Salaam wakuu,
Kuna huu msemo nimekua nausikia mara kwa mara watu wanasema eti money cant buy happiness ila kwangu mimi I beg to differ wakuu. Lets be realistic here, pesa ina play part kubwa sana...
Dada unatembea na kitega uchumi, halafu unalalamika maisha magumu ? Unakwama wapi?
Ili kuyakabili maisha na kuwa na uchumi wa kati jirembe, jibebishe na uwe mtu wa kukaa maeneo ya mawindo...
Habari wana JF, poleni na majukum ya na pale 🤝. Nina mkusanyo wa Nukuu zinazoweza kunukuliwa, maarifa ya kurejesha upya kabisa kuhusu Men's Rights Activist (MRA), ambayo yanaweza kumsaidia mtu...
ni kiumbe kilichojaa utukufu,tuwaheshimu,tuwapende na kuwalea kwa uwezo wetu wote.mwanaume anayemdharau,kumtesa,kumdhalilisha na kumpiga mwanamke,hadhi yako ni ndogo sana
Heri ndugu zangu.
Ukifanya tathimini za haraka haraka mpaka kufikia mwaka 2045 kama tutakua hai tutashuhudia kizazi cha hovyo sana kinacho nyumbishwa huku na huko na wanawake zaidi ya sasa na...
Niliwahi kuwa kwenye mahusiano na binti fulani ambae alikuwa nami bega kwa bega.
Kuna muda tulitengana lakini alikuwa ana tabia ya kunitafuta na kunisalimia, hata kama utapita mwezi au miezi...
Mnakwama wapi akina dada mnaopotezewa muda na hawa wanaume viruka njia? Yaani una date na mtu mwaka mzima au zaidi halafu haongelei ndoa?
Sasa nawapeni mbinu itakayo walazimisha wawaoe. Mbinu...
Kuna nyumba mbili napakana nazo huu ni Mwaka wa Tatu sasa naona tu ndugu wa upande wa Mwanamke (Mke) wakifululiza kuja na hata wakija huwa wanakaa hadi waamue wao kuondoka ila Ndugu wa Mwanaume...
Habarini za Siku Nyingi Kidogo.
Nikumbana na hili janga la kupendwa na mke wa mtu yeye anadai hampendi mme wake tena.
Yupo tayari kuachana na mmewe tuoane. Wasiwasi wangu ni kwamba nitakuwa...
Maisha yanaenda kasi sana wakuu wala siwashauri kutongoza au kuishi na hawa mademu viruka njiwa watakuroga na utakuwa unatoa pesa bila ya wewe kujijua aisee bila.ya mungu kuongilia kati leo hii...
Habari zenu Wakuu,
Vitabu vya Dini havikukosea kusema watu wasiikaribie zinaa, nadhani kila mtu anajua kuhusu hilo.
Mtu aliezoea kunyonywa uke/uume siku akifunga ndoa na mtu ambaye anyonyi...
Nimeona kuna mashindano ya MissJF 2023, ilikuwa wazo zuri ila lina ubatili mtupu. Naona kama mbinu nyingine ya udhalilishaji mkubwa wa wanawake unaofanyika jukwaani kila iitwapo leo. Sababu za...
Huyu dada tulikubaliana penzi la kisela kama Vanessa na FA. Tena akasema hataki kupendwa wala kuonewa wivu. Kibaharia nikajua ana mwamba so coz mi sina future nae fresh ntagusa wororo nipite hivi...
HAPA tunazungumza kuhusu mapenzi kama kawaida yetu. Leo nimekuja na mada ambayo naamini itawagusa wengi. Marafiki zangu, kusaidia katika mapenzi ni jambo zuri tena lenye mantiki sana.
Suala la...
Habari wakuu,
Niende moja kwa moja kwenye mada yetu isemayo watanzania Mapenzi ni ya wazungu, nyie mlizoea kulazimisha.
Tokea enzi za mababu zetu wao walikuwa wanalazimisha tu kuoa tu mwanamke...
Habari ndugu zangu, mm Ni wa kiume (25). Nilipokuwa chuo nikipata na mdada ambaye mazingira ya chuo yalikuwa magumu kiasi kwamba ilibaki kidogo kudisco, ila nikapata huruma kunisaidia ktk...
Nataka kufanya utalii wa ndani. Niende wapi kati ya Newala au Songea? Sijawahi kufikia Songea nasikia warembo wa Songea warefu halafu wana misambwanda kama ya ndugu zao wa South Africa.
Kuhusu...
Haya mambo nilikuwa nayasikia sana kwenye media kuwa watu wanaenda kupima DNA na kukuta watoto sio wao ila sasa naona live.
It's true, story ya watu niliowaona na kuwafahamu. Story yenyewe ni...
Habari wana Jf nipo na ID nyingine niliifungua karibu siku 26 zilizopita. Twende kwenye mada.
Mimi nina umri wa miaka 35 kwa sasa nina watoto 3. Nimeoa na nina mke nimezaanae watoto 2. Mtoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.