
Fuatilia yafuatayo;
Ukishaona unagharamia mchepuko kuliko familia yako; Jua...
Mipango yangu mimi pamoja na Shamsa imeingiwa kidudu maji. Tulipanga kupeana ujauzito, kisha tumtunze mwanetu mpaka pale atakapofikisha umri wa kwenda shule ili tumnunulie kiufagio na kidumu cha...
Kweli ukikosea step kwenye kuoa ni regret kubwa.Mshikaji wangu Rob alifunga ndoa yake Mwaka 2007, Alimwoa mdada wa kisukuma beautiful in body structure and face tall and attractive mshikaji...
Utasikia goma langu lililoolewa Dar, Mza au Dom limekuja kula sikukuu.
Lilivyoniona tu likatabasamu na kug'ata kidole.
Mara jamaa yangu nae kalipanga goma lake.
Mara kuna goma langu...
Haharini za pilika pilika za kimaisha pole katika ujenzi wa Taifa letu pendwa chini ya Jemedari Mh Mama suluhu Hassan.
Kwenye mada Yetu Leo tutaongelea swala zima la spiritual Bond kwa njia ya...
Nimekaa nikatafakari endapo ningemkosa huyu mwanamke nilienae, huenda ningekua na mjuto kwa kuamini kulikua na chaguo zuri ambalo sijalipata.
Lakini leo nimepata kile ambacho niliamini ndio kitu...
Alex anaingia duka la dawa kununua kondomu. Mfamasia anamwambia kwamba kondomu zinazopatikana zipo kwenye pakiti kuanzia tatu, tisa, au kumi na mbili, na kumuuliza ni zipi anazotaka.
Alex...
Wakuu, mwaka 2016 nilifunga ndoa ya kiserikali. Ilinilazimu kufanya hivyo kutokana na uhalisia wa mazingira niliyokuwa naishi na mwenzi wangu huyo wakati huo. Mwaka 2019 mwezi Disemba tulifanikiwa...
Nakumbuka niliwahi kuingia kwenye mahusiano na binti mmoja wa ki Arusha ambae tulijuana kupitia social media, yeye alikua Arusha na mimi nilikuwa Dar es Salaam.
Huyu binti kwanza alikuwa...
Wakuu , Hivi inakuaje unamtongoza mwanamke anaishia kukutolea nje huku akikusindikiza na dharau za kutweza utu wako , Ila suddenly akijua unamiliki mtoto mzuri ambaye ni classic anakutafuta tena...
Boss wangu niliekuwa nampenda ametoa mahari halafu mimi peke yangu ndio nimefichwa ofisi nzima, nimeumia sana na nimelia sana mwaka wangu unaisha vibaya.
Nimeongea na boss wangu nimemuuliza hana...
Kuna jamaa yangu hapa anajipanga kupangua hoja zinazomkabili, ilikuwaje? Mpe ushauri
Jamaa ana umri wa miaka 39,mwaka jana akiwa kwenye maeneo yake ya kazi kuna binti alikuwa anapita pita hayo...
Ebwana baada ya kuuchoka ubachela nikaona nivute goma binafsi elimu yangu ni university dropout so sina professional but sijutii maana niliosoma nao wengi ganga njaa tu, so nilijikita kwenye...
Habari zenu Wakuu,
Nimekuwa naona vijana wenzangu wakiingiza mademu/Malaya kila uchwao kwenye mageto yao bila ya kujali watu waliowazunguka. Kiukweli ni image mbaya wanajijengea kwa jamii maana...
Wakuu, naamini mmeakuwa na weekend njema, na mmeianza Jumatatu vyema. Back to me it was boring baada ya kukutana na hiki kisanga.
For the last six months nimekuwa mtu wa kusafiri safiri kidogo...
Hi,
Kwasababu ya huu utandawazi wa internet, redpill movement, mgtow, mambo ya LGBTQ, udangaji, atheism, umaskini na unemployment wanaume wengi watachelewa kuoa, wanawake watazidi kuona suluhisho...
Habari jf members
Nisiwachoshe,msinichoshe twende kwenye mada kuu
Kuna mwanamke anaishi na rafiki yangu wa damu kabisa bahati mbaya hatumii jf kwa sabb ya upeo wake ni mdogo yeye kutwa yupo fb...
Wasalamu,
Tabia ya mtu ipo ndani,ila kuna mambo ya nje huashiria tabia ya ndani.
Unaanzaje kudate na mwanamke mwili wake umejaa matatuu? Mwanaume kifua kimejaa matatuu?
Ndugu yangu kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.