Wasalamu wapendwa, mabibi na mabwana ! Itifaki imezingatiwa.
Niende Moja kwa moja kwenye mada
Kuna Binti namtongoza Sasa ni mwaka umepita, majibu yake ni kuwa ana mwanamme. Lakini hakosi...
Wale viherehere wa kuoa nawasanua zingatieni ushauri huu ukitaka kuoa bikra hakikisha unaoa anaekupenda haswaa ila ukitumia ushawishi wa kiwaki huko mbele utauona moto, mwanamke ana evolve kwenye...
ukweli mchungu changamoto za uzazi ni kubwa sana nowdays. sababu kuu mabinti wanachelewa kuolewa.
mwanamke wa miaka 30 mimba haipati kwa urahisi kama mwanamke wa miaka 25 ama mwanamke wa miaka...
Huyu member ana mchango mkubwa sana kwenye baadhi ya majukwaa hapa JamiiForums.
Kule jukwaa la chini na hapa MMU kuna nyuzi nyingi tu alizoshiriki na si tu kushiriki bali michango yake imekuwa...
Huyu mtoto ana miaka 10 hamjui baba mwingine zaidi yangu, na nilikuwa najua ni mwanangu na nikawa naringa naye sana ila mwisho wa siku mama yake alijiroposha siyo wangu, nikasema sitaki kuchezewa...
CLIENT: Money penny bwana me simwelewi mke wangu
Money Penny: nini tenaaa?
Client: nilimwambia mke wangu kabla sijamuoa kuwa
1. napenda sana kufanya ngono
2. napenda sana style tofauti tofauti...
Habari zenu Wakuu,
Hizi ndio sababu zinazofanya nimuheshimu Mwanamke/Mke.
1) Mwanaume akiwa kazini asubuhi anakunywa mtori na Chapati akishushia na Soda baridi
WAKATI
Mwanamke anakunywa chai...
Katika pita pita zangu za coments za wanazengo wa JF kule Facebook nikakutana na haya;
"Mkeo akiwa na bodaboda wake anayemuamini na kumkubali Bro umekwisha narudia tena umekwisha"
"Kwani Nyie...
Akina Flora wengi wanakuwaga wapiganaji sana kwenye maisha.
Wengi wanakuwaga smart sana kwenye mapambano ya maisha.
Na wengi wao huwa wanafanikiwa sana kiuchumi.
Sijawahi kumfahamu mwanamke...
Hivi ni vitu vitakavyowafanya nyote muone mmepata muda mzuri na kujuana. Mada hizi zitakusaidia kuepuka mada ambazo zitapunguza kasi ya mwanamke kukupenda. Mfano, kumuambia kuwa unampenda mapema...
Wakuu habari.
Kama nilivyowasanua, jana kuwa nimeanza pep within 72 hrs, aisee usiku wa leo nimeota ndoto za ajabu sana.
Nimeamka hapa mwili mzima una nuka pep TLD.
Aiseee kama pep ikiisha...
Kwa sisi wakazi wa jiji la maraha, jiji la bandari tunakubaliana kitu kimoja, jiji letu lina watu wengi wenye matatizo ya nguvu za kiume na low sperms count, yaani wanaume ni wagonjwa kuliko...
Kwa kawaida hakuna mahusiano yanayokosa changamoto hata kama mpo ndani ya ndoa, vikombe kabatini tu vinagongana sembuse binadamu wawili waliokutana ukubwani na wote wakiwa na meno 32.
Huwa...
KUCHELEWA KUOA HAKUKUFANYI UFANIKIWE AU UWE NA UNAFUU WA MAISHA!
Anaandika Robert Heriel.
Kwa kijana isipungue miaka 25 wala isizidi 33. OA mapema. Usikawie. Hakuna kitu kizuri kwenye maisha...
HABARI wakuu, kwanza kabla ya yote niwatakieni mfungo mwema.
Umri wangu ni Miaka 33, Nipo katika ndoa pia nina Watoto Wawili na huyu mwanamke, naona nisiandike Mengi kuhusu maisha yangu na huyu...
Baba hawezi kubeba mimba kwa muda wa miezi tisa, lakini daima ana mimba ya mahitaji ya familia, ndoto na maono ya maisha bora ya baadaye.
Huenda baba asijue jinsi uchungu wa kuzaa unavyo kuwa...
Hivi mwanamke akiwa anakusumbua hivi na haumjibu chochote kila siku utafanyaje?
Huyu mwanamke nilikuwa Naye kwenye relationship ila tatizo lake ni kausha damu, kitu kinachofanya nisimwamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.