Aisee asikwambie mtu ukutane na hiyo chuma hapo chini uikute ipo kwenye ubora wake , hana njaa kashiba , hana madeni vikoba.
Kama pumnzi na stamina huna unaweza kata moto maana hadi soka...
Habari,
Husika na kichwa cha habari,
Kama kuna kitu cha kuangalia wakati wa kuoa na kuolewa ni hili suala la mume au mke ambaye kila linalotokea kwenye ndoa yenu yeye anaripoti kwao.
Katika...
Hello guys, mnaendeleaje?
Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la kujimalizia mwenyewe hasa pale nilipokuwa nikimynyonyesha mwanangu na hata sasa nikiwa nimempaka usiku wakati akiwa amelala.
Iko...
Wakuu habari za jioni?
Kuna mdada mmoja nilimpenda sana, nikafa nikaoza; nilikuwa tayari nilale njaa ili tu yeye aweze kufurahi.
Mahusiano yangu naye, yalikuwa na changamoto sana, huna hela...
Habari zenu wakuu, kuna jambo lilikuwa likiniacha njia panda sana,
Kuna binamu yangu umri wake kwa sasa ni 33 to 34 hajaowa mpaka sasa na amekuwa akipambana kujiweka sawa kiuchumi na huku...
Kuna pahala nimesoma eti yule kaka kaandika ya kwamba mwanaume kuwa na uume mkubwa ni mateso tu kwani wanawake hawapendi!
Weeeeee thubutu! Nani alikwambieni hatupendi naniliu kubwa? Huyo...
Kwa Waliolewa na Kuoa
Zingatia: Hata kama umeolewa na mume bora duniani, usipouchunga moyo wako, unaweza kuishia "kumpenda" mtu tofauti na mwenzi wako na hatimaye kuharibu ndoa yako.
. 1. Usiwe...
Habarini wana jamvi.
Nimesoma hii story NAJUTA SANA: Nilizaa nje ya ndoa, mke wangu haniamini tena. Natamani siku zirudi nyuma nikakumbuka yalonikuta miaka ya mwanzo kabisa naanza mahusiano, sio...
Naomba tujengane kwenye masuala ya mahusiano. Majuzi nilicheki uzi ambao watu wanasema kataa ndoa, wengine wanalaumu, wengine wanaponda ndoa na wengine wanazisifu, mimi binafsi nilijenga hoja...
Wapendwa habarini,
Mimi ni mwanamke ila sasa nakutana na changamoto kwenye ndoa. Mwanaume hana kazi wala kipato chochote kile anachoingiza ila ulevi wa pombe ni January hadi December...
Hivi ni kweli kwamba mkiishi kwa muda mrefu huwa mnachokana hata kama mnapendana kweli?
Yani naamanisha kuwa, kuna muda unatamani kutoka nje ya ndoa kwa kumkinai mwenza wako na kutaka vitu vipya...
Miongoni mwa mambo hatari katika Mahusiano ni kuaminiana na kuambiana siri zenu. Naomba nitumie andiko la Biblia katika Kitabu cha Mika siyo kwa lengo la kufundisha imani fulani au dini ila...
Habari,
Mimi ni kijana wa miaka 28 ambae bado sina mbele wala nyuma kwenye maisha yangu, bado najitafuta ila uhakika wa kipato kiasi ninao. Changamoto yangu ni kwamba nilikuwa naishi na mwanamke...
Salaam wakuu.
Binafsi sijaoa ila inaeleweka kuwa ndoa zina changamoto nyingi sana zinazowesha kusababisha kupishana kauli, kupigana (sometymz), kunyamaziana n.k....
Nawapa kisa kimoja
Miaka...
Akizungumza katika Kipindi Kizuri na ambacho GENTAMYCINE nakipenda na nimejiteua Mwenyewe kuwa Balozi wake Kivuli cha Mazungumzo ya Familia ya Radio One kila Jumapili kuanzia Saa 1 na Nusu hadi...
Nimeona post za member mmoja akisakama ma binti wa kijita waziwazi kwa kujiamini kabisa anawaambia vijana usioe mjita tena anakazia kama yéyé na dada zake ni wema sana.
Wewe kama unamchukia...
Katika harakati zangu za kujitafutia ugali wa kila siku nikakutana na pisi moja kali sana yaani matata mno..
Figure fulani ya kibantu iliyojaliwa kila kitu
Yule dada akiniambia anatafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.